Biashara gani nifanye karibu na Kituo kipya cha Polisi?

Biashara gani nifanye karibu na Kituo kipya cha Polisi?

uza ushaidi wakuwapeleka watu gerezani.kama bangi,madawa,silaha na simu za wizi
 
Shalom,

December 2022 nilienda likizo nyumbani, nimefika nimekuta wamejenga kituo kipya na kikubwa Cha Polisi. SI mbali na makazi yetu ya asili, nikawaza namna ambavyo naweza kuanzisha biashara Ili kutoa huduma huku nikijiongezea kipato.

Nimekuja mbele yenu mnisaidie mawazo, kutokana na ushindani wa kibiashara sitaweza kutoa location ya kituo kilipo.

Shukrani.
Huduma ya kuprint Loss report, photocopy, passport size, huduma za M-pesa, hakikisha una huduma ya kufanya malipo serikali kwa kuwa na POS za benk mfano CRDB! Kwa kifupi stationery iliyokamilika with huduma za ziada. Usikubali kumkopesha askari polisi!!!
 
Shalom,

December 2022 nilienda likizo nyumbani, nimefika nimekuta wamejenga kituo kipya na kikubwa Cha Polisi. SI mbali na makazi yetu ya asili, nikawaza namna ambavyo naweza kuanzisha biashara Ili kutoa huduma huku nikijiongezea kipato.

Nimekuja mbele yenu mnisaidie mawazo, kutokana na ushindani wa kibiashara sitaweza kutoa location ya kituo kilipo.

Shukrani.
Uza mikate, maji, soda, sabuni yaani mahitaji ambayo mahabusu wanayahitaji. Ndugu zao lazima watawanunulia tu
 
Shalom,

December 2022 nilienda likizo nyumbani, nimefika nimekuta wamejenga kituo kipya na kikubwa Cha Polisi. SI mbali na makazi yetu ya asili, nikawaza namna ambavyo naweza kuanzisha biashara Ili kutoa huduma huku nikijiongezea kipato.

Nimekuja mbele yenu mnisaidie mawazo, kutokana na ushindani wa kibiashara sitaweza kutoa location ya kituo kilipo.

Shukrani.
Uza ndom za kenya
 
Back
Top Bottom