Kuna kijana amemaliza kidato cha nne hana familia inayomtegemea kwa sasa, amepata sehemu milioni 2 anataka kufanya biashara.
Zipi Kati hizi biashara zinaweza kumtoa kwa kipindi hiki.
1. Kilimo
Kwa mtaji huo atafute eneo alime mazao ya muda mfupi kama nyanya, mahindi na maharage, changamoto kubwa hapa ni kupata eneo na mtaji unaweza kuwa kidogo.
2. Kuuza nguo au viatu vya mitumba kwenye minada, awe ananunua mabalo ya mitumba anazunguka kwenye minada na kuuza.
3. Afungue duka la mpesa, tigo na Airtel money.
4. Afungue mgahawa wa chakula
5. Afungue grocery atafute wahudumu wazuri.
6. Atafute eneo afungue carwash
7. Awe anazunguka kwenye minada ananunua ng'ombe anauza.
8.Atafute eneo anunue ng'ombe na mbuzi awanenepeshe na baadae auze.
9. Afungue duka la reja reja.
10. Anunue pikipiki used afanye bodaboda
11. Anunue pikipiki awe anasambaza bidhaa kwenye maduka.
12. Aende porini awe ananunua mazao ya nafaka anauza mjini.
Unaweza ongezea lingine ambalo litamfaa, karibuni.
Zipi Kati hizi biashara zinaweza kumtoa kwa kipindi hiki.
1. Kilimo
Kwa mtaji huo atafute eneo alime mazao ya muda mfupi kama nyanya, mahindi na maharage, changamoto kubwa hapa ni kupata eneo na mtaji unaweza kuwa kidogo.
2. Kuuza nguo au viatu vya mitumba kwenye minada, awe ananunua mabalo ya mitumba anazunguka kwenye minada na kuuza.
3. Afungue duka la mpesa, tigo na Airtel money.
4. Afungue mgahawa wa chakula
5. Afungue grocery atafute wahudumu wazuri.
6. Atafute eneo afungue carwash
7. Awe anazunguka kwenye minada ananunua ng'ombe anauza.
8.Atafute eneo anunue ng'ombe na mbuzi awanenepeshe na baadae auze.
9. Afungue duka la reja reja.
10. Anunue pikipiki used afanye bodaboda
11. Anunue pikipiki awe anasambaza bidhaa kwenye maduka.
12. Aende porini awe ananunua mazao ya nafaka anauza mjini.
Unaweza ongezea lingine ambalo litamfaa, karibuni.