kolelosi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 814
- 1,940
Hiyo pesa angeingiza huku wala asingekuja kuleta hili bandiko.Mkuu kwenye sector ya logistics hii pesa unaizungusha ndan ya muda mchache, ukitaka kama transporter (scania used imesimama unapata hata kwa USD 35,000) au kuchukua tender na wewe ugawe kwa sub contractors...logistics haijawahi kuangusha mtu makini! Watu wanatoka kwa mikopo.. wewe advantage mtaji unao! Kila la heri.
Hapo ukipata gari 5 za 60 mln una uhakika wa kulaza 15 kila mwezi na hapo umetoa malipo yote.