Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Hope hii ni jokeHapo fungua biashara kuuza wezi wa mtaa
AiseeeeeUza smart gin na bangi. Jamaa ni wadau wakubwa wa hivyo vitu.
Ila jipange kubambikiwa kesi na wateja wako hao hao pale watakapolimbikiza deni na kushindwa kulipa.Aiseeeee
PHOTOCOPYShalom,
December 2022 nilienda likizo nyumbani, nimefika nimekuta wamejenga kituo kipya na kikubwa Cha Polisi. SI mbali na makazi yetu ya asili, nikawaza namna ambavyo naweza kuanzisha biashara Ili kutoa huduma huku nikijiongezea kipato.
Nimekuja mbele yenu mnisaidie mawazo, kutokana na ushindani wa kibiashara sitaweza kutoa location ya kituo kilipo.
Shukrani.
JF iliyojaa vijana ambao ni matokeo ya shule za UPE na Kayumba na wengine wamezaliwa kwenye familia zenye uwezo, kitoke viajira uchwara hapa ndio uone wanavyokimbizana kuhusu usaili wake!,mkuu if ur serious ushauri wa CIA mgumu ni super, ufikirie kwa makiniJF imejaa vijana wa hovyo
Welldone mkuu ushauri huu ni super, karibu sana huku lingusenguse, utalii wa ndani ni mzuri mno kwa uchumi wa nchi yetu, fika hadi Songea mjini then Nkanini atakufuata pale, tufanye pamoja utalii wa ndani kuanzia mbambay hadi huku lingusenguse, Nkanini ata cover hizi costsFungua Stationary, huduma za kifedha, jifunze kudawnload loss report na Tin mtandaoni na kufanya malipo mbalimbali ya serikali wateja wako wengi watakuwa wahitaji huduma pale police
umemalizaaaa....tena loss report unatoa kwa elfu 3Fungua Stationary, huduma za kifedha, jifunze kudawnload loss report na Tin mtandaoni na kufanya malipo mbalimbali ya serikali wateja wako wengi watakuwa wahitaji huduma pale police
Saloon ya kiume, stationary hii ndio haswaa, na chakula hua hakikwepeshiShalom,
December 2022 nilienda likizo nyumbani, nimefika nimekuta wamejenga kituo kipya na kikubwa Cha Polisi. SI mbali na makazi yetu ya asili, nikawaza namna ambavyo naweza kuanzisha biashara Ili kutoa huduma huku nikijiongezea kipato.
Nimekuja mbele yenu mnisaidie mawazo, kutokana na ushindani wa kibiashara sitaweza kutoa location ya kituo kilipo.
Shukrani.
Welldone mkuu ushauri huu ni super, karibu sana huku lingusenguse, utalii wa ndani ni mzuri mno kwa uchumi wa nchi yetu, fika hadi Songea mjini then Nkanini atakufuata pale, tufanye pamoja utalii wa ndani kuanzia mbambay hadi huku lingusenguse, Nkanini ata cover hizi costs