Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiswahili siyo mojawapo ya lugha rasmi za wazungu. Wakati sisi Kiingereza ni lugha rasmi hapaHivi na wazungu nao huchangia mada zao kwa kiswahili?
Aisee jf ni kibokoMtaji=400,000
ODDS=1.55
400,000×1.55=620,000
620,000-400,000=220,000.
Sent using Jamii Forums mobile app
faida ni kile kinachobaki ukitoa mtajiLaki mbili kwa siku hapo ni sawa na uwe na pikipiki 20 za mkataba na wote wakuletee 10,000/= kwa siku ndio utapata hiyo laki 2.....Mtaji wa kuwa na hizo pikipiki si chini ya mil 40[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
NB: faida kubwa, mtaji mkubwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana JF habari za majukumu?
Kati mada ilivyo hapo juu hivi. Naweza kujishughulisha na nini hasa ili faida ya biashara yangu iwe inanilipa laki mbili kwa siku?
Mchango wako ni muhimu kwangu.
Wana JF habari za majukumu?
Kati mada ilivyo hapo juu hivi. Naweza kujishughulisha na nini hasa ili faida ya biashara yangu iwe inanilipa laki mbili kwa siku?
Mchango wako ni muhimu kwangu.
Simtetei jamaa ila kwenye mambo yakitaaluma wakati fulani kuna misamiati yakiswahili hata kama ipo na ikaandikwa itakua migumu bora ya kingereza.Hivi na wazungu nao huchangia mada zao kwa kiswahili?
Nipe mimi hyo mil 100 then ntakupa laki 2 dailyMtaji wangu ni 100M
Andaa mtaji usiopungua 20M ,harafu njoo tena hapa Jf uulize swali lako.Wana JF habari za majukumu?
Kati mada ilivyo hapo juu hivi. Naweza kujishughulisha na nini hasa ili faida ya biashara yangu iwe inanilipa laki mbili kwa siku?
Mchango wako ni muhimu kwangu.
Biashara ya mabasi
Ruti fupi yakutoka mwanza mpaka Geita
Kutoka mwanza mpaka Tabora
Kutoka
Dodoma mpaka Dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni graduate toka Mlimani Nina biashara ya play station kwa mtaji wa 2M..kila baada ya siku 10 napata 100k na hiyo ni kwa outset 1..kama nikiwekeza 20×2M=40M,,10k×20=200,000/= for 40M..na hiyo yote ni almost profit maana pesa inayoingia yote ni deposited matumiz mengine ni nje ya hiyo per day..
Pia napanga kufungua Car Wash kwa 2M nauhakika wa kupata 50k per day kwa office moja nikiosha gar 10tu ....kila la kheri
Wana JF habari za majukumu?
Kati mada ilivyo hapo juu hivi. Naweza kujishughulisha na nini hasa ili faida ya biashara yangu iwe inanilipa laki mbili kwa siku?
Mchango wako ni muhimu kwangu.
kajenge guest house maeneo ya pembezoni mwa mji yenye vyumba 15 na iwe elf 15 kwa chumba per day
Mtoa mada hizo post zako za nyuma [emoji622]Contents
[emoji375]View attachment 1377637View attachment 1377638View attachment 1377640
Sent using Jamii Forums mobile app