Katika kauli sipendi kisikia ni "nitajaribu" usipende kutumia kauli hiyo kwenye sensitive issues kama hapo kwenye business kijana.Nitajaribu kuweka mifumo ya kudhibiti mapato na matumizi
Na kuzaa nje unazaa tena kwa makusudi🤣🤣🤣🤣 ila wanaume🙌 na ikatokea mkeo akijua anatakiwa akomae tu au sio ntamshauri mkeo asisikilize ya walimwengu apambanie ndoa yake, hata mchepuko akitaka kuhamia ndani kwako mruhusu na mkeo pia mueleweshe kwamba wewe ni mwanaume una maamuzi ya kiume hakuna wa kukupangia.
Aisee this gender🙌🤣
Nimekuelewa mkuuKatika kauli sipendi kisikia ni "nitajaribu" usipende kutumia kauli hiyo kwenye sensitive issues kama hapo kwenye business kijana.
Hapo ni kumwambia huyo binti msimamo wako ni 1,2,3..., otherwise tusilaumiane.
Akikwambia "kumbe hunipendi" mwambie upo sahihi biashara haikupendi ila mimi nakupenda, usicheze na hii biashara.
Kwahiyo wewe uko russia au sio! Na mmekubaliana kuwa na michepuko. Sasa ole wako ukute mwana jf mwenzako anahudumiwa na huyo mchepuko wako na hela zenu za biashara anampa na mimba yako anaiita yake ole wako umechinje mtoto wa watu maana hamkawii na vimioyo vyenu hivyo
Bila kuchukua risk katıka hii dunia, mafanikio utayasikia tu kwa watu. Cha msingi ni kujiwekea defence mechanisms kumitigate matatizo.Huu ushauri ni wa kiutu uzima, nauchukua mkuu.
Kwa akili zako ww ata nikifafanua huwezi elewa cha msing jiandae kulea mwanawako ajaye
Mkuu Equation x nakuheshimu sana.Sema neno mkuu, elimu haina mwisho, maisha ni haya haya; utajisikiaje pale una miaka 70+ halafu una watoto 20+ wamepanda hewani wanakuzunguka baba yao halafu wote ni wafanyabiashara; utajisikiaje?