Biashara gani halali inaweza tengeneza faida ya kuanzia laki tatu kwa Siku?

Biashara gani halali inaweza tengeneza faida ya kuanzia laki tatu kwa Siku?

kuna order kila mwezi trip 2 nje kutengeneza milioni 15 kwa mtaji huo.mwenye order milioni 5,wewe milioni 5,na mm milioni 5 tugawane kila mwezi.ukiona inalipa na una 12 million cash nitafute tupige kazi.0625648094
 
kuna order kila mwezi trip 2 nje kutengeneza milioni 15 kwa mtaji huo.mwenye order milioni 5,wewe milioni 5,na mm milioni 5 tugawane kila mwezi.ukiona inalipa na una 12 million cash nitafute tupige kazi.0625648094
Kazi gani
 
Nenda kwa edo namanga pale anauza chips na kuku wa kipemba,muulize kwa siku unapiga ngap faida,akikwambia chin ya lak3 njoo nakuozesha dada angu,..jamaa anapiga had lak5 kwa siku,au nenda njia ya kawe kulee mbele kwa vibopa kuna wapemba flan barabaran wanauza chips na kuku,wale jamaa niliongea nao wanapiga had lak7 faida,
Biashara siyo rahisi km udhaniavyo kauze na wewe uone Kama itaingia Hiyo laki 7
 
kuna order kila mwezi trip 2 nje kutengeneza milioni 15 kwa mtaji huo.mwenye order milioni 5,wewe milioni 5,na mm milioni 5 tugawane kila mwezi.ukiona inalipa na una 12 million cash nitafute tupige kazi.0625648094
Biashara kichaa hii fafanua ijulikane
 
mkuuu chakula kinaweza kukupa hiyo hela ukiwa sehemu sahihi... ila nyingine zote ni ujanja ujanja utatapeliwa tu
Naunga mkono hoja, nafanya hii tena kwenye ka site kadogo tu ila inanitoa fresh na nilianza na ka mtaji kadogo.
 
Biashara siyo rahisi km udhaniavyo kauze na wewe uone Kama itaingia Hiyo laki 7
Ungesoma convo za nyuma ungeelewa,.kuna mtu alibisha kua huwez tengeneza profit ya lak3 kwa baishara ya mtaj mdogo,et had uwe na kuanzia 50mil au 60mil,mi ndo nkamjib hivyo aende akamuulize edo pale
 
Ungesoma convo za nyuma ungeelewa,.kuna mtu alibisha kua huwez tengeneza profit ya lak3 kwa baishara ya mtaj mdogo,et had uwe na kuanzia 50mil au 60mil,mi ndo nkamjib hivyo aende akamuulize edo pale
Mpaka kutengeneza Hiyo laki tatu kwa siku jiulize Hiyo biashara kawekeza muda wake kwa kipindi gani hujui km muda nao ni sehemu ya mtaji.
 
mimi ni nomad,ila napitapita kahama kwasababu kuna jamaa zangu huko,
sasa hapo kahama hulipuka machimbo ya dhahabu mara kwa mara na watu kutoka sehemu mbalimbali wanakuja ama kuchimba au kununua dhahabu,ama kufanya biashara yeyote eneo husika kuanzia vyakula,vinywaji ama hata gest,
nipasema gest ni gest zile za either batiama turubai,watu wanakodi ardhi kwa bei cheap na kusimika biashara,hakuna vitanda ni godoro tu zile cheap na watu wanapiga hela mno,kila biashara pale inatoka labda kasoro nguo,
lakini biashara za vyakula,pombe,maji,fag,condom etc utauza mno.
Sasa nje kidogo ya mji wa kahama kuna hayo machimbo ambayo ndo sasa yako chati,wakazi wengi wa kahama mjini sasa huko ndo chimbo lao la pesa,na huko ndo unakuta watu wana mitaji midogo tu nao wananunua dhahabu,
wengine wanauza vinywaji,pombe,maji etc
Mwime ndio jimbo jipya la dhahabu Kahama maduara yanatema tuu watu wanapiga pesa hatarii!
 
Mpaka kutengeneza Hiyo laki tatu kwa siku jiulize Hiyo biashara kawekeza muda wake kwa kipindi gani hujui km muda nao ni sehemu ya mtaji.
So whats the point dada,..nambie,.what r u arguing abt..perhaps skuelew,.
 
Huwez kuaza Sasa hivi biashara ya mtaji Mdogo ukaaza kuingiza Hiyo laki tatu kwa siku tunaongopeana.
Mtaj mdogo kwako ni sh ngap? Maana mwenzio ame exagerate kwamba lazma uwe na 50-60mil,...sasa labda mtaj mdogo kwako ni sh ngap,.
 
Kama dhahab unainunulia mjin na kirahis hivyo bas sawa..mi nmefanya sana hyo biashara,usimpotoshe mwenzio akat field hujaenda unaongea stor za mirad ya fb na insta au hapa jf..ingia field uitafte hyo dhahab ndo utajua dhahab si lelemama..
1.utakutana na matapel kama ni mgen
2.watakulengesha et ukachimbe,hapo ndo utaingia chaka,
3.dhahab inapatkana porin so andaa budget ya huko
4.had uje ijua hii biashara na ukae sawa hyo mil5 ishaliwa na makandokando
Nimependa huu mjadala but nashauri mtu anapotoa wazo usiliponge kwa kejeli but jenga hoja ni vipi hiyo idea aijengi ili kumwezesha aliyetoa hoja zaidi kufunguka na mwisho wa siku ipatikane solution
 
Usimdanganye mwenzio wew,...akapoteza hela yake,we unaonekana biashara ya madin huijui na unaiskia tuu kwa stor za watu...mi nmefanya hii baishara kwa mda mref,kama mtu ni mpya kabsa kwenye biashara hii,had uje ukae sawa huo mtaj wa mil5-10 ushapotea,hii biashara inahtaj experienc ya hal ya juu,ni wazoef tuu ndio wanatoboa hii kitu,sasa mwenzio hajui chochote kuhusu hii kitu af aweke pesa hapo,mshaur kitu kingne ila sio madin,had apate experience ndo afanye
Hatapataje experience kama ajaingia filed kupractice?
 
Back
Top Bottom