Biashara inataka watu wenye roho ngumu, fikiria nimewekeza 300M+ napata 5M kama faida Kwa mwezi

Biashara inataka watu wenye roho ngumu, fikiria nimewekeza 300M+ napata 5M kama faida Kwa mwezi

Biashara ni uvumilivu tu, mwanzo huaga ni mgumu, lazima uanze na kupata kidogo
 
Logistics ina faida sana ila again , sio kwa kila mtu!
Simu ya dereva kuwa lori limeanguka na copper ya watu imeibiwa inataka ujasiri wa hali ya juu kuipokea na kuifanyia kazi .
Sahihi mkuu ndo mana gari zina bima comprehensive na mzigo unakatiwa bima pia.. ndo mana nikasema inamtoa mtu makini yan ni kufatilia kwa karibu sana usi relax..anyway hakuna biashara isiyo na risk! the higher the risk...

Boss wangu wa kwanza nilianza nae kazi 2016 deceber ana gari 23..nimeachana nae 2019 ana gari 159! Naongea kwa experience sijahadithiwa.
 
Fundisha hapa hapa wote tuelemike kwa faida ya jamii yako
Mkuu, tabia ya members humu ndani siku hizi imefanya watu wengi wawe wazito sana kuchangia publicly.

Unaweza toa ushauri/wazo bure kabisa kutokana na field experience uliyonayo then anaibuka mtu anakuita 'motivational speaker' au anakutusi kabisa!!
 
Ila jamii forum bna..eti mtu anasema tu chukua tender fanya logistics utatoka,tender gani unaipata kirahisi kam ulivyoandika ushajua payment yake inachukua muda gani,mara chukua scania itakupa usd 3500,apo hujaondoa bima services wala posho ya dereva
Mwingne anakwambia nimeweka phamarcy 20M nachuku 3M,wakati huo mtu unaemshauri hajui ata panadol zinauzwa wapi kwa jumla na vibali vyake..mwingne anakwambia weka plant ya kusafisha madini wakati huo hujamueleza ushuru wa halmashauri,NEMC na kuna OSHA,kuna WANASHERIA,gharama za hyo plant na kuisafisha...

USHAURI:tafuta biashara unayoipenda saana ifanyie research kwa muda mrefu (ikiwezekana tafuta mtu aliyefanya ingia kwake ata bla malipo,jaribu kuwa mfanyakazi kwa muda flani)utajua ufanye nin?
Umekurupuka sana mpaka naona aibu mimi aisee..wap nimesema unapata USD3500? Binafs hua sichangii kitu kama sina personal experience mana sina muda huo wa kupoteza! Kuna mmoja juu apo ame challenge kumuuliza na yeye hajui ndo wabongo tulivo imradi jitu likukashifu tu! kwanza milion 300 sio yako inakuwashia nn? Au ndo chawa wa hiari 👀
 
Mkuu, tabia ya members humu ndani siku hizi imefanya watu wengi wawe wazito sana kuchangia publicly.

Unaweza toa ushauri/wazo bure kabisa kutokana na field experience uliyonayo then anaibuka mtu anakuita 'motivational speaker' au anakutusi kabisa!!
Ni kweli nadhani hizi changamoto zisikukatishe tamaa, Bado Kuna watu wema humu.

SI unaona huyu bwana HIMARS yeye kaona Mimi nimekuja kutafuta umaarufu humu
 
Kuna mda unaweza kuwa kichaa kwenye haya mambo ya biashara.

Nimewekeza Tsh million mia tatu ( 300m+) nimeanza biashara faida ndio napata 5m yaani million tano Kwa mwezi.

Hapo sijatoa mishahara ya wafanyakazi na gharama za kuendeshea ofisi.

Wafanyabiashara mna roho ngumu sana, presha nje nje
Mbona kubwa SANA
 
Kuna mda unaweza kuwa kichaa kwenye haya mambo ya biashara.

Nimewekeza Tsh million mia tatu ( 300m+) nimeanza biashara faida ndio napata 5m yaani million tano Kwa mwezi.

