Biashara na mahusiano hayatanitesa kweli?

Nitajaribu kuweka mifumo ya kudhibiti mapato na matumizi
Katika kauli sipendi kisikia ni "nitajaribu" usipende kutumia kauli hiyo kwenye sensitive issues kama hapo kwenye business kijana.

Hapo ni kumwambia huyo binti msimamo wako ni 1,2,3..., otherwise tusilaumiane.

Akikwambia "kumbe hunipendi" mwambie upo sahihi biashara haikupendi ila mimi nakupenda, usicheze na hii biashara.
 
 
Nimekuelewa mkuu
 
Kwa akili zako ww ata nikifafanua huwezi elewa cha msing jiandae kulea mwanawako ajaye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…