Biashara gani naweza kufanya kwa Milioni 10-18? Msaada Please

Nakushauri nenda kanunue bond pale nmb bank kwa kutumia huo mtaji wako .. nd utakua unalipwa 13% kila mwezi .. so hela yako itakua safe haupati hasara zaid ya kupata faida ..

13% doubtful sina uhakika na taratibu za nmb cuz siyo mteja wao. Ila hii sio kweli hakuna benki inayoweza kukupa faida ya 156% per annum. Mostly ni 3%-6% annually.
 
Kwa mwezi sio mwaka
Ungeweka point katikati ya 1 na 3 it would make a bit of a sense pia mi nshafuatilia kwa makini kabisa hilo swala eversince wanatangaza.na hesabu zilikuwa ni 13% per annum. Wanalipa kwa mihula miwili kila baada ya miezi sita hivyo ukipiga hesabu ndogo tu it means utapokea 6.5% kwa miez sita ya mwanzo then 6.5% kwa miezi sita ya mwisho. Kuhusu ku draw faida kila mwezi sikusikia na pia hata ukikokotoa 6.5% gawanya kwa 6 ili upate kila mwezi unatakuwa ulipwe kiasi gani its around 1.083'% ...
Kwa hio hoja yako ya 1.3% kila mwezi simply means utapokea 7.8% ndani ya miezi 6 which is far beyond the set target ya 6.5% unless otherwise labda NMB wawe wana treat wateja na mikataba tofauti ila hoja yako ina utata!
 

Duh inawaingiza chaka wasomaji ile asilimia 13 ni kwa mwaka na sio kwa mwezi kwa hiyo kama unawekeza milioni 10 kwa mwaka unapata gawiwo la 1.3 m na kwa hiyo miezi sijui mitatu mitatu watakayokulipa ni kwamba wanachukua 1.3 m ambayo ni gawiwo la mwaka wanagawanya kwa hiyo miezi
 
Usibishane na kitu kipo hapa hapa dar .. amka asubuhi mapema nenda nmb bank kaulizie .. ningekua na lile gazeti la mwezi uliopita ningekupigia picha ukasoma
 

Mi nikipiga hesabu za haraka harak naona kama utapata tsh 650,000/= kila baada ya miezi sita kwa investment ya Tshs million 10 which is more than ridiculous!

Hata ukisema tu ununue bodaboda moja ya 2m ukasave hizo 8m, ndani ya miezi sita kwa hesabu ya elfu15 kwa siku you will likely manage to make 450,000/= kwa mwezi mmoja na obviously 2.7m kwa miezi sita na hio ni kwa pikipiki 1 tu!
No disrespect, huo ni mtazamo wangu ambao i do think uko more practical!
 
acha ubishi.. 13% ni kwa mwaka sio mwezi....

hebu ingia website ya nmb ukasome vizuri...

ni kweli umenunua bond hizi au unazuga tu..

kama umenunua utakuwa wa ajabu sana kutosoma mkataba wa hizo bond na kuelewa vizuri

Usibishane na kitu kipo hapa hapa dar .. amka asubuhi mapema nenda nmb bank kaulizie .. ningekua na lile gazeti la mwezi uliopita ningekupigia picha ukasoma
 
Usibishane na kitu kipo hapa hapa dar .. amka asubuhi mapema nenda nmb bank kaulizie .. ningekua na lile gazeti la mwezi uliopita ningekupigia picha ukasoma
Mkuu bond za nmb ni za 3yrs. Ukinunua leo huwezi kuchukua pesa yako mpk baada ya 3yrs. Interest ni 13% kwa mwaka na inalipwa mara mbili kwa mwaka, yaani unapata interest kila baada ya miezi 6, pia unaweza kuziuza hizo bond kwenye soko la hisa (DSE) kama shares wanavyouza but at discount value. Biashara ya bond ni ya mtu ambaye ana idle cash, pesa ambazo hana haraka nazo kwa mda ule lakini kama una alternative ya kufanya sikushauri sana kwenye hii biashara.
 
