Biashara gani itanitoa kimaisha niepukane na umasikini?

Biashara gani itanitoa kimaisha niepukane na umasikini?

Hajui Biashara Huyo Achana Nae….Mimi nimeshafanya biashara yani vitu kibao hadi nimedalalia scraper (vyuma chakavu) i seen many things.

Japo bado napambana ila ilifika muda nikiona mtu anaanza biashara yake mahali flani na ku zoom mazingira na ethics za huyo mtu i cud predict huyu mtu anafika mbali au la. Na 90% ya watu nliowa predict wata fail wali fail (Sijisifu ila ni yote kutokana na mitikasi ya ku hustle mtaani yani tafuta sana kujua vitu na misingi bora ya biashara imara ni zaidi ya kupewa mtaji 100M)

Kama kuna kitu namshukuru Mungu ni kuniwezesha kupata mtaji often wa kufanya biashara tofauti tofauti. Aisee i learned a lot.

Ukiona mtu amemiliki utajiri and yupo stable mpe heshima yake. Huyo mtu lazima yuko timamu mnoo mentally and spiritually.
I second you,watu wako na secrets nyingi sana hadi kupata success ila kuna watu hawajui haya mambo.
Utakuta mtu ameona jamaa anamiliki Supermarket mahali na anaona wateja wanaingia na kutoka anachukulia rahisi huku anajisemea moyoni yaani na mimi nikienda kukopa mkopo wa milioni 60 nikafungua supermarket kama ile mahali nishatoboa tayari[emoji3]

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Now ur getting my point….sasa mimi biashara nayofanya mm now iko katika mfumo huu. Nashukuru Mungu matokeo nayaona. Hii model ndio nayo i recommend mimi kwa mtu anaeanzq biz mtaani hasa ya trading. Jenga clientelle and channels kwanza.

Inafika wakat hata watu from far hawajui una deal gani office yako wewe ni simu tu. [emoji817][emoji817]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hii style nimeigundua ni nzuri sana kwa sababu unakuwa na wateja locations zote haijalishi uko wapi,ukifanya ndani ya mwaka unaiona impact yake

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
HaHaHa Hizi Nazo Katika Kujitafuta Nilishazifanya SMH

Maisha haya, Sema Nn nyie fanyeni kisha mje na mrejesho ila kumbukeni nimesema ukitaka uanze kukua na grow to a certain level…anzeni na logistics natured business and position yourselves into being middlemen but in a smart way.

Regards
Mkuu mimi nimejump hizo zote nafocus kwenye u broker/middleman.
Kuna mwaka mmoja nilipata funzo sina hamu na hizo biashara za retails kufungua fremu kisha unamngojea mteja aje,nilichapika mbaya[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
HaHaHa Hizi Nazo Katika Kujitafuta Nilishazifanya SMH

Maisha haya, Sema Nn nyie fanyeni kisha mje na mrejesho ila kumbukeni nimesema ukitaka uanze kukua na grow to a certain level…anzeni na logistics natured business and position yourselves into being middlemen but in a smart way.

Regards
Hizo Logistics natured business ni kama zipi kaka, Naomba nipe mfano
 
Mkuu mimi nimejump hizo zote nafocus kwenye u broker/middleman.
Kuna mwaka mmoja nilipata funzo sina hamu na hizo biashara za retails kufungua fremu kisha unamngojea mteja aje,nilichapika mbaya[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app

Biashara za kifal@ hzo labda uwe na mtaji mkubwa enough wa kuwa wholesaler. Maduka ya Mangi Haya Watu Wana Sota For Years Wanatoboa Kwa Kusua Sua Hapo Usisahau Ghetto Lake Ni Humo Humo Dukani Wengine Wanalala.

No Way, I Hustle Different Bruv. Maisha Tunayatafuta Ila Sio Ki Mateso Hivyo U Gotta Have That Metro Mentality (Mtoto Wa Mjini) Chief but All Legit.

Hapo Kariakoo Kuna Vijana Hawana Frame Wala Store ila Wapo Wengine Wana Store Ila Kila Siku anaingiza 100k - 250k ni u middleman tu wana network zao za watu sehem tofauti tofauti hasa kwenye vifaa vya umeme kule.
 
