Biashara hizi zimefunguliwa na wengi lakini wachache sana wameweza kudumu

Biashara hizi zimefunguliwa na wengi lakini wachache sana wameweza kudumu

17. Biashara ya kutengeneza CV (Wasifu wa Watu) hata Tundu Lisu tunakusumbua kwa sababu ulipata Raha moja na Mkeo lazima ituletee ubiliomea! - Haka ka CV sio hako karaha ulikuwa hujakapata pata(Wamechukua Miraha yote ya Nyumbani ili wakawe wabilionea - Kuogeshwa👙, Mama ntilie👙, Massage👙, Usafi wa Mazingira💃💃 )

IMG_20241112_182907.jpg
 
Ndio maana vitu wavuvi camp vipo bei juu sana. Ili vijana maskini na watu wa hovyo wasiende huko. Au wakienda wasirudi tena. Waende watu wa maana tu. 🤣
Tatzo siku hizi hata hzo bar za maana vijana wa kihuni nao wapo , unawakuta na bastola zao kiunoni washamba sana, bora kama nikujitungua mtu ujitungulie gheto upande kitandani😂
 
Naoooomba kazi ya Utegemeziiii nimefungua biashara - Mjinga anatangaza mtaa wote kuwa mimi ni mchawiiiiiii

download.jpeg

KAMATI ya Bunge ya Bajeti imeshauri serikali kuhakikisha ongezeko la watu linaendana na ukuaji wa uchumi kwa kuwa kwasasa kati ya watu 87 kati ya 100 ni tegemezi.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Oran Njeza ameyasema hayo bungeni leo alipokuwa akisoma maoni ya kamati kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2025/26 pamoja na mapendekeo ya mwongozo wa maandalizi ya Mpango na Bajeti ya serikali kwa Mwaka 2025/26.

Amesema kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya Mwaka 2022, idadi ya watu ilikuwa ni 61,741,120 Mwaka 2022 na inakadiriwa kuwa 87,509,630 ifikapo Mwaka 2035 kutokana na ongezeko la watu la asilimia 3.2 kila mwaka
 
Naombaaaaa kazi ya HouseGirl/Houseboy nimefungua Kabiashara hapa wanasema mie ni tatizoooo😂😂😂

download.jpeg

KAMATI ya Bunge ya Bajeti imeshauri serikali kuhakikisha ongezeko la watu linaendana na ukuaji wa uchumi kwa kuwa kwasasa kati ya watu 87 kati ya 100 ni tegemezi.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Oran Njeza ameyasema hayo bungeni leo alipokuwa akisoma maoni ya kamati kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2025/26 pamoja na mapendekeo ya mwongozo wa maandalizi ya Mpango na Bajeti ya serikali kwa Mwaka 2025/26.

Amesema kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya Mwaka 2022, idadi ya watu ilikuwa ni 61,741,120 Mwaka 2022 na inakadiriwa kuwa 87,509,630 ifikapo Mwaka 2035 kutokana na ongezeko la watu la asilimia 3.2 kila mwaka
 
Naona Samaki Samaki Masaki bado inashika na it has been a while. Wanatumia mbinu gani kuretain walevi??
Jamaa hata coco beach ana wakimbiza sana wenzake pale
Naona ame blend vizuri chakula mziki na vinywaji tofauti na wenzake
 
Familia ya Mzee Assey ndio wamiliki wa hiyo bar. Vijana wake wapo fresh sana wamejitahidi kusimamia miradi mbali mbali ya wazee wao. Inapendeza na kutia moyo sana.

for sure, rose garden ni ya kitambo sana biashara zina mambo mengi hao wanaovuma na kupotea usiwashangae!

Hii bar ni legendary, nimeisikia miaka mingi nyuma
 
Ni vijana wachache sana wanaoweza kusimamia miradi ya wazee wao ikasimama, hongera sana kwao
upo sahihi kiongozi kuna rafiki yangu kachemka kuendesha biashara ya baba yake pombe nyingi na kamari akaenda mbali zaizi akaweka bond gari
ya familia mzee akamuweka pembeni saiv anasumbua tu wapangaji
 
Boss Calito ni mbunifu, Ni mzungu mwenye exposure, katembea nchi nyingi, katengeneza mazngira flani hadi wageni kutoka nje ya nchi wanapapenda
Vibaya sana yaan mgeni ukimpeleka pale lazima apasifie.
 
Biashara ta bar ukitaka iwini
1.kwanza weka wadada wazuri,na uwatengenezee utaratibu wa kupata hela kutoka kwa wateja yani mteja akimuhitaji.
2.chakula,bar nyingi vyakula ni vya hovyo na vichafu.weka chakula safi na safi na chenye bei ya kawaida.
3.vyoo,bar nyingi vyoo ni vichafu hakuna mfano,ikitokea umebanwa haja kubwa utatamani urudi kwako dakika hiyo hiyo.
 
Biashara ya min super market
Inanpedwa Sana na washua but soon inaangukia pua
 
Back
Top Bottom