Biashara gani naweza kufanya kwa Milioni 10-18? Msaada Please

Unawezaje kuwekeza 10mil usubirie return ya 1.3mil kwa mwaka!!?
Exactly my point...

Kwanza hela yako itakuwa imeshashuka thamani I am telling you. Utawekaje milioni 10 usubiri milioni moja laki tatu mwaka mzima? Doesn't add up.
 
Habari ndugu.Nina kiwanda ambacho natafuta mwekezaji mfanyabiashara ambaye ana milioni 10-20 ambapo unaweza kupata faida ya mil 2-3 kwa mwezi
 
Nina kiwanda changu tanga ambacho ninatafuta mwekezaji ambae atatoa ml 10-20 ambapo atapata faida kwa mwezi ml2-3
 
Kuwa makini na upokee ushauri tu. Kuna matapeli humu.
 
Kuwa makini na upokee ushauri tu. Kuna matapeli humu.
Mm Nina kiwanda changu cha ninatafuta mwekezaji million 10-20 ambapo unapata faida sh ml2-3 kwa mwezi unaweza kuwasiliana na Mimi kupitia 0675226757
 


Aisee. Hili ni bonge la wazo. Azingatie ushauri
 
Nakushauri nenda kanunue bond pale nmb bank kwa kutumia huo mtaji wako .. nd utakua unalipwa 13% kila mwezi .. so hela yako itakua safe haupati hasara zaid ya kupata faida ..
Mkuu hivi fixed deposit account ikoje
 
You are very right mkuu. Kwa kifupi huyu jamaa yete hajaelewa vizuri hiyo biashara ya bond 2a NMB.

out of common sense bank hai wezi Kukupa riba ya 156% per annum ilhali yenyewe haiwezi tengeneza hizopesa
 
Naomba unitengenezee hiyo ndo plan yangu boss 0758 393 393 innocentblandina@gmail.com
 
Nitafute tarehe 6/7/2016 takuwa Tz nikupeleke Kampala ukachukue vipodozi vya ukweli. Jihesabu u tajiri mtalajiwa labda wachawi wafanye yao.
 
Vitunguu haviozi?
 
Kinahusika na sheet na pia mifuko
Ni mpango mzuri mkuu ila juzi Bunge limepitusha sheria ya kuzuia kabisa uingizaji ama uzalishaji wa plastic products kama mifuko sasa sijajua itakuwaje kwa wenye viwanda hivi ambavyo tayari ni operational.
 
SWOT analysis ni muhimu kabla ya kuingia kwenye hiyo biashara. Biashara nyingi zina siri kubwa ambazo mimi na wewe hatuzijui kiundani, huwa tunazijua kwa kama asilimia 20 hivi. Ushauri wangu ni kuwa chukua muda(wewe binafsi) kufikiria bishara gani badala ya kufikiria watu wakuambie ufanye bishara gani. So take care.
 
Ni mpango mzuri mkuu ila juzi Bunge limepitusha sheria ya kuzuia kabisa uingizaji ama uzalishaji wa plastic products kama mifuko sasa sijajua itakuwaje kwa wenye viwanda hivi ambavyo tayari ni operational.
Serikali walikua wametoa mda mpaka mwakani January 1 ila baadae wakaona hakuna njia mbadala walio ipata wakaamua watoe viwango maalum(geji50) ambayo ni migumu inayoweza kutumika zaidi ya maramoja.hata hivyo bado viwanda vinaendelea kutoa hasa kwa dar mifuko ya Rambo ile mikubwa
 
Yes upo sawa, tatizo ni for how long mifuko ya plastic itaendelea kuzalishwa hapa nchi. Serikali wana encourage eco friendly products hasa hii mifuko.
 
Mifuko itaendelea ila kwa viwango vya serikali inayotaka.kusimamisha luzalisha mifuko sio kwamba mazingira ndio yatakua safi ila utunzaji wetu ndio utafanya mazingira yawesafi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…