Ila jamii forum bna..eti mtu anasema tu chukua tender fanya logistics utatoka,tender gani unaipata kirahisi kam ulivyoandika ushajua payment yake inachukua muda gani,mara chukua scania itakupa usd 3500,apo hujaondoa bima services wala posho ya dereva
Mwingne anakwambia nimeweka phamarcy 20M nachuku 3M,wakati huo mtu unaemshauri hajui ata panadol zinauzwa wapi kwa jumla na vibali vyake..mwingne anakwambia weka plant ya kusafisha madini wakati huo hujamueleza ushuru wa halmashauri,NEMC na kuna OSHA,kuna WANASHERIA,gharama za hyo plant na kuisafisha...
USHAURI:tafuta biashara unayoipenda saana ifanyie research kwa muda mrefu (ikiwezekana tafuta mtu aliyefanya ingia kwake ata bla malipo,jaribu kuwa mfanyakazi kwa muda flani)utajua ufanye nin?