Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Good woman!Fanya bulk production.
Fungua kiwanda cha bidhaa yoyote yenye mzunguko mkubwa wa mauzo.
Tafuta vijana wa sales unawalipa kwa commission, unatafuta wateja wa jumla pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good woman!Fanya bulk production.
Fungua kiwanda cha bidhaa yoyote yenye mzunguko mkubwa wa mauzo.
Tafuta vijana wa sales unawalipa kwa commission, unatafuta wateja wa jumla pia.
Labda kuuza pikipiki zenyewePikipiki 20 sio biashara, unaijua biashara mkuu.
Portfolio | 2020
Dagaa, genge n.k. Ziko nyingi tuBiashara gani ya laki 5,unapata faida ya 20,000 kwa siku?
Ni biashara gani utafanya upate hiyo 20000 Tsh kwa siku.Wengine tunahangaika kupata mtaji wa laki 5 tu
Walau nipate faida ya elfu 20 kwa siku
Mwingine ndo hivyo
Kweli Mungu alijua kutuweka kwenye matabaka
Sent using Jamii Forums mobile app
powa
Juice fresh, smoothies, uza hata mayai ,matunda ya kukata kata yote yanafaida hyo
Sorry wakati unaandika hii comment ulikuwa unajua tofauti ya faida ma turnover?Laki mbili kwa siku hapo ni sawa na uwe na pikipiki 20 za mkataba na wote wakuletee 10,000/= kwa siku ndio utapata hiyo laki 2.....Mtaji wa kuwa na hizo pikipiki si chini ya mil 40[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
NB: faida kubwa, mtaji mkubwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa investement ya Tsh ngapi?Wana JF habari za majukumu?
Kati mada ilivyo hapo juu hivi. Naweza kujishughulisha na nini hasa ili faida ya biashara yangu iwe inanilipa laki mbili kwa siku?
Mchango wako ni muhimu kwangu.
Mil. 100? Dah!Mtaji wangu ni 100M
Inawezekana vip kwa biashara ganiNitarudi kuja kuandika neno kwenye huu uzi, lakini niseme INAWEZEKANA VIZURI.