BinSalum7
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 1,733
- 3,847
Hahahaa, unaweza ukaingia chooni then ukasahau kutawaza.Logistics ina faida sana ila again , sio kwa kila mtu!
Simu ya dereva kuwa lori limeanguka na copper ya watu imeibiwa inataka ujasiri wa hali ya juu kuipokea na kuifanyia kazi .