Kwamba kwenye hio miaka mitano biashara haitakua. Kumbuka kasema ndio kwanza ameanza.Kwa hii faida ya five milioni maana yake kitaalam ni kwamba return on investment (ROI) ni baada ya miaka mitano(5)
Hapa nazungimzuia cumlative cash flow
Kwamba biashara haitakua, au hukuona kaandika ndio ameanza?Hapana itakuwa zaidi ya miaka mitano. Kumbuka hajatoa mishahara kwenye hiyo 5M. Kwa kifupi whatever this guy is doing it's a bad investment; aache mara moja kabla hajalia
Mimi nakubaliana na wewe uko sahihi Kwa asilimia kubwa,niko space ya clearing and forwarding pia nimefanya sana hizo kazi za clearance Kwa ajili ya used garments it's true hao Jamaa wanao import wanapiga faida ya kufa mtuIts real wala si utani ningeweza kukutumia documents za import kama BL, INVOICE, RELEASE ORDER sema tu hapa sio salama.
Broo pesa haitaki mbwembe me nimeanza kushika pesa hujazaliwa . Kuna code zikitumika unajua huyu mzinguaji na kuna code zikitumika unajua huyu ana pesa. Mdogo wangu mtu ukishika pesa unakuwa na roho ngum huwezi kuja kulialia apa Jf nakutaja pesa ulizonazo, for what. Mkikuwa mtaacha lakiniAtajulia wapi huyo mdangaji amezoea kushika Mashine za wanaume badala ya pesa.
Mdogo wangu maisha ni tofauti na mnavyoyachukulia mkiwa vijiweni na vyuoni kwenu. Kwa sasa hamuwezi kunielewa kwa utoto na akili mlizo nazo kwa Sasa. Sijisifii ila nimewahi shika pesa zaidi ya hizo nina watu 2a karibu wenye pesa. Kuna kitu unakiona kwa mwenye pesa kuanzia uwezo wa ku solve challenge na hata matumizi ya muda . Sasa mtoa mada kila muda yupo Jf afu anatujaza na pesa zaku buni. Sema nawapa udhuru wa utoto, mkikuwa mtaacha.Unaonekana Una stress Sana za maisha utakufa Kwa mawazo danga hata hapo mtaani kwenu [emoji1][emoji1]
Shida ya mjinga huongea ujinga na kulazimisha ukubarike. Broo sifa ya kwanza ya mtu mwenye pesa ni kukomaa kiakili. Ila watoto wa vyuo mlojifungia ndani kipindi hichi cha likizo mkila bure na kupiga master ndo mnatusumbua mitandaoni.
Huwezi pata Billionaire mwenye muda mwingi wa kupost, ku like na ku comment ujinga kama huu .
Mpaka hapa ndo nathibisha kuwa bado malimbukeni. We kuwa sh ngapi ulizonazo kuita watu maskini. Unahisi una miliki nini ambacho sina.? Kuna kauli huwezi kuziskia kwa mtu mwenye akili timamu ikiwemo hiyo. Mdogo wangu pesa inahitaji heshima pesa inahitaji kifua. Huwezi kumkuta tajili yeyeto duniani anaejiona kafika kila mmoja anijichukulia yupo chini ispokuwa walio nyuma yake ndo wanamuona ana pesa. Utakapokuwa na mitazamo aina hiyo tayari umeanza kufeliSoma kidogo hapo mkuu patakusaidiaUkiwa masikini/fukara unakuwa na chukichuki za kijinga
Ukiwa Huna ndururu utajikuta unawachukia wenye nacho. Tutafute hela. Hata kiwango cha chuki dhidi ya watawala zinaongezeka ukiwa huna hela alias mkata ufuta au mvimba macho. Solution, tutafute hela kuepuka chuki.www.jamiiforums.com
Hajadanganya B love ni kweli amefanya huo uwekezaji. It's Genuine bonafide,Mpaka hapa ndo nathibisha kuwa bado malimbukeni. We kuwa sh ngapi ulizonazo kuita watu maskini. Unahisi una miliki nini ambacho sina.? Kuna kauli huwezi kuziskia kwa mtu mwenye akili timamu ikiwemo hiyo. Mdogo wangu pesa inahitaji heshima pesa inahitaji kifua. Huwezi kumkuta tajili yeyeto duniani anaejiona kafika kila mmoja anijichukulia yupo chini ispokuwa walio nyuma yake ndo wanamuona ana pesa. Utakapokuwa na mitazamo aina hiyo tayari umeanza kufeli
Na zile Sera za uhujumu uchumi za Mzee magufuli ziliwatia presha na stress Sana mabwenyenye WA kitaa [emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064],nadhani unaukumbuka Ile Moto WA uhujumu uchumi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Huyo jamaa atakuwa anakula ndefu sana mkuu, hebu imagine mtu ana 20B halafu wakupe 12% tu ni hela tamu kiasi gani?
