We naye ! ,hapo ungekuwa na brothels /danguro zako 3 Matata kabisa Kwa hiyo pesa na pesa inabaki , unaajiri enforcers /pimps kabisa ,huduma unatoa Kwa high class clients 50k Kwa kichwa hiyo minimum , hiyo pesa ndani ya mwaka inarudi unaanza kuchezea faida .mjini akili [emoji16][emoji16][emoji16]Kuna muda unaweza kuwa kichaa kwenye haya mambo ya biashara. Nimewekeza tsh. million mia tatu(300m+) nimeanza biashara napata return ya 5m yaani million tano kwa mwezi. Hapo sijatoa mishahara ya wafanyakazi na gharama za kuendeshea ofisi.
Wafanyabiashara mna roho ngumu sana, presha nje nje!
Huwezi firisika hata siku moja Kwa hii biashara , labda ujifirisi wewe mwenyewe .
Hii ndio biashara kongwe kuliko zote na ndio IPO miongoni mwa biashara zenye faida toka dunia kuumbwa .