Biashara inataka watu wenye roho ngumu, fikiria nimewekeza 300M+ napata 5M kama faida Kwa mwezi

Biashara inataka watu wenye roho ngumu, fikiria nimewekeza 300M+ napata 5M kama faida Kwa mwezi

Kuna muda unaweza kuwa kichaa kwenye haya mambo ya biashara.

Nimewekeza Tsh. Million mia tatu(300m+), nimeanza biashara napata return ya 5m yaani million tano kwa mwezi.

Hapo sijatoa mishahara ya wafanyakazi na gharama za kuendeshea ofisi.

Wafanyabiashara mna roho ngumu sana, presha nje nje!
Kwa mtazamo wangu umeanza na mtaji mkubwa mno aisee, ni bora ungeanza kuscale biashara huku ikikua taratibu.
 
Mmiliki wa ma-bus ya Princess Muro yeye alikamatwa kwa kujiunganishia bomba la mafuta Kule bandarini(TPA),Mmiliki mwingine wa ma-bus ya Arusha-Dar alikamatwa akiiba tairi za mabus kwny stoo ya watu huko na kumbuka huyo mtuana mabus zaidi ya 20 na kila siku yanaingiza pesa.

Sumri alisema sababu mojawapo ya sababu ya biashara ya mabus kumshinda ni wkt wewe unanunua Mafuta kwa Bei ya soko kumbe wenzako wanajua wanayoyapatia.

Au wewe unaenda kununua tairi za mabus yako kumbe wenzako wanaiba tu stoo.

So point ya msingi Ni biashara yoyoye ile Ni tamu kuisikia tu,Ila siri ya urembo Ni ukiingia Field ndipo utajua.
Kinachowaponza wengi kwenye biashara ni tamaa, kutaka kujiringanisha na A, badala ya kujikita kwenye mradi unaokuhusu.
 
Milioni 300 ukiamua kuitunza na kutumia kila mwezi 2M maana yake utakula maisha bila stress kwa miaka 20 ijayo. Sijui umri wako ila kama umri pia umeenda, kwa next 20 years maana yake utakuwa umekaribia kumaliza siku zako za kuishi. Kuja pesa ikakata, na wewe siku zako zinakuwa zinaelekea kukata. Yaani hapo ni kula 2M kwa mwezi bila stress za hii dunia. Maisha ya hapa Duniani ni kuchagua tu, maana utajiri hauingii nao kaburini. Kwanini kujipa stress ufe mapema?
Na hili akalitazame..
 
Kuna motivational speaker atakuja hapa atakwambia 'mimi nipe mil 10 tu nakupa faida ya mil 3.5 kila mwezi"
Wapo wengi ila hafanyi biashara na yeye anasubiri alipwe kwa kushauri wengine.

Anakwambia fanya bishara uwe bilionea. Anakupa na kitabu cha kusoma, kitabu hicho hicho anauza elfu tano au kumi.

Sasa unajiuliza mwenye ujuzi wa kuwa bilionea kwa mtaji mdogo ndio anatembeza vitabu vya elfu tano tano?
 
Hiyo hela huku kwetu sisi wazee wa forex unaidable kwa miaezi 3 tu
 
Vumilia mana mwez mmoja m mfupi sana kuconclude kwamba biashara ngumu
 
Thanks bro, kwangu huwa naamini mafanikio ni ile hali ambayo nimefika naweza kufanya wengine wakafanikiwa pia japo kwa kuwapa taarifa/ushauri juu ya kile ninachoweza kuwasaidia.

Back to the topic;
Kuhusu man power kama utaweza pata wasomi (professionals) ni nzuri zaidi lakini kwa uzoefu hizi kazi wanaofanya wengi ni form four leavers tu ambao wamejifunza na kupata uzoefu.

Japo wana weakness zao kwny kazi kutokana na kutokuwa na uwezo wa kupambana na changamoto mpya, mostly hizi kazi ni repeatitive in nature kwa hyo inawezekana katika muda wote aliojifunza kazi hakukutana na aina flani ya changamoto hivyo simply anakuwa ignorant kwny eneo husika.

All in all wanafanya kazi vizuri especially ukikuta aliyemfunza alikuwa vizuri na muhusika pia ni mtu wa kujiongeza na muaminifu pia maana hizi kazi vijana wengi wanaangukia kwny tamaa ya wizi. Ila kwa hali ya sasa bado unaweza kuwadhibiti through means km vile cctv cameras.

