Biashara inataka watu wenye roho ngumu, fikiria nimewekeza 300M+ napata 5M kama faida Kwa mwezi

We naye ! ,hapo ungekuwa na brothels /danguro zako 3 Matata kabisa Kwa hiyo pesa na pesa inabaki , unaajiri enforcers /pimps kabisa ,huduma unatoa Kwa high class clients 50k Kwa kichwa hiyo minimum , hiyo pesa ndani ya mwaka inarudi unaanza kuchezea faida .mjini akili [emoji16][emoji16][emoji16]
Huwezi firisika hata siku moja Kwa hii biashara , labda ujifirisi wewe mwenyewe .
Hii ndio biashara kongwe kuliko zote na ndio IPO miongoni mwa biashara zenye faida toka dunia kuumbwa .
 
mzee wa marudio
 
25m/300m×100%×12months=100%

Yaani return ya 25mil kila mwezi maana yake kwa mwaka utapata riba ya 100%,yaani ukiweka mil.300 mwanzo wa mwaka then mwisho wa mwaka utakua umetengeneza mil 300 nyingine,jumla uwe na mil 600?

Wazungu tunasema Yaya geteeeeeeeeee.
 
Danguro? Sijakuelewa boss
 
Embu tuelezee inalipa kivipi?
 
😂😂😂

Aiseee...

Nimeishia apo tu kusoma kwenye hii aina ya kwanza ya biashara nikaweka na kituo! Jomba Hizo ndoto za namna hiyo usizipendelee sana nyakati za mchana. 😂

Unaweza ishi maisha yako yote in illusion.

Kama current market value ya kiwanja husika umeinunua Acre 1 kwa Mil 30. How long will it take kwa Acre hiyo hiyo moja ku'quadruple value yake to Mil 120? Au wafikiri thamani ya viwanja inapanda kama ule msitari mwekundu kwenye thermometer?

Oh yes tufanye kweli usemavyo, so unataka kutushawishi hizi real eastate company za kibongo ni multibillionares entity au sio?

Kwa uchumi mshumaa huu ulioenea tz unafikiri viwanja vinanunuliwa kama unavyonunua pipi madukani eeh?

Anyway nisjichoshe wala nisikuchoshe. Huo ni mtizamo wako pia unafaa kuheshimiwa dah 😎
 
Ndan ya miaka3 hizo gari zaidi ya 130 zilizoongezeka umejuaje kama zote ni za kwake na zimetokana na faida hiyo tu ya usafirishaji
 
Dah, kumbe dawa Zina faida Kama biashara haramu!!

Hivi mtu ambae hana taaluma ya Mambo ya madawa ya binadamu, akitaka kufungua duka la dawa inawezekana kweli mkuu? Nataka nifungue kaduka mtaani hata ka-milion nne au sita , nipatepo pa senti ya beer
 
Hiyo return ni ya juu sana sielewi kwa nini unalalamika. Ume invest 300M returns kwa mwaka ni 60M ambayo ni karibia 20%. hamna biashara nyingine yenye such high returns. Hata treasury bills/bonds annual returns ni around 10%.
Wasomi chakarikeni kuna biashara mitaji midogo sana faida yakutosha tafuteni maarifa yalipojificha msipeane moyo vinginevyo hawa wasiosoma kila siku watawaacha mbali kwenye swala zima la kujiajiri.
 
Wengi humu watoa michango wengi sio wafanyabiashara yani wanatoa mawazo kutoka Sehemu A waliposikia wanaleta humu na anticipation zao za juuu.

Msidanganyikee wanaofanya biashara wanajua wanachopata. Na wengine wanataja faida za juu wakati wanakula loss kila siku ili uingie na ww ukale loss kama yao hyo inaitwa kifo cha wengi.

So kama unataka bness fanya ile unaipenda ww na usitake mafanikio kwa haraka tengeneza jina na loyal customers wako ipanue na ipo siku utaona mafanikio. Is what am doing now
 
Sema wewe kiazi, mimi mhogo nitaambiwa nina mizizi! Nikiwaambia huu ukweli huwa wanasema nawakatisha tamaa. Hakuna short-cut kwenye mafanikio. Ukiwa na akili ndogo na ukafuata ushauri unaoandikwa hapa utaishia sehemu mabaya sana. Hapa watu wanarahisisha lakini kwenye ''site'' mbambo ni tofauti mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…