Biashara hizi zimefunguliwa na wengi lakini wachache sana wameweza kudumu

Biashara hizi zimefunguliwa na wengi lakini wachache sana wameweza kudumu

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
1. Night Club
07safrica-nightlife-3-1-bfb5-superJumbo.jpg


2. Baa
Best-Arusha-Bars-and-Clubs.jpg


3. Mabasi ya mikoani
1731359768653.png


4. Kumbi za kukodisha
1731359309949.png
 
Biashara hii kwa wengi huvuma kwa muda mfupi na kisha hufa ndani ya miaka michache
Sababu wateja ni wale wale na kukiwa hakuna vivutio vya utalii wateja hawaji kukiwa na vivutio hata wasiokunywa watakuja na bar itajaa okota toto 2/3 zenye sambwanda ziweke pale ziwe zinagawa vinywaji uone km biashara itakufa
 
kwenye mabus tricks inayotumika ni kubadilisha kampun jina
Sio rahisi Khivyo, Kampuni ikichoka ni kwasababu hakuna pesa ya kuendesha Bashara

Figisu, Gari zinakula mizinga, Matengenezo na service pasua kichwa, Madereva wanaibia boss, Marejesho ya mikopo, Matrafiki, n,k. Wateja wanaanza kulikwepa basi.

Sumry iliwahi kubadili jina lakini wapi, huduma ilikuwa mbovu vilevile
 
Sababu wateja ni wale wale na kukiwa hakuna vivutio vya utalii wateja hawaji kukiwa na vivutio hata wasiokunywa watakuja na bar itajaa okota toto 2/3 zenye sambwanda ziweke pale ziwe zinagawa vinywaji uone km biashara itakufa
Hivi Rose Garden bado ipo? (ya Mikocheni). Na bado ina wateja? Ni moja ya bar zilizovuma kwa muda mrefu sana.
 
Back
Top Bottom