richie ze best
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 600
- 1,023
Weka hapa hapa wote tunufaikeNdugu yangu Manzile njoo inbox nikufundishe jambo, hutawahi rudi tena hapa ukilalama, chukulia ujumbe wangu serious
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka hapa hapa wote tunufaikeNdugu yangu Manzile njoo inbox nikufundishe jambo, hutawahi rudi tena hapa ukilalama, chukulia ujumbe wangu serious
Fundisha Happ hicho unachokijuwa wewNdugu yangu Manzile njoo inbox nikufundishe jambo, hutawahi rudi tena hapa ukilalama, chukulia ujumbe wangu serious
Sawa mkuu,Niliwahi kwenda dukani kwake akawa anasema mambo Ni tight.Yule jamaa yupo vizur alihama kwenye hiace ss hivi yupo kwenye coaster na malor
Sahihi kabisa mkuu,Kuna Siri nyingi Sana nyuma ya hizi biashara.Ukweli ni kwamba huwezi kutoboa kwenye biashara bila kukwepa kodi/kukandamiza wengine/kufanya ulaghai na/au kupewa exemptions na serikali either by lobbying au illegally. Huu ndo ukweli halisi wa biashara zote duniani hasa kwenye hatua za awali.
Hapo ndo unasikia kuna watu walikua wanaiba mafuta bdae mnasikia wana vituo vya mafuta nchi nzima; wengine wametorosha madini hadi basi bdae ndo wanaanza kusafirisha rasmi, wengine hawalipi kodi nk nk. Ni lazima utafute kwa njia za panya halafu utakatishe hizo pesa. Learn it. Do it. Utatoboa.
Anakuingiza mkenge, hizo ni HYIP utapoteza hella yko mpaka maji uite Ma.Boss mbona kama hauko serious
Mdau,Kuna muda unaweza kuwa kichaa kwenye haya mambo ya biashara.
Nimewekeza Tsh. Million mia tatu(300m+), nimeanza biashara napata return ya 5m yaani million tano kwa mwezi.
Hapo sijatoa mishahara ya wafanyakazi na gharama za kuendeshea ofisi.
Wafanyabiashara mna roho ngumu sana, presha nje nje!
Sasa hivi ni kukimbilia Kenya Wana Bonds tamu sana.Huyo jamaa atakuwa anakula ndefu sana mkuu, hebu imagine mtu ana 20B halafu wakupe 12% tu ni hela tamu kiasi gani?
12%×20,000,000,000 aisee dunia ni tamu ukiwa na hela ndefu. Imagine 2.4B kila mwaka wastani wa hela ya kila mwezi ni 200M! Hivi kila mwezi niwe naingiziwa million 200 nina haja gani ya kupasuka kichwa na TRA sijui uja file returns mara sijui ujinga gani.
Na ndio maana BOT wameshusha rates maana ni noma yani, matajiri wengi wamehamishia mitaji huko.
www.centralbank.go.ke
Hizi ndio akili Watanzania tunaweza Yani kila kitu tunakichukulia Negative, watu wanafunga biashara Kwasababu ya Sera mbovu za biashara na sio Kwasababu ya Bonds za Bank kuu.Hii trend ya matajiri kufunga biashara na pesa kupeleka bot bond iko moto sana. Hata Shabiby alishawahi kulisema bungeni.
Shabiby alishawahi kulisema bungeni sikiliza Kuanzia dakika ya 8
Ya Kenya hela itakuja nzuri zaidiSasa hivi ni kukimbilia Kenya Wana Bonds tamu sana.
Treasury Bonds | CBK
www.centralbank.go.ke
Dunia kwasasa ni kijiji watanzania acheni kulia Lia nendeni mkawekeze nje
Kuna boss wangu mmoja alikua ananiambia na kunisihi sana 'ukitaka kufanya biashara na upate faida inabidi uwe katiri yaani ujikatiri wewe mwenyewe hadi wanaokufanyia kazi wafanyie ukatiri..' ukitiatia huruma soon unaingia mufilisi unafirisika unaanza kugongea gahawa kwenye vijiwe vya kahawa punguza huruma boss Biashara sio ibadaKuna muda unaweza kuwa kichaa kwenye haya mambo ya biashara.
Nimewekeza Tsh. Million mia tatu(300m+), nimeanza biashara napata return ya 5m yaani million tano kwa mwezi.
Hapo sijatoa mishahara ya wafanyakazi na gharama za kuendeshea ofisi.
Wafanyabiashara mna roho ngumu sana, presha nje nje!
Shabbiby kazingua wangeacha tu 15% watu wachukue bonds maana huko biasharani zimejaa kero tuHizi ndio akili Watanzania tunaweza Yani kila kitu tunakichukulia Negative, watu wanafunga biashara Kwasababu ya Sera mbovu za biashara na sio Kwasababu ya Bonds za Bank kuu.
