Biashara haramu ndio biashara kubwa duniani

Biashara haramu ndio biashara kubwa duniani

Hakuna biashara yenye faida na inayotumiwa na watu wengi huku imeharamishwa kama ukahaba.
Na upo kila mahali duniani mpaka Mecca na Vatican City.
Na nchi zilizohalalisha bado zina-control makahaba ambao hawataki kuwa controlled na serikali, kwa hiyo wanafanya kiharamu.Drugs na Silaha zote ni biashara zinazopaliliwa na ukahaba.
It's the oldest, most profitable and unbeatable.
Hapana, sio kweli
Huu ulioandika hapa ni uongo mwingi na over exaggerated stories.
 
Hawa wanakimbia kwao. . Hapa kwetu ni kipitishio tuu..
Nimeandika full detailed information then nikafuta, back then when I was still a young dude Chirundu to Beight Bridge used to be my territory.
In short, it's money 💰.
 
Nimeandika full detailed information then nikafuta, back then when I was still a young dude Chirundu to Beight Bridge used to be my territory.
In short, it's money 💰.
Please share again.. Remember sharing is caring 🙏🏾
 
Back
Top Bottom