Biashara ndio kitu pekee mbadala wa AJIRA

Biashara ndio kitu pekee mbadala wa AJIRA

Nimecheka Hadi chozi limenitoka na watanzania awapendi kuambiwa ukweli wao wanataka kuambiwa ki motivation kuwa ughaibuni Kuna mamilioni 😭😭 matokeo yake mtu anaenda kichwa kichwa bila taarifa sahihi mambo yakiwa tofauti wanaanza kujuta huku wakiwa wamepoteza sana muda...! Mimi nimeamua kuwa muwadhi kwani taarifa kama hizi siku zipata kabla sijaondoka.​
Soma comments za wakurungwa wa bongo kuhusu andiko la mtanzania marekani
 
Walioko ughaibuni na kuajiriwa halafu wanatuma pesa za maendeleo Tanzania kwa ndugu zao, kwani wao wanawezaje?
Kuna nchi Zina pay kwa masaa na Zina ruhusu kufanya zaidi ya kazi moja.
Kuna wachache wamebahatika kupata kazi kwenye makampuni makubwa ya kimataifa na wanalipwa mishahala ya kimataifa ila hao ni wachache mno...! Walio Baki ni wakina sisi wabeba maboksi...! Na wafagia Barabara​
 
Soma comments za wakurungwa wa bongo kuhusu andiko la mtanzania marekani
Ngoja nipitie siku wahi kuuona huo uzi
 
Back
Top Bottom