Duniani kote Nchi zote Zinaopa hela Kwa raia wake kupitia Bank kuu zao. Kwanini tanzania ionekane ni Nongwa.
Kibaya zaidi mkikataa Watu wasinunue bonds hapa Tanzania kuna nchi kama kenya watu wataenda kununua Treasury Bonds | CBK
eKuna boss wangu mmoja alikua ananiambia na kunisihi sana 'ukitaka kufanya biashara na upate faida inabidi uwe katiri yaani ujikatiri wewe mwenyewe hadi wanaokufanyia kazi wafanyie ukatiri..' ukitiatia huruma soon unaingia mufilisi unafirisika unaanza kugongea gahawa kwenye vijiwe vya kahawa punguza huruma boss Biashara sio ibada
Imeandikwa:
Tajiri kwenda mbinguni ni sawa na ngamia kupenya kwenye Tundu la sindano
Yaan 'Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu ya sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu'
Tia huruma ufirisike
Kaza kibishi utajirike
Choose one
Jiongeze
Yani umpe $120,000 broker unataka ulizwe?Mkuu kuna kitu inaitwa Novatechfx.
Unaweka hela yako wanaizungusha.
Wanalipa kila week.
Hiyo 300m kwa week wanakupa sio chini ya 7m.
Daaah mm mtupu. Nilikua kama ww mwanzo mwa bznes zangu. Ila bznes ikifikisha miaka 5 n kuendelea. Inakua kawaida tu unardi kua normal.Upo vizuri mkuu nimesoma kila kituo...wewe inaoneka ni mshauri wa biashara.
Mi nina tatizo natamani nilianzishie uzi japo watu watasema ni chai.naomba nishauri hapa hapa
Mkuu mimi biashara yangu nimeanza 2020 mwezi dec ndo mzigo wangu wa kwaza kuingia.
Ki ukweli sijawahi kopa nimekisanya mtaji kidogo kidogo.
Mpaka sasa hivi biashara mtaji wako sio mkubwa ila mzunguko ni mkubwa sana.
Yaani kwa wiki 1M kawaida inategemea na mzigo ulioko dukani.maana miziho inakuja na kuomdoka tatizo langu ni hivi
1.kwa kuwa bado nahitaji kukuza mtaji basi nimekua mtu wa mawazo na usingizi kukata yaani silali.mwanzo hapo kati hata jf nilikua siingii ila sasa hivi naingia kupoteza mawazo..
Yaani nawaza sana kuliko kipindi sina ela.yaani mawazo yangu nikiinza lki nataka laki mbil..yaani siridhiki..sion faida saa ingine
Swali langu hivi kuna siku utafanya biashara ufikie hatua relax kweli au ni mateso tu
2.hivi wafanya biashara wakubwa pesa zao wanaweka bank kwwli?
This is true bro. Mara baada y kuanza kujilipa salary. Kweli mtaji umekua mnooo.Inategemea unatengeneza kiasi gani kwa mwezi. Kujilipa kunasaidia kukuza biashara maana itakucontrol kutumia faida utakavyo.
Huna hiyo pesa wewe acha shobo. Huwezi kumiliki zaidi ya 300m ukashindwa ku manage business. Afu wenye pesa hawanaga maneno mengi.Nadhani utakuwa "ke" kama nimekosea basi naomba uniwie radhi.
300m unaweza kuziona nyingi Kwa vile hauko nazo, ukiwa kwenye chain ya kumiliki pesa utagundua hizo 300m hazitoshi hata kujenga nyumba ya kisasa ya ndoto yako Kwa kipindi hicho
Kwa vile hii ni forum na hatujuani usitoe mawazo ya kijumla kama vile unafahamiana na huyo mtu
Nikuhakikishe tu kwamba hii pesa sio ya mkopo ni sehemu tu ya kiasi nilichoamua kuwekeza kwenye hii biashara mpya ambayo Bado haijatoa return nzuri
Jf kila mtu ni billionea.Nadhani utakuwa "ke" kama nimekosea basi naomba uniwie radhi.
300m unaweza kuziona nyingi Kwa vile hauko nazo, ukiwa kwenye chain ya kumiliki pesa utagundua hizo 300m hazitoshi hata kujenga nyumba ya kisasa ya ndoto yako Kwa kipindi hicho
Kwa vile hii ni forum na hatujuani usitoe mawazo ya kijumla kama vile unafahamiana na huyo mtu
Nikuhakikishe tu kwamba hii pesa sio ya mkopo ni sehemu tu ya kiasi nilichoamua kuwekeza kwenye hii biashara mpya ambayo Bado haijatoa return nzuri