Biashara gani itanitoa kimaisha niepukane na umasikini?

Biashara gani itanitoa kimaisha niepukane na umasikini?

Ukifungua duka, sijui mgahawa, sijui pub sijui banda la chips, sijui duka la nguo nakuapia utapoteza hyo hela. Mapemaa Saa 2 Asubuhi.

All u need ni shughuli ya kufanya na kuisimamia wewe mwenyewe ambae 100% utakua una deal nayo chances ukipata 10 M nyingine mara mbili yake tena about 20 M kama hyo ndio utaitumia kufungua biashara nlizotaja hapo mwanzo tena kwa kuangalia na mazingira kwa umakini otherwise uta lost big tym my friend.

Been There Done That, For now usifanye biashara Ambayo Utahitaji Kuajiri Watu Wakusaidie Maana Hao Ndio Pasua Kichwa Watakupiga na Kukuliza, Atleast Not For Now (Kuza Kwanza Mtaji Wewe Mwenyewe) Utapata uzoefu na kujifunza mengi sanaa, Hela Ina Codes Nyingi Sana Mkuu Hasa Mtaani.

USHAURI:
Nunua Bajaj / Gari Used not more that 7 M nyingine save for emergency purposes. Register chombo uber / bolt ingia kazini huku una piga mishe za udalali mbili tatu. Utastirika Sana, Biashara zenye nature ya logistics ndio zinazo waweka sana watu mjini iwe bajaj, uber, pick up, canter, fuso yani hizi japo ni challenge ila atleast mostly kama una deal nazo wewe mwenyewe first hand.

Utanishkuru Baadae.
Nondo kali sana hii. Hii comment mwaka jana ningeisoma zile 7M zangu nilizomwaga pale Buguruni Rozana Dar zisingekata kimasihara vile kwa Mgahawa
 
Nondo kali sana hii. Hii comment mwaka jana ningeisoma zile 7M zangu nilizomwaga pale Buguruni Rozana Dar zisingekata kimasihara vile kwa Mgahawa
Hili lijamaa Money Bags lina miakili mingi sana ya elimu ya kupambana mtaani halafu siyo lichoyo la maarifa hili lijamaa! Salute kwako mzee umetisha sana! Unaongelea uhalisia wa vijana wengi tunaopambana na kujitafuta mjini hapa
 
  • Thanks
Reactions: 5v1
Mimi nina rafiki yangu alifungua phamarcy kubwa tu tegeta karibu na rabinsinsia stock worth almost 25 M achilia mbali equipments, pc, shelves, rent, mishahara na mengine….hakutoboa miaka 2 akafunga na mkewe ni phamarcist, yani cases ni nyingi sana.

What people don’t know is that wanashindwa calculate estimates za profit margins vizuri + turnovers ambazo ndio za kuja ku cover business obligations na hyo tena ni mpaka mtu uuze sasa imagine mtu kalaza stock ya 25 M mpaka auze ndio aone profit. Wengi wanao toboa town hawategemei retail profits pekee unakuta pia ni whole salers mtu ku flip stock ya 15 M in hours ni kawaida sana kwa wholesale buyers achilia mbali supplies labda uwe na laboratory services hapo hapo…still inawezekana ila ni ujipange sanaa.

Tafuta simple means za ku build capital moja wapo hyo njia nliokuambia then ingia biashara ya kununua na kuuza fixed assets i.e. viwanja, magari etc hizi stocks ndogo ndogo yani labda uje umiliki 70+ M huko tena iwe target yako ni wholesale, kuwa na subra na have determination with your goals and savings.

Sasa wenzako wanaendesha bajaj au uber kwa siku mtu hakosi 40k - 60k net profit kashatoa mafuta…..mwisho wa mwezi ni nyingi sana ukitoa service and parts bado hela inabaki nzuri tu. Sasa wafate hawa biashara za maduka sijui nn follow all the principles uone kama utafunga 500K net profit kwa mwezi. We mpakaa uuze vitu dukani viishe ubadili stock mara kadhaa ndio ikulipe unafanya mchezo nn na hapo ni headache kibao.

Well Ni Mtazamo Wangu Wa Dhati From My Real Experience, Unaweza Upuuza Lakini.
Hili ni li @ money bags post ni ya April last year still ni kama ya leo hii saa hii ninavyo andika hii comment. Ukitoa kitu Kwa moyo wa that huwa kinaishi bhana
 
Idea ya biashara utaipata kutoka ndani ya nafsi yako, nini unapenda kufanya/ we binafsi una kipaji gani/ unataka kusolve changamoto gani maeneo gani ambayo ndio fursa kwako.

Usifanye kitu cha kusimuliwa
 
Hebu anza kidogo na chips, tafuta sehemu yenye watu wengi, penye mzunguko wa pesa. Anza tu na m 1, nyingine weka fixed account kwa kubuni mbinu nyingine. Chips ikijibu utafurahiya maisha. Kuna wengi waliotoka kwa chips.
 
Ist bei gani mtaani nataka kujiunga bolt niwe naingiza buku 30 per day
 
Idea ya biashara utaipata kutoka ndani ya nafsi yako, nini unapenda kufanya/ we binafsi una kipaji gani/ unataka kusolve changamoto gani maeneo gani ambayo ndio fursa kwako.

