Biashara gani ya kunipa faida ya laki mbili kwa siku

Biashara gani ya kunipa faida ya laki mbili kwa siku

Wana jf habari za majukumu?
Kati mada ilivyo hapo juu hivi
Naweza kujishughulisha na nini hasa ili faida ya biashara yangu iwe inanilipa laki mbili kwa siku.?????

Mchango wako ni muhimu kwangu
Zipo biashara nyingi tu za kukupa hata 10M na zaidi kwa siku; ila swali ni una mtaji kiasi gani? Unaweza kuuza maji ya kunywa yaliyotengenezwa na makampuni mengine na ukapata 500,000/= kila siku, ila inabidi uwe na mtaji mkubwa na magari ya kusambaza pia na madepoti makubwa sehemu mbalimbali.
 
Wana jf habari za majukumu?
Kati mada ilivyo hapo juu hivi
Naweza kujishughulisha na nini hasa ili faida ya biashara yangu iwe inanilipa laki mbili kwa siku.?????

Mchango wako ni muhimu kwangu
Wewe kama wewe unaweza biashara gani na una mtaji kiasi gani ili upate hiyo laki mbili kwa siku.....!!?

Maana biashara iko nyingi,
1) Kuuza petrol station (mafuta).
2) Kuuza mazao (nafaka)
3) Kuuza bangi (pusha)
4) N.k, N.k, .......

Tudadavulie sasa tukuelewe.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zipo biashara nyingi tu za kukupa hata 10M na zaidi kwa siku; ila swali ni una mtaji kiasi gani? Unaweza kuuza maji ya kunywa yaliyotengenezwa na makampuni mengine na ukapata 500,000/= kila siku, ila inabidi uwe na mtaji mkubwa na magari ya kusambaza pia na madepoti makubwa sehemu mbalimbali.

Mtaji wangu ni 100M
 
Wewe kama wewe unaweza biashara gani na una mtaji kiasi gani ili upate hiyo laki mbili kwa siku.....!!?

Maana biashara iko nyingi,
1) Kuuza petrol station (mafuta).
2) Kuuza mazao (nafaka)
3) Kuuza bangi (pusha)
4) N.k, N.k, .......

Tudadavulie sasa tukuelewe.....

Sent using Jamii Forums mobile app

MTAJI WANGU NI M100
 
Laki mbili kwa siku hapo ni sawa na uwe na pikipiki 20 za mkataba na wote wakuletee 10,000/= kwa siku ndio utapata hiyo laki 2.....Mtaji wa kuwa na hizo pikipiki si chini ya mil 40[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

NB: faida kubwa, mtaji mkubwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Pikipiki 20 sio biashara, unaijua biashara mkuu.

Portfolio | 2020
 
Laki mbili kwa siku hapo ni sawa na uwe na pikipiki 20 za mkataba na wote wakuletee 10,000/= kwa siku ndio utapata hiyo laki 2.....Mtaji wa kuwa na hizo pikipiki si chini ya mil 40[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
NB: faida kubwa, mtaji mkubwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaleta basi hizo pikipiki? Bodaboda akili yake kama anavyokikmbiza boda yake.
 
Laki mbili kwa siku hapo ni sawa na uwe na pikipiki 20 za mkataba na wote wakuletee 10,000/= kwa siku ndio utapata hiyo laki 2.....Mtaji wa kuwa na hizo pikipiki si chini ya mil 40[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

NB: faida kubwa, mtaji mkubwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mtaji wa pikipiki 20 akiletewa 200,000 kwa siku bado sio faida aitakayo maana humo kwenye laki mbili ya siku kuna hela iliyo tumika kununulia pikipiki...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara yenye faida kubwa ni biashara yenye mtaji mkubwa. Faida unayoizungumzia wewe unatakiwa utoe hapo Kodi, Mshahara wa wafanyakazi wako, Matumizi madogo madogo kama umeme, nauli na chakula nk. Ushahuri wangu kama mfanya biashara, duniani hakuna shortcut, wewe kama unadhania faida inatengenezwa kirahisi utajikuta watu wanakushauri na hawana background na biashara, hawana elimu ya biashara na ulivyouliza ni jambo la busara ila inaonyesha huna elimu ya kutosha ndio maana umeomba ushauri...

Ushauri wa zaida, fanya biashara unayoiweza na uliyo na ujuzi nao, biashara za kuambiwa utapata hasara kubwa mno kama huna uzoefu nazo. Anza biashara hata kama ni ndogo kwa kuwa una ujuzi nayo utafika mbali sana. Na una nafasi ya kukuza biashara yako kuwa kubwa zaidi. Bakhresa katoka kaitoa bishara ya kuuza maandazi kutoka mtaa kwa mtaa mpaka imekuwa ni bishara kubwa na anauza nchi nzima wakati wengi wanalenga mtaa mmoja. Ila kwa ndoto zake na udogo wake kaufanya kwa makubwa...

Mie nilianza na shilling elfu 2 ila nimehangaika kwa miaka minne, ila nimenunua viwanja nimeweza kujikimu kimaisha na vitu vingi vyenye thamani ya mamilion ambayo sikutegemea kushika back then...

Ila kwa million 100 afu hujui unataka ufanye nayo nini, manake labda hela ya urithi ila kama ungekuwa mtafutaji mda mrefu ungeweza kujua unachotaka kufanya. Kuwe serious na ukibabaika itakugharimu...
 
Back
Top Bottom