Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 4,240
- 10,561
- Thread starter
- #21
Kabisa mkuu, sema tumeshindwa kurithishana, mzazi anaweza kuwa na biashara fulani, akifariki na biashara inakufa, Watoto wanaaza kutafuta hela upya.Watanzania tunatakiwa kufanya biashara zenye potential za kutufuqnya matajiri huko bqadae hata kama unaanza kidogo.