Adverse Effect
JF-Expert Member
- Oct 8, 2017
- 2,049
- 5,449
Rose garden ipo ingawa haina ma vibe sana kama enzi hizo, somehow wanajitahidi ku maintain wengine wanavuma halafu wanapotea kwenye game mazima.Hivi Rose Garden bado ipo? (ya Mikocheni). Na bado ina wateja? Ni moja ya bar zilizovuma kwa muda mrefu sana.
Itakua imebadilishwa JinaHivi Rose Garden bado ipo? (ya Mikocheni). Na bado ina wateja? Ni moja ya bar zilizovuma kwa muda mrefu sana.
Wamuulize George town Barbara ya mwanza Tarime.Biashara ya mabus ukiingia kichwa kichwa utaona moto
Ndio mkuu.Uliweza kufungua mkuu??
ubunifu na akili nyingiNaona Samaki Samaki Masaki bado inashika na it has been a while. Wanatumia mbinu gani kuretain walevi??
for sure, rose garden ni ya kitambo sana biashara zina mambo mengi hao wanaovuma na kupotea usiwashangae!Rose garden ipo ingawa haina ma vibe sana kama enzi hizo, somehow wanajitahidi ku maintain wengine wanavuma halafu wanapotea kwenye game mazima.
Boss Calito ni mbunifu, Ni mzungu mwenye exposure, katembea nchi nyingi, katengeneza mazngira flani hadi wageni kutoka nje ya nchi wanapapendaNaona Samaki Samaki Masaki bado inashika na it has been a while. Wanatumia mbinu gani kuretain walevi??
hapa umenichekesha mlevi lazima ahame si kalewa? lakini anaweza kushawishika kurudi kulingana na ulivyojipanga!Upo sahihi.. na hapo bado walevi wanahama hama
hapa umakini unahitajika!Pia hawajaiba chupa na kuvunja glass...mara kaunda kakimbia na hela
wahenga wanasema usiweke mayai yote kwenye kapu unawekaje mil 100 kwenye biashara yako yako ya kwanza? bia, spirit pesa ipo!Bar ni moja ya biashara ya kijinga sana..,
Unatumia nguvu kubwa kutafuta hela ndogo
hii ni changamoto na hii ni kazi ya managerBado wahudumu kukimbia unakuwa na wahudumu wengi ila kama wanambiana akiondoka mmoja leo kesho wanaondoka watatu kesho kutwa wanne badae unajikuta huna wahudumu na hapo ndio wateja wanaanza kuhama sasa
Asylum alycum ndugu engonga5. Siasa
Hii bar ni legendary, nimeisikia miaka mingi nyumaRose garden ipo ingawa haina ma vibe sana kama enzi hizo, somehow wanajitahidi ku maintain wengine wanavuma halafu wanapotea kwenye game mazima.
Carlos AKA (Kalito Samaki) ndo anamiliki pale. Jamaa ni mbunifu sana. Ingekuwa ngozi nyeusi usingeiskia tena, watu weusi tunapenda kuigana hatuna ubunifu.Naona Samaki Samaki Masaki bado inashika na it has been a while. Wanatumia mbinu gani kuretain walevi??
Ulikuwa unaijua mwanzoni?Itakua imebadilishwa Jina
Hahahaha eti kuretain waleviNaona Samaki Samaki Masaki bado inashika na it has been a while. Wanatumia mbinu gani kuretain walevi??