Biashara za kifal@ hzo labda uwe na mtaji mkubwa enough wa kuwa wholesaler. Maduka ya Mangi Haya Watu Wana Sota For Years Wanatoboa Kwa Kusus Sua Hapo Usisahau Ghetto Lake Ni Humo Humo Dukani Wengine Wanalala.

No Way, I Hustle Different Bruv. Maisha Tunayatafuta Ila Sio Ki Mateso Hivyo.
Ni kweli wale wakina Mangi na Waha wakijaga town kuanza biashara ya duka huwa wanasota,wanaishi maisha ya kigumu sana mtu wa kawaida hawezi kuishi vile.
Kwanza wanalala humohumo kwenye kiosk,kula kwa siku mlo mmoja either dinner au lunch,utakuta ana suruali moja au mbili atavaa mwaka mzima.
Na kama ana mke na watoto anawaacha kijijini na atakaa mwaka mzima bila kugusa mwanamke na hataki mazoea na mwanamke then baada ya miaka 3 ndio anapata auheni angalau atapanga chumba na kumleta mke wake town.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli wale wakina Mangi na Waha wakijaga town kuanza biashara ya duka huwa wanasota,wanaishi maisha ya kigumu sana mtu wa kawaida hawezi kuishi vile.
Kwanza wanalala humohumo kwenye kiosk,kula kwa siku mlo mmoja either dinner au lunch,utakuta ana suruali moja au mbili atavaa mwaka mzima.
Na kama ana mke na watoto anawaacha kijijini na atakaa mwaka mzima bila kugusa mwanamke na hataki mazoea na mwanamke then baada ya miaka 3 ndio anapata auheni angalau atapanga chumba na kumleta mke wake town.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app

Sio Kwamba Ni Vibaya Kuishi hivyo, Naaah huyo mtu unakuta hana ndugu mjini hata kama wapo ni wale ndugu kitu hawasaidii nobodys. Sasa mtu anaona ya nn acha nikaze mwenyewe…..kigumu. Hata mzee wangu ametokea kwenye hili life. Nyumba aliyokua anakaa alivyotoka moshi huko hapo tandale hadi leo ipo alinionyesha.

Ila kwa wewe ambae chances umezaliwa hapa dar una sehem ya kuishi sio ya kuomba omba una mazingira mazuri ya kufanikiwa zaidi shida watu hawataki kujiongeza au kunoa ubongo….Game linataka uminye ubongo haswaa. Anything is Possible.
 
Sio Kwamba Ni Vibaya Kuishi hivyo, Naaah huyo mtu unakuta hana ndugu mjini hata kama wapo ni wale ndugu kitu hawasaidii nobodys. Sasa mtu anaona ya nn acha nikaze mwenyewe…..kigumu. Hata mzee wangu ametokea kwenye hili life. Nyumba aliyokua anakaa alivyotoka moshi huko hapo tandale hadi leo ipo alinionyesha.

Ila kwa wewe ambae chances umezaliwa hapa dar una sehem ya kuishi sio ya kuomba omba una mazingira mazuri ya kufanikiwa zaidi shida watu hawataki kujiongeza au kunoa ubongo….Game linataka uminye ubongo haswaa. Anything is Possible.
Ni kweli wengi huwa wanafeli kwa kuishi kwa mazoea

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
HaHaHa Hizi Nazo Katika Kujitafuta Nilishazifanya SMH

Maisha haya, Sema Nn nyie fanyeni kisha mje na mrejesho ila kumbukeni nimesema ukitaka uanze kukua na grow to a certain level…anzeni na logistics natured business and position yourselves into being middlemen but in a smart way.

Regards
HaHaHa Hizi Nazo Katika Kujitafuta Nilishazifanya SMH

Maisha haya, Sema Nn nyie fanyeni kisha mje na mrejesho ila kumbukeni nimesema ukitaka uanze kukua na grow to a certain level…anzeni na logistics natured business and position yourselves into being middlemen but in a smart way.

Regards
Mkuu unaweza kuielezea hii kwa upana kidogo?
 
Ukifungua duka, sijui mgahawa, sijui pub sijui banda la chips, sijui duka la nguo nakuapia utapoteza hyo hela. Mapemaa Saa 2 Asubuhi.

