Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Habari za mchana kila mmoja wetu.
Poleni na majukumu.
Naomba usaidizi wenu wakuu najua huku kuna watu wa namna tofauti,wafanyabiashara wakubwa,wadogo,wakati,waajiriwa na kuendelea.
Kuna biashara mbili kati ya hizo 👆juu moja wapo naitamani kufanya lkni sina uzoefu nazo kwa upande faida na hasara na changamoto zake.
Nina imani huku nitapata muongozo nini cha kufanya na nijiandae na nini
Najua biashara yoyote ukiwin location umetoboa hili ninalijua.nataka biashara mojawapo kati ya hizo ni ipi nitapata faida zaidi.najua zote zina faida lkni nataka itakayomzidi mwenzake.
Nafahamu mwanzo ni mgumu pia.
Natanguliza shukrani za 👏👏
Poleni na majukumu.
Naomba usaidizi wenu wakuu najua huku kuna watu wa namna tofauti,wafanyabiashara wakubwa,wadogo,wakati,waajiriwa na kuendelea.
Kuna biashara mbili kati ya hizo 👆juu moja wapo naitamani kufanya lkni sina uzoefu nazo kwa upande faida na hasara na changamoto zake.
Nina imani huku nitapata muongozo nini cha kufanya na nijiandae na nini
Najua biashara yoyote ukiwin location umetoboa hili ninalijua.nataka biashara mojawapo kati ya hizo ni ipi nitapata faida zaidi.najua zote zina faida lkni nataka itakayomzidi mwenzake.
Nafahamu mwanzo ni mgumu pia.
Natanguliza shukrani za 👏👏