Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara hii kwa wengi huvuma kwa muda mfupi na kisha hufa ndani ya miaka michacheBar ni moja ya biashara ya kijinga sana..,
Unatumia nguvu kubwa kutafuta hela ndogo
Bar ni moja ya biashara ya kijinga sana..,
Unatumia nguvu kubwa kutafuta hela ndogo
Pia hawajaiba chupa na kuvunja glass...mara kaunda kakimbia na helaUpo sahihi.. na hapo bado walevi wanahama hama
Sababu wateja ni wale wale na kukiwa hakuna vivutio vya utalii wateja hawaji kukiwa na vivutio hata wasiokunywa watakuja na bar itajaa okota toto 2/3 zenye sambwanda ziweke pale ziwe zinagawa vinywaji uone km biashara itakufaBiashara hii kwa wengi huvuma kwa muda mfupi na kisha hufa ndani ya miaka michache
Tatizo wateja wake ndo waseng yaani yanahama kama yangeyange leo yamefurika kwako kesho yapo kwa jirani.Bar ni moja ya biashara ya kijinga sana..,
Unatumia nguvu kubwa kutafuta hela ndogo
Inasaidia nini? Na je ina impact gani ki faida?kwenye mabus tricks inayotumika ni kubadilisha kampun jina
Sio rahisi Khivyo, Kampuni ikichoka ni kwasababu hakuna pesa ya kuendesha Basharakwenye mabus tricks inayotumika ni kubadilisha kampun jina
akili nyingi itumike na ubunifu piaBiashara ya Bar jau sanaaa
Uliweza kufungua mkuu??akili nyingi itumike na ubunifu pia
Hivi Rose Garden bado ipo? (ya Mikocheni). Na bado ina wateja? Ni moja ya bar zilizovuma kwa muda mrefu sana.Sababu wateja ni wale wale na kukiwa hakuna vivutio vya utalii wateja hawaji kukiwa na vivutio hata wasiokunywa watakuja na bar itajaa okota toto 2/3 zenye sambwanda ziweke pale ziwe zinagawa vinywaji uone km biashara itakufa
Biashara ya msimu lazima ikate.Biashara hii kwa wengi huvuma kwa muda mfupi na kisha hufa ndani ya miaka michache