Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara yenye faida kubwa ni biashara yenye mtaji mkubwa.
Biashara ya car wash naitamani kwa hiyo mil 2 ni nini mkuuMimi ni graduate toka Mlimani Nina biashara ya play station kwa mtaji wa 2M..kila baada ya siku 10 napata 100k na hiyo ni kwa outset 1..kama nikiwekeza 20×2M=40M,,10k×20=200,000/= for 40M..na hiyo yote ni almost profit maana pesa inayoingia yote ni deposited matumiz mengine ni nje ya hiyo per day..
Pia napanga kufungua Car Wash kwa 2M nauhakika wa kupata 50k per day kwa office moja nikiosha gar 10tu ....kila la kheri
Ndogo Sana kwa uwekezaji wa Milioni 100 maana break even yake itakuwa ni miaka 3 ukitoa na gharama za uendeshaji.Kama hio ni baada ya kutoa gharama zote ina maana ni mwaka na nusu.Hujaweka weka issue ya RISKs etc.Nafikiri huyu bwana amekuja kuuliza swali sahihi sehemu isiyo sahihi au ni chaiUpo siriasi kweli unataka kuwekeza m100 upate laki 2 kwa siku? Mbona iyo return ndogo?
Ndogo Sana kwa uwekezaji wa Milioni 100 maana break even yake itakuwa ni miaka 3 ukitoa na gharama za uendeshaji.Kama hio ni baada ya kutoa gharama zote ina maana ni mwaka na nusu.Hujaweka weka issue ya RISKs etc.Nafikiri huyu bwana amekuja kuuliza swali sahihi sehemu isiyo sahihi au ni chaiUpo siriasi kweli unataka kuwekeza m100 upate laki 2 kwa siku? Mbona iyo return ndogo?
DAX30 inafaa sana, pip value yake kubwa sana. jichawichawi ni ENTRYLot size 1 pips 15 ndani ya dakika kadhaa ushapata +200k chap.
Uza bangi au anzisha danguro...utapata hata milioni kwa siku...
Mimi ni graduate toka Mlimani Nina biashara ya play station kwa mtaji wa 2M..kila baada ya siku 10 napata 100k na hiyo ni kwa outset 1..kama nikiwekeza 20×2M=40M,,10k×20=200,000/= for 40M..na hiyo yote ni almost profit maana pesa inayoingia yote ni deposited matumiz mengine ni nje ya hiyo per day..
Pia napanga kufungua Car Wash kwa 2M nauhakika wa kupata 50k per day kwa office moja nikiosha gar 10tu ....kila la kheri
Biashara gani ya laki 5,unapata faida ya 20,000 kwa siku?Wengine tunahangaika kupata mtaji wa laki 5 tu
Walau nipate faida ya elfu 20 kwa siku
Mwingine ndo hivyo
Kweli Mungu alijua kutuweka kwenye matabaka
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha MIYEYUSHO JAZZ BANDContents
[emoji375]View attachment 1377637View attachment 1377638View attachment 1377640
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara gani ya laki 5,unapata faida ya 20,000 kwa siku?
Mkoa gani
Poa utanipatia mchanganuo pm