Acha uchoyo bana... Inner cycle,, !! Inner cycle ... Badala kuwapa watu mchongo umekazana na inner cycle. Tupe hizo deal tuzijueNipo kweny inner circle ya business flani Watanzania wengi still tupo usingizini sana.....
Kuanzia KWENYE information na exposure za biashara...
Jf ni Engine ya maarifa for sure Kwa mambo mengi nimekua msomaji sana wa mada mbali mbali.....
Nipo kwenye sector ingine kibiashara Tena inner circle...kiuhalisia sisi watanzania Bado tumelala sana........
Iyo income statement umepigaje mahesebu nakusema faida ila haujatoa expenses kama salaries;faida ni baada ya kutoa gharama zote ulizotumia kuingiza mapatoKuna muda unaweza kuwa kichaa kwenye haya mambo ya biashara.
Nimewekeza Tsh. Million mia tatu(300m+), nimeanza biashara napata return ya 5m yaani million tano kwa mwezi.
Hapo sijatoa mishahara ya wafanyakazi na gharama za kuendeshea ofisi.
Wafanyabiashara mna roho ngumu sana, presha nje nje!
Boss wewe ni mhasibu mbona unavamia profession za watu, uyo jamaa kwanza ni muhongo iyo ni chai ametunga, hauwezi kufanya investment kubwa ivyo bila kuwa na mhasibu atakayepiga mahesabu vizuri kwa kufuata international accounting stanndards, formula fupi ya kupata faida ni sales-cost of goods sold-expenses =Net profit before taxMkuu sijui umepigaje hesabu zako
Simple mathematics fanya hivi;
Mwaka mmoja una miezi 12, hivyo miaka 20 itakuwa na miezi 20 x 12 = 240
Kwa matumizi ya 2M kwa mwezi, hivyo kwa miezi 240 ni sawa na 240 x 2,000,000 = 480,000,000/-.
Hapo inabakia chenchi ya 20M kufikisha 500M. Hiyo chenchi itafunika gap la inflation. Hivyo unaishi zako maisha very decent for the next 20 years kwa 2M kwa mwezi bila stress kabisa. Matumizi ya kawaida ya 2M kwa mwezi ni matumizi ya maisha ya kibongo daraja la kati kabisa. Maisha safi tu.
Hiyo 15% inavutia. Ya kweli??Kwa hio hela nafikiri kama ungeiweka kwenye bonds ungeondokana na hizo headaches kabisa. Fanya 12%Γ300,000,000, hio ni uTT ila BoT wanatoaga hadi 15% at times.
Sasa yeye anasema amepata faida na hajatoa salaries tangu lini profit inapatikana bila kutoa expenses zoteππBoss wewe ni mhasibu mbona unavamia profession za watu, uyo jamaa kwanza ni muhongo iyo ni chai ametunga, hauwezi kufanya investment kubwa ivyo bila kuwa na mhasibu atakayepiga mahesabu vizuri kwa kufuata international accounting stanndards, formula fupi ya kupata faida ni sales-cost of goods sold-expenses =Net profit before tax
Hii bonds huwa inakuaje boss? Naomba elimu kidogo kama uko na ufahamu nayoKwa hio hela nafikiri kama ungeiweka kwenye bonds ungeondokana na hizo headaches kabisa. Fanya 12%Γ300,000,000, hio ni uTT ila BoT wanatoaga hadi 15% at times.
Maturity period ya izo bond ni muda gani maana sio unatoa ushauri nusu nusu , kama sio financial advisorHiyo 15% inavutia. Ya kweli??
Boss umu jamii forum sio kila kitu unashangilia uyo jamaa anaongelea issue za gvt bonds hajui vizuri corporate finance wala financial management ,Hiyo 15% inavutia. Ya kweli??
Tatizo polisi lazima ukule nao faida.We naye ! ,hapo ungekuwa na brothels /danguro zako 3 Matata kabisa Kwa hiyo pesa na pesa inabaki , unaajiri enforcers /pimps kabisa ,huduma unatoa Kwa high class clients 50k Kwa kichwa hiyo minimum , hiyo pesa ndani ya mwaka inarudi unaanza kuchezea faida .mjini akili [emoji16][emoji16][emoji16]
Huwezi firisika hata siku moja Kwa hii biashara , labda ujifirisi wewe mwenyewe .
Hii ndio biashara kongwe kuliko zote na ndio IPO miongoni mwa biashara zenye faida toka dunia kuumbwa .
Bonds unaikopesha serikali kwa muda kati ya miaka 15-25 ila hilo gawio in percent unapewa kila mwakaHii bonds huwa inakuaje boss? Naomba elimu kidogo kama uko na ufahamu nayo
TeMbelea page ya botHiyo 15% inavutia. Ya kweli??
TeMbelea pageHiyo 15% inavutia. Ya kweli??
Kazingua πππSasa yeye anasema amepata faida na hajatoa salaries tangu lini profit inapatikana bila kutoa expenses zoteππ
Hio achana nayo kwanzaWithholding tax je?
Ni Kama mm mwaka 2018 nilkuwa na cash in hand milion 14 Sasa HV mm naombaonba pesa za kula mjini kwlei yaani biashara hz sisikie tu ndio maan sinafanywa na watu ambao hawajaenda shuleTangu biashara iliponifanya mbaya nilishakuwa muoga sana wa biashara
ππjamaa katupa chai iyo mtu uwekeze 300M uje na thread ya kizembe ivyo na fupi kama text message, kuna kitu anawinda ampige mtu na kitu kizitoTe
TeMbelea page
Kazingua πππ
πMwekezaji utasemaje umewekeza mil 300 alafu faida mil 5 kwa mwezi alafu hapohapo unasema hujalipa wafanyakazi na gharama za kuendesha ofisi....FAIDA NI NINI?? Nadhani tatizo limeanzia hapo.
Maisha yako yote πππ yani CRDB wakupe 9%Γ12 yani wakupe 108% ya hela yako mwaka mzima? Usijidanganye utashangazwa mjini hapa. Hio 9% labda mwaka mzimaDuuh...! Kama kwa mwaka haina haja. Yaani milioni 300 niwe nasubiria milioni 3 kwa mwezi mkuu. Mabank NMB na CRDB kitu kama wanafanya 9% kwa mwezi. Hebu ngoja waje hapa wajuzi wa hayo mabank
Hapo hakuna investor ni tapeli tuππanapiga mahesabu kama ya watoto wadogo ata mpika vitumbua anamzidi na hao wafanyakazi ni wapi na anaconduct which business?π
Bank labda kama ya babu yakeππbank ni profit organisation ipo kumake doh sio kusaidia mtu , fixed account wanalipa pesa ndogo sanaMaisha yako yote πππ yani CRDB wakupe 9%Γ12 yani wakupe 108% ya hela yako mwaka mzima? Usijidanganye utashangazwa mjini hapa. Hio 9% labda mwaka mzima