Biashara inataka watu wenye roho ngumu, fikiria nimewekeza 300M+ napata 5M kama faida Kwa mwezi

Biashara inataka watu wenye roho ngumu, fikiria nimewekeza 300M+ napata 5M kama faida Kwa mwezi

Ngoja nijaribu kuwa motivation speaker

hela ungechukua ungenunua kiwanja Cha million moja weka Banda la kuku au fugia kwako Kama Kuna nafasi .. ununue kuku wa million milion mbili chakula Cha laki nne ..wakianza taga unajaza canter
 
Duh brother, sikubaliani na wewe:
300m x 12% = 36m
36m/12 = 3m paid annually.
Scenario ya pili
300m x 15 = 45m
45m/12 = 3.75m paid after 6 months 22.5m
Hizi zote ni risk free investment.

Yeye amesema anapata 5m/m lakini bado ana obligation ya kulipa wafanyakazi na hela yake anaipata kila mwezi.
Miezi 6 unasubiri hela ya BOT utajikuta umeishakopa kwingine au umekula mtaji kwingine.
Kwa mtu wa mahesabu kupata 5m/m from 300m investment inaoonyesha hakuwa makini kuchagua wapi awekeze hela yake.
There are better investment opportunities with higher ROI than the one he went for.
Your right
 
Kuna muda unaweza kuwa kichaa kwenye haya mambo ya biashara.

Nimewekeza Tsh. Million mia tatu(300m+), nimeanza biashara napata return ya 5m yaani million tano kwa mwezi.

Hapo sijatoa mishahara ya wafanyakazi na gharama za kuendeshea ofisi.

Wafanyabiashara mna roho ngumu sana, presha nje nje!
Maana ya faida ni baada ya kutoa gharama zako zote pamoja na hiyo mishahara n. k.
 
Ukiwekeza hiyo 300m utt amis unapata return ya above 3m kwa mwezi ukiwa umekaa tu nyumbani. Kupanga ni kuchagua
 
Mkuu sijui umepigaje hesabu zako

Simple mathematics fanya hivi;

Mwaka mmoja una miezi 12, hivyo miaka 20 itakuwa na miezi 20 x 12 = 240
Kwa matumizi ya 2M kwa mwezi, hivyo kwa miezi 240 ni sawa na 240 x 2,000,000 = 480,000,000/-.

Hapo inabakia chenchi ya 20M kufikisha 500M. Hiyo chenchi itafunika gap la inflation. Hivyo unaishi zako maisha very decent for the next 20 years kwa 2M kwa mwezi bila stress kabisa. Matumizi ya kawaida ya 2M kwa mwezi ni matumizi ya maisha ya kibongo daraja la kati kabisa. Maisha safi tu.
Jamaa kawekeza 300m sio 500m. Mbona simple. Kama unatumia 2m Kwa mwezi Kwa mwaka ni 24m. Miaka 10 ni 240m, miaka 20 ni 480m.
 
Wengi humu watoa michango wengi sio wafanyabiashara yani wanatoa mawazo kutoka Sehemu A waliposikia wanaleta humu na anticipation zao za juuu.

Msidanganyikee wanaofanya biashara wanajua wanachopata. Na wengine wanataja faida za juu wakati wanakula loss kila siku ili uingie na ww ukale loss kama yao hyo inaitwa kifo cha wengi.

So kama unataka bness fanya ile unaipenda ww na usitake mafanikio kwa haraka tengeneza jina na loyal customers wako ipanue na ipo siku utaona mafanikio. Is what am doing now

Yap
 
Back
Top Bottom