Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,652
- 4,972
Kwa mtazamo wangu umeanza na mtaji mkubwa mno aisee, ni bora ungeanza kuscale biashara huku ikikua taratibu.Kuna muda unaweza kuwa kichaa kwenye haya mambo ya biashara.
Nimewekeza Tsh. Million mia tatu(300m+), nimeanza biashara napata return ya 5m yaani million tano kwa mwezi.
Hapo sijatoa mishahara ya wafanyakazi na gharama za kuendeshea ofisi.
Wafanyabiashara mna roho ngumu sana, presha nje nje!
Kinachowaponza wengi kwenye biashara ni tamaa, kutaka kujiringanisha na A, badala ya kujikita kwenye mradi unaokuhusu.Mmiliki wa ma-bus ya Princess Muro yeye alikamatwa kwa kujiunganishia bomba la mafuta Kule bandarini(TPA),Mmiliki mwingine wa ma-bus ya Arusha-Dar alikamatwa akiiba tairi za mabus kwny stoo ya watu huko na kumbuka huyo mtuana mabus zaidi ya 20 na kila siku yanaingiza pesa.
Sumri alisema sababu mojawapo ya sababu ya biashara ya mabus kumshinda ni wkt wewe unanunua Mafuta kwa Bei ya soko kumbe wenzako wanajua wanayoyapatia.
Au wewe unaenda kununua tairi za mabus yako kumbe wenzako wanaiba tu stoo.
So point ya msingi Ni biashara yoyoye ile Ni tamu kuisikia tu,Ila siri ya urembo Ni ukiingia Field ndipo utajua.
Pharmaceutical industry........uki itaji hii gemu nakuchorea Ramani & the rest will be historyDawa za kienyeji au
Na hili akalitazame..Milioni 300 ukiamua kuitunza na kutumia kila mwezi 2M maana yake utakula maisha bila stress kwa miaka 20 ijayo. Sijui umri wako ila kama umri pia umeenda, kwa next 20 years maana yake utakuwa umekaribia kumaliza siku zako za kuishi. Kuja pesa ikakata, na wewe siku zako zinakuwa zinaelekea kukata. Yaani hapo ni kula 2M kwa mwezi bila stress za hii dunia. Maisha ya hapa Duniani ni kuchagua tu, maana utajiri hauingii nao kaburini. Kwanini kujipa stress ufe mapema?
Na mimi nitaliangalia hukuNa hili akalitazame..
Wapo wengi ila hafanyi biashara na yeye anasubiri alipwe kwa kushauri wengine.Kuna motivational speaker atakuja hapa atakwambia 'mimi nipe mil 10 tu nakupa faida ya mil 3.5 kila mwezi"
Kuna mdau kasema amewekez pharmacy 20 anapata faida( after deduction of running cost) 3.5M kama faida every month.Biashara bila uchawi haiendi kabisaa asikudanganye....mtu
Nyingi ziko hivyo asikwambie mtu wala usidanganyike.Yes.....
Ukitaka biashara ya kukutajirisha maradufu fanya uharamia
God bless thee!Thanks bro, kwangu huwa naamini mafanikio ni ile hali ambayo nimefika naweza kufanya wengine wakafanikiwa pia japo kwa kuwapa taarifa/ushauri juu ya kile ninachoweza kuwasaidia.
Back to the topic;
Kuhusu man power kama utaweza pata wasomi (professionals) ni nzuri zaidi lakini kwa uzoefu hizi kazi wanaofanya wengi ni form four leavers tu ambao wamejifunza na kupata uzoefu.
Japo wana weakness zao kwny kazi kutokana na kutokuwa na uwezo wa kupambana na changamoto mpya, mostly hizi kazi ni repeatitive in nature kwa hyo inawezekana katika muda wote aliojifunza kazi hakukutana na aina flani ya changamoto hivyo simply anakuwa ignorant kwny eneo husika.
All in all wanafanya kazi vizuri especially ukikuta aliyemfunza alikuwa vizuri na muhusika pia ni mtu wa kujiongeza na muaminifu pia maana hizi kazi vijana wengi wanaangukia kwny tamaa ya wizi. Ila kwa hali ya sasa bado unaweza kuwadhibiti through means km vile cctv cameras.
Watu hasa utaohitaji kuwa nao ni:
1. Mchomaji wa dhahabu
2. Vijana 4-8 kwa ajili ya kupakia na kushusha cabon, kufanya usafi etc
3. Mpishi (salary 150k - 200k per month)
4. Mlinzi (mostly ni wamasai) - around 150-200k per month.
5. Obvious itaongezeka gharama ya chakula cha kila siku from morning to evening (atleast 3 meals)
Hao #1&2 unaweza kuwalipa mshahara kati ya 250-300k per month then kila ukishusha mzigo unawapa posho lets say 20k each. Na miongoni mwao unateua supervisor wako hapo, kama hauko karibu unaweza kuwa na Manager pia kwa ajili ya kusettle issues za kiserikali na hizo agencies zingine wanapofanya visit au km kuna changamoto yoyote.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mwenye milioni 300 anakuwaga hivi?
Hakuna hela ambayo haina pressureInategemea na aina gani ya uwekezaji na strategy zako za market zipoje. Kwa mfano ungewekeza kwenye real estate mfano kuuza viwanja,hio pesa ungepata zaidi ya milioni 20 kwa mwezi, au govment bond, au plant ya kusaga kokoto KILA siku watu wanajenga ungeingiza pesa nyingi zaidi za bila pressure.
Withholding tax je?Yeah gawio linakuwa 36M kwa mwaka, hii hela inatosha kulisha familia, kusomesha na kujazia wese bila stress huku uko kazini kwako.
🤣 🤣 🤣 Alisema anapata faida mil 5, kumbe ni laki tano.Biashara hizi.View attachment 2333402
Sasa wewe ni mfanyabiashara wa namna gani ambaye ndani ya 5M iko pia na mishahara ya watumishi?Kuna muda unaweza kuwa kichaa kwenye haya mambo ya biashara.
Nimewekeza Tsh. Million mia tatu(300m+), nimeanza biashara napata return ya 5m yaani million tano kwa mwezi.
Hapo sijatoa mishahara ya wafanyakazi na gharama za kuendeshea ofisi.
Wafanyabiashara mna roho ngumu sana, presha nje nje!
Hahahaaa!! Ofisi zao ziko Google?Seriously ninachokwambia na hiyo 7m nimeweka minimum hela unaweza pata mpaka 10m kwa week kwa 300m.
Just Google novatechfx come
Soma then kama you need more information lemme know.
Mkuu sijui umepigaje hesabu zako300/2=150(miezi)
150/12=12.5(miaka)
300m ukitumia 2m kila mwezi utasavaivu 12.5yrs only.