Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 45,757
- 246,786
Pambana sana Mkuu.Aisee mi kuna biashara nimeweka milioni 8 napata laki kwa mwezi faida sold ukiondoa mambo yote.... nimejisikia kinda kabisa kwako... hongera mkuu usikate tamaaa utapata returns nzuri be patient