CIA mgumu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2022
- 962
- 1,934
🙏🙏🙏umemalizaaaa....tena loss report unatoa kwa elfu 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏🙏🙏umemalizaaaa....tena loss report unatoa kwa elfu 3
Please, usipite bila to give a big shout!!!Nipo Mtwara now wakati napita nitapita hapo Songea
🤝Please, usipite bila to give a big shout!!!
Elli wewe ndio Batuli Actress?Hii nimeona Batuli ameuliza kule Twitter kasome commentsView attachment 2482923
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hii nimeona Batuli ameuliza kule Twitter kasome commentsView attachment 2482923
Watakuja kula kwa bili, mwisho aogope kudai1. Stationery
2. Chakula
Kwa kuanzia
Bila kusahau huduma za fedha + vinywaji + masuala ya malipo ya loss report + kulipia faini za polisi barabaraniPhotocopy na shajara
Huduma ya kuprint Loss report, photocopy, passport size, huduma za M-pesa, hakikisha una huduma ya kufanya malipo serikali kwa kuwa na POS za benk mfano CRDB! Kwa kifupi stationery iliyokamilika with huduma za ziada. Usikubali kumkopesha askari polisi!!!Shalom,
December 2022 nilienda likizo nyumbani, nimefika nimekuta wamejenga kituo kipya na kikubwa Cha Polisi. SI mbali na makazi yetu ya asili, nikawaza namna ambavyo naweza kuanzisha biashara Ili kutoa huduma huku nikijiongezea kipato.
Nimekuja mbele yenu mnisaidie mawazo, kutokana na ushindani wa kibiashara sitaweza kutoa location ya kituo kilipo.
Shukrani.
HahahahaBiashara ya miamala. Michongo yote ya dhamana itapitia kwako. Utakuwa unapigiwa simu Kuna mtu katoa bei kiasi fulani😊😊😊😊
HahahahaaWatakuja kula kwa bili, mwisho aogope kudai
Kijana wa hovyoUza mirungi
Uza mikate, maji, soda, sabuni yaani mahitaji ambayo mahabusu wanayahitaji. Ndugu zao lazima watawanunulia tuShalom,
December 2022 nilienda likizo nyumbani, nimefika nimekuta wamejenga kituo kipya na kikubwa Cha Polisi. SI mbali na makazi yetu ya asili, nikawaza namna ambavyo naweza kuanzisha biashara Ili kutoa huduma huku nikijiongezea kipato.
Nimekuja mbele yenu mnisaidie mawazo, kutokana na ushindani wa kibiashara sitaweza kutoa location ya kituo kilipo.
Shukrani.
Ewaaaaaa at least wewe umekuja na idea tofautiUza mikate, maji, soda, sabuni yaani mahitaji ambayo mahabusu wanayahitaji. Ndugu zao lazima watawanunulia tu
Uza ndom za kenyaShalom,
December 2022 nilienda likizo nyumbani, nimefika nimekuta wamejenga kituo kipya na kikubwa Cha Polisi. SI mbali na makazi yetu ya asili, nikawaza namna ambavyo naweza kuanzisha biashara Ili kutoa huduma huku nikijiongezea kipato.
Nimekuja mbele yenu mnisaidie mawazo, kutokana na ushindani wa kibiashara sitaweza kutoa location ya kituo kilipo.
Shukrani.
Pia sio mbaya ukiweka na nguo, maana kuna baadhi wanaamini nguo za mahabusu zina mikosi, hivyo watahitaji nguo mpya.Ewaaaaaa at least wewe umekuja na idea tofauti