muongo muongo jamaa.. hajanunua hisa wala nini anaonekana tu uelewa wake mdogo...
hajui hizo hela za bond bank wanazitumia kukopeshea.. sasa wakikupa wewe 13 % per month mtu anayekopa hizo hela watamchaji bei gani riba.. je 20% per month riba?? kitu ambacho sio kweli...

ukikopa hela nmb riba ni 20% per annum. . na hela wanazotumia kutukopesha ndio hizi hizi wanazotuuzia bond ambayo ni 13% per annum... so 7% ndio faida yao


Huyu jamaa anataka kutufanya mazuzu wakati kila kitu kipo online, nahisi kasimuliwa hio ishu au ni braza wake ndio kanunua bond!
 

Namimi napata shida kwenye hili pia. 13% ni asilimia 156 kwa mwaka riba yake. Ambayo ni abnormal profit kwa benk kukupatia.

Labda mdau hapo juu atufungue macho zaidi. Siyo katika hali ya kubisha lakini kupata knowledge zaidi kwenye hii kitu.
 

Kwa wenye uoga wa kufanya biashara na uwekezaji ndo wanafanya huo ujinga wa bonds na fixed account.

Wenye ujasiri wanaenda benk wanachukua hela zao wanatengeneza mpunga mrefu wanarudishia bank na faida yao then bank inamgawia hapo faida yake.

I will never buy the idea of keeping my money into fixed assets. Ni afadhali mara mia kama una uwoga kufanya biashara nunua hata kiwanja uuze baada ya mwaka utapiga mpunga mrefu zaidi ya faida ya bank.
 
Cruzz, Ndio nmb walikuwa wanauza bond, ila muda umeisha nadhani ndani ya mwezi huu. Utaratibu ulikuwa unaweza kununua bond za kuanzia Tsh 500,000/- na kuendelea. Riba no 13% kwa mwaka ambayo wanakulipa 6.5% kila baada ya miezi sita. Nimeshangaa namna unavyoongea kwamba unapata 13% ya ulichowekeza kwa mwezi. Si hivyo, ni 13% kwa mwaka?
 
Namimi napata shida kwenye hili pia. 13% ni asilimia 156 kwa mwaka riba yake. Ambayo ni abnormal profit kwa benk kukupatia.

Labda mdau hapo juu atufungue macho zaidi. Siyo katika hali ya kubisha lakini kupata knowledge zaidi kwenye hii kitu.
Huyo jamaa hana uelewa juu ya hizo bonds, aidha anaskia kwa stori tu...Hizo ni biashara za watu wenye pesa ndefu ambazo wanaziweka kama savings. At least ukiwa na bond ya kuanzia 100G sio mbaya unaweza kuona faida kidogo kila muhula but sio kwa hela zetu za kubangaiza!
 
Sina cha kuongeza kila kitu kimekuwa wazi nilishangaa sana 13/% kwa mwezi?
 

Inawezekana hakuelewa yeye anajua kila mwezi ni ni 13% so atapata mshtuko kulijua hili.
 
Mmmh'kwa uzoefu wangu hii biashara ya kuweka fixed account au bond siikubali coz unawanufaisha saana wale unaowapelekea...akina kimei wanaofanya biashara ya kununua na kuuza currencies kupitia hyo pesa unaowapelekea maana akikusanya watu 20 kam nyie bonge la faida(kwa waliosoma international finance wanajua)..mm nashauri fatilia kwa karibu biashara ya mazao na vyakula kwa mtaji huoo coz hizo ndo biashara ambazo kodi zake ndogo saana au hakuna kabisa...ila biashara ni uvumilvu na ubunifu
 
Lakini mbna unaweza kukopa bank pia .. na ukawalipa kwa riba hivyo hivyo

Mkuu hii kitu nimeipenda, inakuaje nikitaka siku kuchukuwa hiyo hela yangu niliyonunulia bond??

Kwa mfano nimenunua bond za 20 mill vipi nikiitaka let say baada ya miaka 2??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…