Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #61
Now you're talkingPia sio mbaya ukiweka na nguo, maana kuna baadhi wanaamini nguo za mahabusu zina mikosi, hivyo watahitaji nguo mpya.
Unaweza kuweka huduma za bafu na choo za kulipia, hautojuta