12%×20,000,000,000 aisee dunia ni tamu ukiwa na hela ndefu. Imagine 2.4B kila mwaka wastani wa hela ya kila mwezi ni 200M! Hivi kila mwezi niwe naingiziwa million 200 nina haja gani ya kupasuka kichwa na TRA sijui uja file returns mara sijui ujinga gani.
Na ndio maana BOT wameshusha rates maana ni noma yani, matajiri wengi wamehamishia mitaji huko.
Sasa kwa mtu mwenye mtaji kama huo wa jamaa akiingiza hela mule ni ndani ya miaka miwili watu wanaweza kumuita freemason😂!Mimi nakubaliana na wewe uko sahihi Kwa asilimia kubwa,niko space ya clearing and forwarding pia nimefanya sana hizo kazi za clearance Kwa ajili ya used garments it's true hao Jamaa wanao import wanapiga faida ya kufa mtu
Hahahahaha unaona kabla hajakupora bora uziingize kwenye safe yake.Na zile Sera za uhujumu uchumi za Mzee magufuli ziliwatia presha na stress Sana mabwenyenye WA kitaa [emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064],nadhani unaukumbuka Ile Moto WA uhujumu uchumi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sahihi mkuu ndo mana gari zina bima comprehensive na mzigo unakatiwa bima pia.. ndo mana nikasema inamtoa mtu makini yan ni kufatilia kwa karibu sana usi relax..anyway hakuna biashara isiyo na risk! the higher the risk...
Boss wangu wa kwanza nilianza nae kazi 2016 deceber ana gari 23..nimeachana nae 2019 ana gari 159! Naongea kwa experience sijahadithiwa.
Pole sana mkuu!!!Nadhani choice ya aina ya biashara, Mimi ninewekeza sh M7 kwenye kisteshenari changu napata faida ya laki 900,000 kwa mwezi,nawaza kununua mashine kubwa ya kuchapa mabango Mungu akinijaria uzima ndani ya miaka mitano ijayo, ambapo nimeulizia nikaambiwa mashine hiyo Ni zaidi ya 10M.
Hakika mtu akiniuliza biashara ipi inalipa Mimi nitamwambia steshenanari, hasara Ni ndogo Sana, na tena naweza sema Ni zero
We acha tu boss..
Mie kuna mda nakosa usingizi kabis, mapigo ya moyo yapo juu...
Ila inabidi tu tukomae..
Sorry..nahitaji maelezo zaidi..nikishaiweka hiyo elfu 50 mgao napataje.Utt kianzio kwenye bonds ni 50000.
12% ya hela hio, fanya hesabu tu. Jibu utaipewa hio kwa mwaka.Sorry..nahitaji maelezo zaidi..nikishaiweka hiyo elfu 50 mgao napataje.
Utt kianzio ni 50000. Ila unaruhusiwa kuongeza gawio muda wowote. Na faida kuanzia 50000-ml 5 utaingizwa kwa mwaka. Kuanzia ml5-ml10 gawio ni kila baada ya miez 6 . Nakuanzia mil10 nakuendelea gawio ni kila mwezi.Sorry..nahitaji maelezo zaidi..nikishaiweka hiyo elfu 50 mgao napataje.
Mbona wewe unasema umewahi kushika na unalialia humu jamii forum.Broo pesa haitaki mbwembe me nimeanza kushika pesa hujazaliwa . Kuna code zikitumika unajua huyu mzinguaji na kuna code zikitumika unajua huyu ana pesa. Mdogo wangu mtu ukishika pesa unakuwa na roho ngum huwezi kuja kulialia apa Jf nakutaja pesa ulizonazo, for what. Mkikuwa mtaacha lakini
Acha Ujinga wako wewe Nenda kwenye account za Elon Musk Tajiri namba moja duniani anashinda Mitandaoni na anapost kila siku.Mdogo wangu maisha ni tofauti na mnavyoyachukulia mkiwa vijiweni na vyuoni kwenu. Kwa sasa hamuwezi kunielewa kwa utoto na akili mlizo nazo kwa Sasa. Sijisifii ila nimewahi shika pesa zaidi ya hizo nina watu 2a karibu wenye pesa. Kuna kitu unakiona kwa mwenye pesa kuanzia uwezo wa ku solve challenge na hata matumizi ya muda . Sasa mtoa mada kila muda yupo Jf afu anatujaza na pesa zaku buni. Sema nawapa udhuru wa utoto, mkikuwa mtaacha.