Watu hasa utaohitaji kuwa nao ni:
1. Mchomaji wa dhahabu
2. Vijana 4-8 kwa ajili ya kupakia na kushusha cabon, kufanya usafi etc
3. Mpishi (salary 150k - 200k per month)
4. Mlinzi (mostly ni wamasai) - around 150-200k per month.
5. Obvious itaongezeka gharama ya chakula cha kila siku from morning to evening (atleast 3 meals)

Hao #1&2 unaweza kuwalipa mshahara kati ya 250-300k per month then kila ukishusha mzigo unawapa posho lets say 20k each. Na miongoni mwao unateua supervisor wako hapo, kama hauko karibu unaweza kuwa na Manager pia kwa ajili ya kusettle issues za kiserikali na hizo agencies zingine wanapofanya visit au km kuna changamoto yoyote.
God bless thee!

Kuna selfish man mmoja kule kanda ya ziwa anafanya izi mambo na he wont share even an ounce of knowledge but look hapa nimepata madini si haba.

How long have you been in the field mkuu... Labda nikupe guiding vocabularies ili uflow vzuri zaidi in relation to the field...

from scratch adi kuwa level za ukonki ulipo.1. kota 2. Kuozesha kifusi 3. Etc etc yaani kiujumla all the things in that biz from a just a one hand hustler(small mpambanaji (limited by capital ofcourse)) to multilever fighter ( mtu iko na 300M) up can you try to give me a picture of that jungle
 
watu mnateseka sana wengine ml300 ndo ndoto zao anyway biashara gani mzee jenga nyumba za kupangisha za bei nafuu kama madarasa ya shule vyumba 12 nyumba itumie ml 20 x nyumba tano, kodi 40 elfu eans kwa mwez wapat 2.3 ml kwa uwekesaj wa ml 100
 
Inategemea na aina gani ya uwekezaji na strategy zako za market zipoje. Kwa mfano ungewekeza kwenye real estate mfano kuuza viwanja,hio pesa ungepata zaidi ya milioni 20 kwa mwezi, au govment bond, au plant ya kusaga kokoto KILA siku watu wanajenga ungeingiza pesa nyingi zaidi za bila pressure.
Hakuna hela ambayo haina pressure
 
Kuna muda unaweza kuwa kichaa kwenye haya mambo ya biashara.

Nimewekeza Tsh. Million mia tatu(300m+), nimeanza biashara napata return ya 5m yaani million tano kwa mwezi.

Hapo sijatoa mishahara ya wafanyakazi na gharama za kuendeshea ofisi.

Wafanyabiashara mna roho ngumu sana, presha nje nje!
Sasa wewe ni mfanyabiashara wa namna gani ambaye ndani ya 5M iko pia na mishahara ya watumishi?

Unaitaje faida pesa ya hivo?

Kwani Faida inatafutwaje?

Kuna walakini kwenye naration yako na hivo ushauri unakuwa vigumu kuutoa...!
 
Seriously ninachokwambia na hiyo 7m nimeweka minimum hela unaweza pata mpaka 10m kwa week kwa 300m.
Just Google novatechfx come
Soma then kama you need more information lemme know.
Hahahaaa!! Ofisi zao ziko Google?
 
300/2=150(miezi)
150/12=12.5(miaka)
300m ukitumia 2m kila mwezi utasavaivu 12.5yrs only.
Mkuu sijui umepigaje hesabu zako

Simple mathematics fanya hivi;

Mwaka mmoja una miezi 12, hivyo miaka 20 itakuwa na miezi 20 x 12 = 240
Kwa matumizi ya 2M kwa mwezi, hivyo kwa miezi 240 ni sawa na 240 x 2,000,000 = 480,000,000/-.

Hapo inabakia chenchi ya 20M kufikisha 500M. Hiyo chenchi itafunika gap la inflation. Hivyo unaishi zako maisha very decent for the next 20 years kwa 2M kwa mwezi bila stress kabisa. Matumizi ya kawaida ya 2M kwa mwezi ni matumizi ya maisha ya kibongo daraja la kati kabisa. Maisha safi tu.
 
Back
Top Bottom