Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Mlimbo huo mkuuKazi gani tena hizo unataka kutafutia mtu na umeshasema ajira huko ngumu bora Tz tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlimbo huo mkuuKazi gani tena hizo unataka kutafutia mtu na umeshasema ajira huko ngumu bora Tz tuu
Akili za kuambiwa changanya na zako 🤣🤣🤣Tumekuelewa mkuu. Sasa mbona wewe haurudi bongo tuendelee kukaza wote hapa hapa?
Mlimbo huo mkuu
Karibu sana rafiki yangu japo now a days nipo AJMANNext time nikirudi Deira ntakutafuta tupate walau moja moto moja baridi. Maisha ndo hayahaya
Watu wa hovyo sana yaani ndio maana sodoma walipigwa kiberitiAwalijui Hilo wanacho jua wao ni kuponda Raha🤣🤣🤣
UkorofiiiLipia tangazo
Hapana mkuu sio kweliUkorofiii
Hamna kiongozi, utani tuuKwani nimekukwaza tajili...?
Ulikuwa unatamani nijiue...? Sidhani kama nilisema nataka kujiuaMbona ulighairi kujiua? Au ile thread yako ilikuwa mawenge tu ya bia?
Ungezipata usingeondoka?Nimecheka Hadi chozi limenitoka na watanzania awapendi kuambiwa ukweli wao wanataka kuambiwa ki motivation kuwa ughaibuni Kuna mamilioni 😭😭 matokeo yake mtu anaenda kichwa kichwa bila taarifa sahihi mambo yakiwa tofauti wanaanza kujuta huku wakiwa wamepoteza sana muda...! Mimi nimeamua kuwa muwadhi kwani taarifa kama hizi siku zipata kabla sijaondoka.
Bado hailipi kubeba boksi? Mshahara kias gan wa kaz hizo kwa kima cha tshilingi?Kuna nchi Zina pay kwa masaa na Zina ruhusu kufanya zaidi ya kazi moja.
Kuna wachache wamebahatika kupata kazi kwenye makampuni makubwa ya kimataifa na wanalipwa mishahala ya kimataifa ila hao ni wachache mno...! Walio Baki ni wakina sisi wabeba maboksi...! Na wafagia Barabara
Leo unakana?Ulikuwa unatamani nijiue...? Sidhani kama nilisema nataka kujiua
Mhando amestress over! Hata akirudi bongo akapewa wizara aiongoze haimtoshi. Hili ni tatizo kama matatizo mengine. Mm naona aanze kutibu mood disorder kwanza... mana kila siku analia Panama!Niagize chochote DubaiNiagize chochote Dubai
Ndugu zangu awali ya yote ni washukuru Wana jamiiforums wote ambao mliguswa na changamoto yangu iliyo nikuta ambayo ilipelekea kuandika Uzi uliotafsiliwa kama nimekata tamaa😭😭😭 Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi! Kwakweli kipindi naandika huo Uzi nilikuwa kwenye...www.jamiiforums.com
Uyu jamaa kwenye thread zote ana lia Noki afu ndo utegemee nku tumie pesa yangu uni agizie kitu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]