Biashara ndio kitu pekee mbadala wa AJIRA

Biashara ndio kitu pekee mbadala wa AJIRA

Niagize chochote Dubai



Uyu jamaa kwenye thread zote ana lia Noki afu ndo utegemee nku tumie pesa yangu uni agizie kitu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpaka hapa Mtumie milion 20 utampatia wapi na atakuja kujiajiria hii hapahapa bongo.

Unajua kuna watu hapa bongo wakipata kula tu wanazaana wala hawawazi hata kesho tu. Na ukiona inakusumbua kesho ipunguze taswira uliyoijenga kuihusu. Hili ndo jibu la haraka haraka. Haya mambo ya maisha mazuri yaone kama bahati tu
 
Niagize chochote Dubai



Uyu jamaa kwenye thread zote ana lia Noki afu ndo utegemee nku tumie pesa yangu uni agizie kitu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣 Mimi natoa taarifa silii...kama unavyo sema...hata hivyo biashara nafanya pia ukitaka kuagiza sema...sio lazima unipe pesa naweza nikakutumia mzigo ukipata mzigo wako unanipa mshiko wangu...!

Watanzania Huwa hampendi negative thought mnapenda kusikia mambo mazuri tu ila ya nyuma ya pazia hamtaki kuyasikia ndio maana motivation speaking wanatupiga pesa sana...!​
 
Sema kaka tangia nijiunge JF mwaka 2017 naona wewe unalalamika tu kuhusu MAISHA.

Nadhani hata upewe fursa kubwa kiasi gani sifikirii kama utakuwa positive.

Ebu angalia Mungu alivyokujalia

Una Afya njema.

Una Kazi nayokuwezesha kula ,kuvaa na kulala na kupata matibabu.

Upo nje Dubai wenzako hata ndege hawajawahi kupanda Ila wewe umepanda.

Kabla ya kuondoka Bongo ulikuwa Una kiwanja ,pikipiki ,mke na watoto.


So tabia ya kulilia unbidi kuiacha mkuu kuwa MTU wa kushukuru ndo utaona baraka na utoshelevu wa nafsi.


Nimeona nikwambie hilo mkuu jitahidi uwe positive Sana na uwe MTU wa kutolalamika .

Mafanikio huwa yapo kiroho ukiwa MTU wa kulalamika utabaki chini miaka yote .

Nilikutumia kitabu cha " the magic by Rhoda" ili uanze Ku practice gratitude .

Unaweza kuhama nchi mbalimbali bila mafanikio ikiwa hautakuwa MTU wa gratitude.
 
Sema kaka tangia nijiunge JF mwaka 2017 naona wewe unalalamika tu kuhusu MAISHA.

Nadhani hata upewe fursa kubwa kiasi gani sifikirii kama utakuwa positive.

Ebu angalia Mungu alivyokujalia

Una Afya njema.

Una Kazi nayokuwezesha kula ,kuvaa na kulala na kupata matibabu.

Upo nje Dubai wenzako hata ndege hawajawahi kupanda Ila wewe umepanda.

Kabla ya kuondoka Bongo ulikuwa Una kiwanja ,pikipiki ,mke na watoto.


So tabia ya kulilia unbidi kuiacha mkuu kuwa MTU wa kushukuru ndo utaona baraka na utoshelevu wa nafsi.


Nimeona nikwambie hilo mkuu jitahidi uwe positive Sana na uwe MTU wa kutolalamika .

Mafanikio huwa yapo kiroho ukiwa MTU wa kulalamika utabaki chini miaka yote .

Nilikutumia kitabu cha " the magic by Rhoda" ili uanze Ku practice gratitude .

Unaweza kuhama nchi mbalimbali bila mafanikio ikiwa hautakuwa MTU wa gratitude.
Shukrani sana nitakisoma vizuri...
 
Sema kaka tangia nijiunge JF mwaka 2017 naona wewe unalalamika tu kuhusu MAISHA.

Nadhani hata upewe fursa kubwa kiasi gani sifikirii kama utakuwa positive.

Ebu angalia Mungu alivyokujalia

Una Afya njema.

Una Kazi nayokuwezesha kula ,kuvaa na kulala na kupata matibabu.

Upo nje Dubai wenzako hata ndege hawajawahi kupanda Ila wewe umepanda.

Kabla ya kuondoka Bongo ulikuwa Una kiwanja ,pikipiki ,mke na watoto.


So tabia ya kulilia unbidi kuiacha mkuu kuwa MTU wa kushukuru ndo utaona baraka na utoshelevu wa nafsi.


Nimeona nikwambie hilo mkuu jitahidi uwe positive Sana na uwe MTU wa kutolalamika .

Mafanikio huwa yapo kiroho ukiwa MTU wa kulalamika utabaki chini miaka yote .