Usifanye kitu cha kusimuliwa
Kumbe hii nayo akili. Sasa tatizo ya unachopenda ndio unakuta mtaji changamoto. So inabidi tuanze na hizi business nyingine wakati tunasaka mitaji.
Mie napenda sana mujenga ila sasa hela yenyewe mpaka boss acheke
 
Kumbe hii nayo akili. Sasa tatizo ya unachopenda ndio unakuta mtaji changamoto. So inabidi tuanze na hizi business nyingine wakati tunasaka mitaji.
Mie napenda sana mujenga ila sasa hela yenyewe mpaka boss acheke
Anza mdogo mdogo na ulichonacho, simamia biashara yako pesa itaongezeka utaexpand.....we unapenda nini kwani?

Mi najua we unapenda mbususu
 
Anza mdogo mdogo na ulichonacho, simamia biashara yako pesa itaongezeka utaexpand.....we unapenda nini kwani?

Mi najua we unapenda mbususu
Mie napenda kujenga majumba sasa mtaji sina. Hivi vilaki nitaanza biashara gani? Ile ya chupi za warembo nimefanya niliishia kuhonga warembo chupi mtaji ukakata.
Nikasema nifanye kibanda cha xhips nacho naoma naelekea kufilisika maana chips yai kwa warembo nagawa tuu. Saa sijui nifanye biashara gani
 
Mie napenda kujenga majumba sasa mtaji sina. Hivi vilaki nitaanza biashara gani? Ile ya chupi za warembo nimefanya niliishia kuhonga warembo chupi mtaji ukakata.
Nikasema nifanye kibanda cha xhips nacho naoma naelekea kufilisika maana chips yai kwa warembo nagawa tuu. Saa sijui nifanye biashara gani
Wanawake wanakufilisi.....sasa hapo fanya biashara ya kuuza p2 hiyo zitatoka ila pia watakuonea aibu kula vyako wakishanunua p2 au unaonaje
 
Kwa Tegeta amechelewa hawezi kukimbizana na soko la pale kuna Wapemba na Wachaga pale wamelishikilia soko na mitaji yao ni kuanzia milioni 500 na kuendelea.
Labda aende ndanindani huko Madale au Goba hapo sawa.
Na hata hivyo akitaka kufungua duka la hardware kwa yeye anayeanza ni vizuri auze vitu mchanganyiko na sio vya aina moja itakula kwake.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Biashara ya hardware dar ishakuwa saturated maeneo mengi labda aende kibaha au mkoa mwingine tofauti kbsa
 
Biashara ya hardware dar ishakuwa saturated maeneo mengi labda aende kibaha au mkoa mwingine tofauti kbsa
Yes offcourse soko ni la kugombania na hapo wanaoenjoy ni wale wenye mitaji mikubwa anaagiza vitu vingi kwa bulk quantities ambapo hata akishusha bei bado atapata faida
 
Crypto na Share kwenye projects za Blockchain. Utajiri huu hapa.
 
Yes offcourse soko ni la kugombania na hapo wanaoenjoy ni wale wenye mitaji mikubwa anaagiza vitu vingi kwa bulk quantities ambapo hata akishusha bei bado atapata faida
Biashara nyingi bongo sa iv zina ushindani mkali sana, ili kusurvive unatakiwa uwe super strategic la sivyo biashara itakushinda
 
Mimi nina rafiki yangu alifungua phamarcy kubwa tu tegeta karibu na rabinsinsia stock worth almost 25 M achilia mbali equipments, pc, shelves, rent, mishahara na mengine….hakutoboa miaka 2 akafunga na mkewe ni phamarcist, yani cases ni nyingi sana.

What people don’t know is that wanashindwa calculate estimates za profit margins vizuri + turnovers ambazo ndio za kuja ku cover business obligations na hyo tena ni mpaka mtu uuze sasa imagine mtu kalaza stock ya 25 M mpaka auze ndio aone profit. Wengi wanao toboa town hawategemei retail profits pekee unakuta pia ni whole salers mtu ku flip stock ya 15 M in hours ni kawaida sana kwa wholesale buyers achilia mbali supplies labda uwe na laboratory services hapo hapo…still inawezekana ila ni ujipange sanaa.

Tafuta simple means za ku build capital moja wapo hyo njia nliokuambia then ingia biashara ya kununua na kuuza fixed assets i.e. viwanja, magari etc hizi stocks ndogo ndogo yani labda uje umiliki 70+ M huko tena iwe target yako ni wholesale, kuwa na subra na have determination with your goals and savings.

Sasa wenzako wanaendesha bajaj au uber kwa siku mtu hakosi 40k - 60k net profit kashatoa mafuta…..mwisho wa mwezi ni nyingi sana ukitoa service and parts bado hela inabaki nzuri tu. Sasa wafate hawa biashara za maduka sijui nn follow all the principles uone kama utafunga 500K net profit kwa mwezi. We mpakaa uuze vitu dukani viishe ubadili stock mara kadhaa ndio ikulipe unafanya mchezo nn na hapo ni headache kibao.

Well Ni Mtazamo Wangu Wa Dhati From My Real Experience, Unaweza Upuuza Lakini.
Hii naichukua
 
M
Kuna kijana mmoja anachukua ng'ombe mkoani anachinja anasambaza kwenye maduka yake ya nyama ana duka c chini ya 15 ,yule kijana anapiga pesa c mchezo.
Kwenye kila kg 1 anapata faida 4000.
Anapata faida zaidi ya wale wanaoenda kununua nyama vingunguti
mbasha?
 
Back
Top Bottom