Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kila biashara ina returns zake mfano biashara ya spea ama accessories za magari zinalipa nusu kwa nusu. Kwa mwenye mtaji mkubwa hivyo unainjoy maana kila kitu unakua nacho mteja akija hakosi kitu
Hata mil 50 bado faida ndogo sana. Mtu unazungusha mtaji hauzid laki mbili na kila mwezi mtu anakunja faida mil na ushee.