Nilikutumia kitabu cha " the magic by Rhoda" ili uanze Ku practice gratitude .

Unaweza kuhama nchi mbalimbali bila mafanikio ikiwa hautakuwa MTU wa gratitude.
Jamaa anapenda kutia huruma aisee hadi kero utadhani yeye ni last born wa dunia hii, mbona sisi tunapitia magumu lakini tunakaza. Dunia ya sasa hakuna wa kukuonea huruma zaidi yako.
 
Wasakatonge wenzangu kama mjuavyo Mimi Huwa napenda kufanya vitu ambavyo vinaweza kuacha alama kwenye jamii, japo sijabahatika kuwa miongoni mwa watoa maamuzi muhimu wa Taifa, ila amini nakwambia siku moja tutakaa na watoa maamuzi wa Taifa na watatusikiliza kwa TUO.

Miezi kazaa nyuma niliazimia kwenda nje kwaajili ya KUTAFUTA kazi, Mungu sio ATHUMANI kwa jitihada za muda mrefu hatimae nilibahatika kukwea pipa View attachment 3036894
Nilitoka nyumbani nikiwa na nguvu mpya, Kasi na Hali mpya, punde tu baada ya kufika Dubai nilibahatika kupata kazi ila siku ipata hiyo kazi kama nilivyo tarajia.

Nilidhani nikisha fika tu UAE ningepata kazi kwa urahisi, lah hasha nilihangaika sana Hadi kufikia nusu ya kukata tamaa, hatimae nilifanikiwa kupata kazi.
View attachment 3036898
Kichwani nilikuwa najua ningelipwa mamilioni ambayo kwa huko nyumbani ni pesa anaZo lipwa mtu mwenye cheo kikubwa mno sikujua kuwa pesa yao huku ni nyingi kwa kuitamka ila kwenye matumizi ni ndogo sana.

Huku nyama kilo 1 ni dirham 45 hivi ambayo ni sawa na elfu 35,000/= za kitanzania 😭 😭 😭

Nikiwa na miezi kadhaa kwenye ajira yangu hiyo huku UAE nikiwa siwezi kuweka hata senti 5 ya akiba huku nikiwa ugenini nimejiinamia kama yatima, nikayakumbuka maneno ya Mrisho Mpoto kwenye wimbo wake aliweka kibwagizo "BORA KUWA MBWA ULAYA KULIKO KUWA MLINZI MBAGALA"

muda huo nilitamani hata niwe MBWA mbagala maana ningekuwa karibu na ndugu zangu.

Ndugu zangu mnao enda kutafuta kazi ughaibuni Nina waomba msivuke mipaka ya nchi yetu nzuri kwa lengo la kwenda kutafuta kazi bari mkifanikiwa kwenda nchi yoyote njoeni kutafuta fursa na tuzirudishe fursa nyumbani.

Nchi za wenzetu unaweza kwenda kufanyakazi kwa minajiri ya kujifunza kile unacho kifanyia kazi mkata ukiisha turudi nyumbani tukiwa na mipango ya kuifanyia kazi Ile fursa kwa hapa hapa bongo.

Nchi za wenzetu Kuna fursa Pana sana ya kibiashara na Kuna bidhaa nyingi mno ambazo zinahitajika sana hapa nyumbani na Zina patikana kwa wingi huko ughaibuni. Kuliko kwenda kutafuta kazi huko ni Bora ukaenda kutafuta fursa za kibiashara.
View attachment 3036923
Kwa huko kwetu hakuna bidhaa utakayo ipeleka njee labda DHAHABU au madini kwa ujumla, na vyakula.

Hizo biashara 2 ukifanikiwa utaikataa ajira.

Nimeona niwape hii zawadi kwani swala la AJIRA ni ugonjwa unao isumbua Dunia nzima. Na ajira ni utumwa kama utumwa mwingine ila biashara ukiipatia unakuwa huru una nunua bidhaa na bei unapanga mwenyewe.

Lakini ajira ni tofauti unasoma kwa gharama zako harafu mshahala wanakupangia. Na mshahala ni kama kilevi kumbuka una pewa kiduchu ili usahau shida kwa muda mfupi. Uone bila hiyo kazi maisha Yako SI lolote SI chochote.

Ajira ughaibuni zipo ila huwezi kutajirikia kwenye ajira labda uwe fisadi au mwizi..!

Mnao taka kuja Dubai kibiashara au kutafuta kazi msisite kuwasiliana nami Whatsapp +255759170794​
Pongezi kwako na mbu wa dengue kwa kutambua fursa za kibiashara huko dubai. Nashauri pia uige mfano kwa kuwa na whatsapp group au community ili iwe rahisi kushirikishana fursa zilizopo huko hasa biashara ya vitu used.
 
Back
Top Bottom