Biashara na mahusiano hayatanitesa kweli?

Biashara na mahusiano hayatanitesa kweli?

Nitajaribu kuweka mifumo ya kudhibiti mapato na matumizi
Katika kauli sipendi kisikia ni "nitajaribu" usipende kutumia kauli hiyo kwenye sensitive issues kama hapo kwenye business kijana.

Hapo ni kumwambia huyo binti msimamo wako ni 1,2,3..., otherwise tusilaumiane.

Akikwambia "kumbe hunipendi" mwambie upo sahihi biashara haikupendi ila mimi nakupenda, usicheze na hii biashara.
 
Na kuzaa nje unazaa tena kwa makusudi🤣🤣🤣🤣 ila wanaume🙌 na ikatokea mkeo akijua anatakiwa akomae tu au sio ntamshauri mkeo asisikilize ya walimwengu apambanie ndoa yake, hata mchepuko akitaka kuhamia ndani kwako mruhusu na mkeo pia mueleweshe kwamba wewe ni mwanaume una maamuzi ya kiume hakuna wa kukupangia.

Aisee this gender🙌🤣
rt.jpg
 
Katika kauli sipendi kisikia ni "nitajaribu" usipende kutumia kauli hiyo kwenye sensitive issues kama hapo kwenye business kijana.

Hapo ni kumwambia huyo binti msimamo wako ni 1,2,3..., otherwise tusilaumiane.

Akikwambia "kumbe hunipendi" mwambie upo sahihi biashara haikupendi ila mimi nakupenda, usicheze na hii biashara.
Nimekuelewa mkuu
 
Kwa akili zako ww ata nikifafanua huwezi elewa cha msing jiandae kulea mwanawako ajaye
 
Back
Top Bottom