All u need ni shughuli ya kufanya na kuisimamia wewe mwenyewe ambae 100% utakua una deal nayo chances ukipata 10 M nyingine mara mbili yake tena about 20 M kama hyo ndio utaitumia kufungua biashara nlizotaja hapo mwanzo tena kwa kuangalia na mazingira kwa umakini otherwise uta lost big tym my friend.

Been There Done That, For now usifanye biashara Ambayo Utahitaji Kuajiri Watu Wakusaidie Maana Hao Ndio Pasua Kichwa Watakupiga na Kukuliza, Atleast Not For Now (Kuza Kwanza Mtaji Wewe Mwenyewe) Utapata uzoefu na kujifunza mengi sanaa, Hela Ina Codes Nyingi Sana Mkuu Hasa Mtaani.

USHAURI:

Nunua Bajaj / Gari Used not more that 7 M nyingine save for emergency purposes. Register chombo uber / bolt ingia kazini huku una piga mishe za udalali mbili tatu. Utastirika Sana, Biashara zenye nature ya logistics ndio zinazo waweka sana watu mjini iwe bajaj, uber, pick up, canter, fuso yani hizi japo ni challenge ila atleast mostly kama una deal nazo wewe mwenyewe first hand.

Utanishkuru Baadae.
Umeandika ukweli ndugu..hasa kwenye kusimamia mwenyewe au ndugu unaemuamini Sana Kama umebanwa Sana..
Hakika biashara za usafirishaji zinamtoa
 
Wakuu, ni matumaini yangu wazima wa afya,

Nijikite Moja Kwa Moja kwenye mada husika. Naomba msaada juu ya biashara gani naweza fanya nikajikwamua katika hali ya chini.

Moja ktk harakati za utafutaji (Udalali), nimebahatika kufikia kiasi kadhaa Cha fedha 10M, changamoto ninayopitia mpaka sasa nimeshindwa kuiendeleza kutokana na kuwa sijajua nifanye biashara gani itakayo zalisha pesa kwa uharaka na bila maumivu makali.

Nimejaribu fatilia baadhi ya wafanyabiashara wamekuwa wakilalamikia suala la tozo kuwa nyingi kwenye shughuli zao lakini pia haitoshi nikajaribi ingia kwenye kilimo jambo ambalo linahitaji muda wa ziada na utayari wa chochote ktk kuvuna au kupata hasara.

Natamani sana kufanya biashara na ni ndoto niliyokuwa nayo katika maisha yangu naomba maoni yenu, msaada, connection na elimu pia juu ya biashara.

#MEK
Hawana hiyana humu wanamjavi
 
Kanunue basic needs vitu vya madukani kwa jumla viwandani, weka stoo then we unawauzia wenye maduka kwa bei ya rejareja
I tried this business and nilichugundua bora uwe na product yako either una-import or una-produce, hizi za kuchukua madukani sina faida ndogo na kuna competition sana kutoka kwa giants. Pia wateja wanakopa sana nadhani ni nature ya soko. Imagine unauza mzigo let say wa TZS 2,000,000 unapata faida 100k then mtu anakulipa within 1wk had 2wk.
 
HaHaHa kwamba ukitaja aina ya biashara utakua ume expose wamiliki wa hzo biashara ?? Bro retailers wenye mauzo ya 2M amini faida zao hazizidi 10% - 15% ya hzo sales nnje ya hapo kuna magumashi ya kutisha kwenye hyo biashara.

Na hapo bado ana expenses na obligations za kutosha on running that business. I know the retail business in and out…..labda kama location ya biashara ni yao so halipi rent na staff ni family oriented so hakuna wages and salaries.

Otherwise Big NO.
Nilijua wanakuonea. Kumbe kweli hujui kitu kwenye biashara
 
Kama una akili za kusave mpk 10M
Nina imani na akili za kutafuta na kuchanganua business plans mbali mbali unazo.
Relax.. usijepukutisha hizo pesa.

Wanakuja wajuvi
tudada tusichosuka huwaga na tuakili twa hapa na pale sana

napendaga sana mawazo yao,usisuke hivyo hivyo chalii angu uwe unatoa pwenti pwenti
 
Back
Top Bottom