Biashara haramu ndio biashara kubwa duniani

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Madawa ya kulevya yaweza kuwa yanaongoza
Kisha inakuja ya kuuza silaha haramu
Kusafirisha binafamu
Bidhaa feki nazo ni top selling products.. Pombe zikiwa kinara

Kwa Afrika wafanyabiashara mafia wanashirikiana na wanasiasa walioko madarakani

Hawa wafanyabiashara wanatoa mitaji na nyenzo wanasisa wanatoa ulinzi.. Kwa ukanda wa Afrika mashariki kusafirisha binadamu ni hot cake.. Hasa wasomali na waethiophia..
Kuna nyingine ya madanguro ya kihindi na kichina.. Mabinti wa Kithai na wahindi wa India

Ona hapa mbinu zinazotumika..Bila kuuza siri ni ngumu kung'amua hii mbinu
 
Loh hateri.
 
Duh! Hatari sana mkuu.
 
Sio kweli, mafuta, gesi na dhahabu ndio biashara kubwa zaidi duniani
 
Msomali mmoja ni bei gani kumuuza?
 
Zile gari za chama zinakamatwa na usafirishaji, kesi huisikii ilienda mahakama gani
 
Hii mbinu ni kiboko.๐Ÿ™Œ๐Ÿฟ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