Biashara inataka watu wenye roho ngumu, fikiria nimewekeza 300M+ napata 5M kama faida Kwa mwezi

Biashara ina mambo mengi Sana mkuu,usione wenye vituo vya Mafuta walikua wanafanya Mpango Mafuta yanaonekana ni ya transit kumbe yanauziwa humu humu nchini,wanapiga hela kichizi unaona tu mtu anafungua vituo vya Mafuta kila siku.

Tafuteni maarifa mkuu.

Nb:Sijasema mkwepe Kodi mkuu.
 
Huwezi kueleweka kirahisi....

Moja kati ya mishe ulizotaja hapo imemtajirisha sana sana ndugu yangu mmoja ambaye hakusoma kabisa kabisa

Mwanzoni tulijua ni mishe za wasiosoma aloo saa hii vyeo vyote ndiye
 
Mtoa mada sijajua lengo lako LA kuleta huu Uzi humu ni nini hasa,kama lengo lako lilikuwa kupata some basic inputs kutoka kwa wadau lazima ungesema aina ya biashara unayoifanya.
Au unadhani kwamba kuna MTU atakuiga hiyo biashara yako-binafsi ninaamini hamna biashara mpya hapa Tanzania ambayo upo peke yako.
 
Huu ushauri ni sasa na MTU anayenunua government securities au anayeweka pesa yake fixed.maisha ni machaguo kwa kweli.
 
300/2=150(miezi)
150/12=12.5(miaka)
300m ukitumia 2m kila mwezi utasavaivu 12.5yrs only.
 
Look at this so selfless fellow! Thank you for your selflessness. Priceless kabisa. Nashukuru sana. In your great education, Manpower hujaizungumizia apo kaka... You shall need engineers?
 
Ungewekeza kwenye basi, Arusha/Dar
Mmiliki wa ma-bus ya Princess Muro yeye alikamatwa kwa kujiunganishia bomba la mafuta Kule bandarini(TPA),Mmiliki mwingine wa ma-bus ya Arusha-Dar alikamatwa akiiba tairi za mabus kwny stoo ya watu huko na kumbuka huyo mtuana mabus zaidi ya 20 na kila siku yanaingiza pesa.

Sumri alisema sababu mojawapo ya sababu ya biashara ya mabus kumshinda ni wkt wewe unanunua Mafuta kwa Bei ya soko kumbe wenzako wanajua wanayoyapatia.

Au wewe unaenda kununua tairi za mabus yako kumbe wenzako wanaiba tu stoo.

So point ya msingi Ni biashara yoyoye ile Ni tamu kuisikia tu,Ila siri ya urembo Ni ukiingia Field ndipo utajua.
 
Dah, kumbe dawa Zina faida Kama biashara haramu!!

Hivi mtu ambae hana taaluma ya Mambo ya madawa ya binadamu, akitaka kufungua duka la dawa inawezekana kweli mkuu? Nataka nifungue kaduka mtaani hata ka-milion nne au sita , nipatepo pa senti ya beer
Inawezekana mkuu, Kwa kutumia watu wenye taaluma nawewe ukaishia kuwa boss wao
 
Nina pharmacy nilifungua kwa mil 20 kwa mwezi napata faida 3.5m hapo nimetoa kila kitu Kodi mishaara ya wafanyakazi nk,wewe mil 300+ unapata mil 5 na bado haujatoa running cost!!!
Biashara yako kuna watu wanakupiga
Huyu hio mil 300 angeingixa kwenye Dawa angekuwa anaongea mengine muda huuu...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…