Wametukana WAKUNGA
Member
- Nov 12, 2024
- 27
- 37
14. Itoshe kusema chelehani 4 ni kiwanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikikumbuka Hongera Bar na Kilitime Bar Sinza!Bar ni moja ya biashara ya kijinga sana..,
Unatumia nguvu kubwa kutafuta hela ndogo
Carlos AKA (Kalito Samaki) ndo anamiliki pale. Jamaa ni mbunifu sana. Ingekuwa ngozi nyeusi usingeiskia tena, watu weusi tunapenda kuigana hatuna ubunifu.
Vipi Kitambaa Cheupe nayo inahusika hapa?Bar ni moja ya biashara ya kijinga sana..,
Unatumia nguvu kubwa kutafuta hela ndogo
Wakihama, wanahama na madeni,....Ukigoma kuwakopesha, kesho hawaji,...😁😁Upo sahihi.. na hapo bado walevi wanahama hama
Asylum alycum ndugu engonga
Hii lina ukweli kuna bibie mmoja alifungua bar na mtaji mkubwa biashara ili survive kwa miaka minne after that aliifunga.Bar ni moja ya biashara ya kijinga sana..,
Unatumia nguvu kubwa kutafuta hela ndogo
17. Tuanze biashara ya Kumtafuta afungue biashara ya UFUFUO NA UZIMA DUNIANI - Tunasikia ndio inalipa sana akemeee BiaHii lina ukweli kuna bibie mmoja alifungua bar na mtaji mkubwa biashara ili survive kwa miaka minne after that aliifunga.
Biashara ya bar ikiwa inakata hairudishi haa sent tano
5. MAKANISA YA KIROHO1. Night Club
View attachment 3149801
2. Baa
View attachment 3149802
3. Mabasi ya mikoani
View attachment 3149800
4. Kumbi za kukodisha
View attachment 3149796
Bar, nyama choma na supu , na vyumba vya wageni , hakuna hela ndogo kwa mfanya biashara.Bar ni moja ya biashara ya kijinga sana..,
Unatumia nguvu kubwa kutafuta hela ndogo
Bar ili idumu inabidi iwe na vitu vingi sana, ukiachana na kuwepo na vinywaji na vyakula. Lazima pawe na vibe, parking, malaya, bar iwe na gesti ili watu wapewe K. Wahudumu wazuri. Promo ya kutosha. Location nzuri kwa waleviBar, nyama choma na supu , na vyumba vya wageni , hakuna hela ndogo kwa mfanya biashara.
Kabisa mkuu na bar yako ikiwa na wateja vijana wa kihuni unawakimbiza wale wateja wenye hela zao.Bar ili idumu inabidi iwe na vitu vingi sana, ukiachana na kuwepo na vinywaji na vyakula. Lazima pawe na vibe, parking, malaya, bar iwe na gesti ili watu wapewe K. Wahudumu wazuri. Promo ya kutosha. Location nzuri kwa walevi
Bar n̈a club ni biashara ambazo unapiga hela nyingi ndani ya kipindi cha muda mfupi. Miaka 2-41. Night Club
View attachment 3149801
2. Baa
View attachment 3149802
3. Mabasi ya mikoani
View attachment 3149800
4. Kumbi za kukodisha
View attachment 3149796
Ndio maana vitu wavuvi camp vipo bei juu sana. Ili vijana maskini na watu wa hovyo wasiende huko. Au wakienda wasirudi tena. Waende watu wa maana tu. 🤣Kabisa mkuu na bar yako ikiwa na wateja vijana wa kihuni unawakimbiza wale wateja wenye hela zao.
Ameset standard kuna aina ya wateja ukiwa nao bar haichuji inaweza kosa vibe ila hela ikawepo.Naona Samaki Samaki Masaki bado inashika na it has been a while. Wanatumia mbinu gani kuretain walevi??
🤣🤣🤣beer moja 9000 wakati akienda kitambaa cheupe anapata beer 3 hadi 4.Ndio maana vitu wavuvi camp vipo bei juu sana. Ili vijana maskini na watu wa hovyo wasiende huko. Au wakienda wasirudi tena. Waende watu wa maana tu. 🤣