Biashara inataka watu wenye roho ngumu, fikiria nimewekeza 300M+ napata 5M kama faida Kwa mwezi

Biashara inataka watu wenye roho ngumu, fikiria nimewekeza 300M+ napata 5M kama faida Kwa mwezi

Nipo kweny inner circle ya business flani Watanzania wengi still tupo usingizini sana.....

Kuanzia KWENYE information na exposure za biashara...

Jf ni Engine ya maarifa for sure Kwa mambo mengi nimekua msomaji sana wa mada mbali mbali.....

Nipo kwenye sector ingine kibiashara Tena inner circle...kiuhalisia sisi watanzania Bado tumelala sana........
Acha uchoyo bana... Inner cycle,, !! Inner cycle ... Badala kuwapa watu mchongo umekazana na inner cycle. Tupe hizo deal tuzijue
 
Kuna muda unaweza kuwa kichaa kwenye haya mambo ya biashara.

Nimewekeza Tsh. Million mia tatu(300m+), nimeanza biashara napata return ya 5m yaani million tano kwa mwezi.

Hapo sijatoa mishahara ya wafanyakazi na gharama za kuendeshea ofisi.

Wafanyabiashara mna roho ngumu sana, presha nje nje!
Iyo income statement umepigaje mahesebu nakusema faida ila haujatoa expenses kama salaries;faida ni baada ya kutoa gharama zote ulizotumia kuingiza mapato
 
Mkuu sijui umepigaje hesabu zako

Simple mathematics fanya hivi;

Mwaka mmoja una miezi 12, hivyo miaka 20 itakuwa na miezi 20 x 12 = 240
Kwa matumizi ya 2M kwa mwezi, hivyo kwa miezi 240 ni sawa na 240 x 2,000,000 = 480,000,000/-.

Hapo inabakia chenchi ya 20M kufikisha 500M. Hiyo chenchi itafunika gap la inflation. Hivyo unaishi zako maisha very decent for the next 20 years kwa 2M kwa mwezi bila stress kabisa. Matumizi ya kawaida ya 2M kwa mwezi ni matumizi ya maisha ya kibongo daraja la kati kabisa. Maisha safi tu.
Boss wewe ni mhasibu mbona unavamia profession za watu, uyo jamaa kwanza ni muhongo iyo ni chai ametunga, hauwezi kufanya investment kubwa ivyo bila kuwa na mhasibu atakayepiga mahesabu vizuri kwa kufuata international accounting stanndards, formula fupi ya kupata faida ni sales-cost of goods sold-expenses =Net profit before tax
 
Boss wewe ni mhasibu mbona unavamia profession za watu, uyo jamaa kwanza ni muhongo iyo ni chai ametunga, hauwezi kufanya investment kubwa ivyo bila kuwa na mhasibu atakayepiga mahesabu vizuri kwa kufuata international accounting stanndards, formula fupi ya kupata faida ni sales-cost of goods sold-expenses =Net profit before tax
Sasa yeye anasema amepata faida na hajatoa salaries tangu lini profit inapatikana bila kutoa expenses zote😀😀
 
Kwa hio hela nafikiri kama ungeiweka kwenye bonds ungeondokana na hizo headaches kabisa. Fanya 12%×300,000,000, hio ni uTT ila BoT wanatoaga hadi 15% at times.
Hii bonds huwa inakuaje boss? Naomba elimu kidogo kama uko na ufahamu nayo
 
Hiyo 15% inavutia. Ya kweli??
Maturity period ya izo bond ni muda gani maana sio unatoa ushauri nusu nusu , kama sio financial advisor
Hiyo 15% inavutia. Ya kweli??
Boss umu jamii forum sio kila kitu unashangilia uyo jamaa anaongelea issue za gvt bonds hajui vizuri corporate finance wala financial management ,
 
We naye ! ,hapo ungekuwa na brothels /danguro zako 3 Matata kabisa Kwa hiyo pesa na pesa inabaki , unaajiri enforcers /pimps kabisa ,huduma unatoa Kwa high class clients 50k Kwa kichwa hiyo minimum , hiyo pesa ndani ya mwaka inarudi unaanza kuchezea faida .mjini akili [emoji16][emoji16][emoji16]
Huwezi firisika hata siku moja Kwa hii biashara , labda ujifirisi wewe mwenyewe .
Hii ndio biashara kongwe kuliko zote na ndio IPO miongoni mwa biashara zenye faida toka dunia kuumbwa .
Tatizo polisi lazima ukule nao faida.
 
img_3_1658952225877.jpg
 
Te

TeMbelea page

Kazingua 😂😂😂
😀😀jamaa katupa chai iyo mtu uwekeze 300M uje na thread ya kizembe ivyo na fupi kama text message, kuna kitu anawinda ampige mtu na kitu kizito
 
Duuh...! Kama kwa mwaka haina haja. Yaani milioni 300 niwe nasubiria milioni 3 kwa mwezi mkuu. Mabank NMB na CRDB kitu kama wanafanya 9% kwa mwezi. Hebu ngoja waje hapa wajuzi wa hayo mabank
Maisha yako yote 😂😂😂 yani CRDB wakupe 9%×12 yani wakupe 108% ya hela yako mwaka mzima? Usijidanganye utashangazwa mjini hapa. Hio 9% labda mwaka mzima
 
Maisha yako yote 😂😂😂 yani CRDB wakupe 9%×12 yani wakupe 108% ya hela yako mwaka mzima? Usijidanganye utashangazwa mjini hapa. Hio 9% labda mwaka mzima
Bank labda kama ya babu yake😀😀bank ni profit organisation ipo kumake doh sio kusaidia mtu , fixed account wanalipa pesa ndogo sana
 
Back
Top Bottom