Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
- Thread starter
- #21
mkuu ninaongea kwa experience,ninafanya biashara ya accessories na simu mjini,alfu 10 hawanunui?nasema ni uongo,ninauza tecno T528 jumla 45000 Zinauzika balaa vijana wanakuja nunua hapa unakuta mtu ananujua 10 3days amemaliza tena akienda mnadani anauza 60000/55000,na siyo aina moja ya simu,
Inote wametoa kasimu cha button na touch hpo hapo kana WhatsApp na kanatumia android Jumla 93000 kanauzika balaa wanunuzi wengi Vijana wanaofanya biashara mnadani
KUNA MADA ZA KUCHANGIA UKIWA NA INFORMATIONS ZILIZOKAMILIKA,
KARIBUNI SINGIDA
Safi sana mkuu!hongera sana!atakayetaka kujifunza nadhan kapata pakuanzia