Hapo sijatoa mishahara ya wafanyakazi na gharama za kuendeshea ofisi.

Wafanyabiashara mna roho ngumu sana, presha nje nje
Sasa unaita hio 5m faida halafu unatuambia bado hujalipa mishahara. Chai.
 
Ila jamii forum bna..eti mtu anasema tu chukua tender fanya logistics utatoka,tender gani unaipata kirahisi kam ulivyoandika ushajua payment yake inachukua muda gani,mara chukua scania itakupa usd 3500,apo hujaondoa bima services wala posho ya dereva
Mwingne anakwambia nimeweka phamarcy 20M nachuku 3M,wakati huo mtu unaemshauri hajui ata panadol zinauzwa wapi kwa jumla na vibali vyake..mwingne anakwambia weka plant ya kusafisha madini wakati huo hujamueleza ushuru wa halmashauri,NEMC na kuna OSHA,kuna WANASHERIA,gharama za hyo plant na kuisafisha...

USHAURI:tafuta biashara unayoipenda saana ifanyie research kwa muda mrefu (ikiwezekana tafuta mtu aliyefanya ingia kwake ata bla malipo,jaribu kuwa mfanyakazi kwa muda flani)utajua ufanye nin?
Hatufanyi vitu tunavyopenda, tunajifunza na kupenda ndio tunafanya, ukisema fanya kile unakipoenda some of us tunapenda kulala na kula misosi na kula bata sana.....
 
Biashara ni ngumu sana nikiwaza nasema tu wacha wafanyabiashara tuitwe risk takers

Nina biashara 3
Moja mtaji laki 3 ila kila siku napokea feturn ya avarage ya 9000
Nyingine ina mtaji 2,000,000 return yake monthly hata laki na nusu haifikishi (though ni eneo la kimkakati huko mbele italeta return nzuri tu I hope)
Biashara ya 3 Mtaji milion 2 , daily return wastan ni sh 10,000

Cha kushangaza eti naogopa kupoteza ile location ya biashara ya pili nikiamini nikiiacha nitakuja kuililia huko mbele maana ni potential area sana huko mbele miaka mitano baadae

Na zote tatu ni biashara zisizo na mwingiliano yaani ni biashara tofauti kabisa.

Biashara ni ngumu sana for sure
 
Sasa unapataje faida kabla ya kutoa running costs ikiwepo hiyo mishahara ya wafanyakazi??

Faida inapatikana after running cost kutolewa..
Ndio boss, hizo ni typing error angalia heading hapo ndani nimekosea.

Ishu ni kwamba Kwa huu mda mchache biashara imeenda kinyume na matarajio yangu
 
Duh brother, sikubaliani na wewe:
300m x 12% = 36m
36m/12 = 3m paid annually.
Scenario ya pili
300m x 15 = 45m
45m/12 = 3.75m paid after 6 months 22.5m
Hizi zote ni risk free investment.

Yeye amesema anapata 5m/m lakini bado ana obligation ya kulipa wafanyakazi na hela yake anaipata kila mwezi.
Miezi 6 unasubiri hela ya BOT utajikuta umeishakopa kwingine au umekula mtaji kwingine.
Kwa mtu wa mahesabu kupata 5m/m from 300m investment inaoonyesha hakuwa makini kuchagua wapi awekeze hela yake.
There are better investment opportunities with higher ROI than the one he went for.
Anaepata 5m per month kwa mtaji wa 300m, anapata faida nzuri.
Hasa kama anatoa ajira kwa watu, hiyo pia ni faida.
 
Kuna mda unaweza kuwa kichaa kwenye haya mambo ya biashara.

Nimewekeza Tsh million mia tatu ( 300m+) nimeanza biashara faida ndio napata 5m yaani million tano Kwa mwezi.

Hapo sijatoa mishahara ya wafanyakazi na gharama za kuendeshea ofisi.

Wafanyabiashara mna roho ngumu sana, presha nje nje
Ungewekeza JATU Plc, kilimo bila stress....
 
Back
Top Bottom