Biashara gani unayoweza fanya yenye uwezo wa kuingiza milion 300 kwa mwaka kwa kutumia mtaji wa bilion 1?

Biashara gani unayoweza fanya yenye uwezo wa kuingiza milion 300 kwa mwaka kwa kutumia mtaji wa bilion 1?

Nunua shamba la heka 20
Zungusha uzio
Chimba kisima
Jenga mabanda
Fuga nguruwe wa kisasa
Ni kama broiler
Jenga kijumba cha vyumba kadhaa
Kwaajili ya wafanyakazi kadhaa
Watakaoishi hapo shamba
Nguruwe wa kisasa hukuwa haraka na wana soko pia kuanzia mbegu mpaka kwa wachinjaji
Panda mazao hapo shambani kwaajili ya chakula cha nguruwe na kingine utakuwa unanunua
Nunua nguruwe ambao wamefikia kupandwa
Ukianza na nguruwe 100 siyo mbaya

Ambao kila nguruwe unaweza kununua kwa milioni na nusu
mpaka milioni mbili

Nguruwe anakaa na mimba miezi minne kasoro
Nguruwe mmoja anaweza kuzaa watoto zaidi ya kumi
Kwa hiyo before mwaka kuisha utakuwa na nguruwe zaidi ya elfu1
Unaweza kuuza mbegu yani wakiwa bado wadogo kama miezi 3 hivi wakimaliza kunyonya unawaweka sokoni
Wa kisasa wanakuwa haraka hawali sana
Wakienyeji wanakula sana na wanakuwa kidogo
Nguruwe wa kisasa wa miezi mitatu ni kama wa miezi sita kienyeji kwahiyo kienyeji ni hasara
Nguruwe wa miezi mitatu unaweza kumuuza hata laki nne na kuendelea
Nguruwe wa kufaa kula ni kuanzia miezi6 na kuendelea
Pia katika wafanyakazi wako ajiri mtaalamu/daktari wa kilimo/ ufugaji
Awe ndiyo kiongozi wa hawa wafanyakazi wengine utakao kuwa nao ili mambo yaende vizuri
Unaweza kutumia nusu au chini ya nusu ya hiyo hela kwenye hizo vurugu zote
Naomba unicheki mkuu 0783386653
 
Ukinunua hisa za Crdb au NMB
Utapata zaidi ya milioni 150 gawio Kwa mwaka lakini faida yake ni kuwa hutahangaika kununua chochote kingine wala kuajiri yeyote Yule mwingine.....risks ni ndogo sana...
Unaweza hata kuamua kusafiri na kutembea duniani huku unasuburi hela zako ... mwisho WA mwaka ...
Kama hupendi kubahatisha hiyo inaweza faa sana
Kuna hilo tangazo la kijani BOND toka CRDB,ukiwekeza unapata riba ya 10.25%.Kwa mwaka unapata 102.5M Kama faida kwa miaka 5 utapata 512,500,000/= wakati huo ushafikiri mradi upi wa kuwekeza.
Hii ni Risk free,na haihitaji usimamizi, mtaji wako utabaki salama na faida juu
 
Nunua roli za kokoto na mchanga kisha nunua crasha za kusaga kokoto na changarawe lugoba,
Tafuta yadi mbagala,tegeta nk uwe unamwaga mzigo au ingia ubia na makampuni ya kutengeneza zege uwauzie kokoto.
Au kampuni za ujenzi
Trip moja ya kokoto inauzwaje? Unahitaji kiasi gani kuanza?
 
Elezea zaidi, kwamba anunue malori ya mizigo au? Tupe mchanganuo
Aaagzie used semi trailer tano kuotka Uk mpka bongo kama 70mill kwa kichwa total 350mill

Na semi trailer 5 kama 150 mill

So kwa mill 500, atakuwa na logistic comapany yenye uwezo wa kufanya safari za nje, zambia, congo burundi rwanda uganda n.k

Kwa mwaka anapata zaidi ya hiyo mia tatu.

Hiyo mil 500 nyingine akaweke fixed deposit bank
 
Aaagzie used semi trailer tano kuotka Uk mpka bongo kama 70mill kwa kichwa total 350mill

Na semi trailer 5 kama 150 mill

So kwa mill 500, atakuwa na logistic comapany yenye uwezo wa kufanya safari za nje, zambia, congo burundi rwanda uganda n.k

Kwa mwaka anapata zaidi ya hiyo mia tatu.

Hiyo mil 500 nyingine akaweke fixed deposit bank
Bei ya mzigo kwenda Zambia ni Sh ngapi?
 
CBD oil na byproducts zake.
Apply license katika nchi za kusini, South Africa au Zimbabwe.
Kiasi fulani Kwa ajili ya lobbying na ushawishi,
then setup greenhouses zako.
Kilimo Cha cannabis ni business itayo guarantee faida zaidi ya hiyo hasa kama utafanya legally.
 
Aaagzie used semi trailer tano kuotka Uk mpka bongo kama 70mill kwa kichwa total 350mill

Na semi trailer 5 kama 150 mill

So kwa mill 500, atakuwa na logistic comapany yenye uwezo wa kufanya safari za nje, zambia, congo burundi rwanda uganda n.k

Kwa mwaka anapata zaidi ya hiyo mia tatu.

Hiyo mil 500 nyingine akaweke fixed deposit bank
Connection ya mizigo si ya kitoto plus madereva pasua kichwa ukisikia tu simu ya dereva pressure juu lazima upaki kwanza uchelewi kuambiwa boss chungulia wasap
 
Connection ya mizigo si ya kitoto plus madereva pasua kichwa ukisikia tu simu ya dereva pressure juu lazima upaki kwanza uchelewi kuambiwa boss chungulia wasap
Biashara zote zina changamoto, ni utayari ndio unahitajika swala la kudili na madereva ajali ni vitu vya kawaida kwenye vyombo vya moto
 
Back
Top Bottom