Biashara ndogondogo zinaweza kukutoa mapema ukipeleka mnadani

Biashara ndogondogo zinaweza kukutoa mapema ukipeleka mnadani

mkuu ninaongea kwa experience,ninafanya biashara ya accessories na simu mjini,alfu 10 hawanunui?nasema ni uongo,ninauza tecno T528 jumla 45000 Zinauzika balaa vijana wanakuja nunua hapa unakuta mtu ananujua 10 3days amemaliza tena akienda mnadani anauza 60000/55000,na siyo aina moja ya simu,
Inote wametoa kasimu cha button na touch hpo hapo kana WhatsApp na kanatumia android Jumla 93000 kanauzika balaa wanunuzi wengi Vijana wanaofanya biashara mnadani
KUNA MADA ZA KUCHANGIA UKIWA NA INFORMATIONS ZILIZOKAMILIKA,
KARIBUNI SINGIDA


Safi sana mkuu!hongera sana!atakayetaka kujifunza nadhan kapata pakuanzia
 
manengelo
Uko sahihi kabisa, katika sehemu vijana huichukulia poa mojawapo ni mnadani. Mnadani kuna pesa nzuri tu endapo utatuliza akili yako na kujituma pamoja na nidhamu ya pesa.

Mi nakumbuka mzee wangu hizi kazi za mnadani ndio zilimpa kipato kikubwa. Alikuwa anapiga ishu za minada leo wako hapa kesho pale wiki nzima ni kuzunguka minadani. Enzi hizo tulikuwa tunakaa wilayani Magu kwahiyo ishu zake alikuwa anafanya Kuanzia Nassa, Nyahanga, Dutwa, Karemela, Masanza One nakwingineko bila kusahau Magu mjini penyenye. Alikuwa anadili na ishu za yeboyebo soko lake ilikuwa ni Wasukuma hasa kipi cha mavuno ya Pamba basi pesa ilikuwepo kama yote.

Amepiga hiyo ishu baadae akapata dili akawa anachukua mabondo (hivi ni vile viatu kwa jina maarufu "saa sita utanikoma". ikifika mida hiyo kutokana na jua vinaunguza balaa) alikuwa anatoa Kisii, Kenya analeta pale Magu anapiga kwa bei ya Jumla. Wakati huo watu tunasoma shule za hela kupitia kazi za minadani tu. Saizi ana maduka ya jumla kwa yeboyebo pale Mwanza.

Kwahiyo ishu za minadani kama unamtaji mdogo huko ndio pa kukuzia.
 
manengelo
Uko sahihi kabisa, katika sehemu vijana huichukulia poa mojawapo ni mnadani. Mnadani kuna pesa nzuri tu endapo utatuliza akili yako na kujituma pamoja na nidhamu ya pesa.

Mi nakumbuka mzee wangu hizi kazi za mnadani ndio zilimpa kipato kikubwa. Alikuwa anapiga ishu za minada leo wako hapa kesho pale wiki nzima ni kuzunguka minadani. Enzi hizo tulikuwa tunakaa wilayani Magu kwahiyo ishu zake alikuwa anafanya Kuanzia Nassa, Nyahanga, Dutwa, Karemela, Masanza One nakwingineko bila kusahau Magu mjini penyenye. Alikuwa anadili na ishu za yeboyebo soko lake ilikuwa ni Wasukuma hasa kipi cha mavuno ya Pamba basi pesa ilikuwepo kama yote.

Amepiga hiyo ishu baadae akapata dili akawa anachukua mabondo (hivi ni vile viatu kwa jina maarufu "saa sita utanikoma". ikifika mida hiyo kutokana na jua vinaunguza balaa) alikuwa anatoa Kisii, Kenya analeta pale Magu anapiga kwa bei ya Jumla. Wakati huo watu tunasoma shule za hela kupitia kazi za minadani tu. Saizi ana maduka ya jumla kwa yeboyebo pale Mwanza.

Kwahiyo ishu za minadani kama unamtaji mdogo huko ndio pa kukuzia.



Duh..hadi nimesisimka!...
 
Mnadani wanapiga sana hela...watu wengi sana....... Ilikuwa siku ya mnada jua kali zamani kidogo nikapelekaga vinywaji vyangu...... Vikaisha fyuu....kuna siku ntarudi nikiwa nimejipanga zaidi
Mkuu huo ni mkoa gani?

Love and peace
 
Me nimeuza madera ya msomali sanaa ila nilikuwa sipati Wateja narudi nayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Minadani na yenyewe inategemena na sehemu uliyojiweka (location) kwa maana unaweza kupanga biashara sehemu sio.mfano wewe unauza madera ukajiweka kwa wale wanauza mitumba lazima upishane na wateja
Kwahy zingatia location
 
Mimi nadhani ni sehemu za kuuza vitu vingi vingi kwa bei nafuu kiasi. Mimi naamini ukiamua kukomaa na minada unaweza toka na hela nzuri sana tu.

Nadhani kuna mikoa na mikoa yenye minada mizuri, nyie vijana ambao hamjui mfanye nini fanyeni biashara za vyombo vile vya bei ya chini.

Jana nilienda mnada mmoja nilikuwa nahitaji vyombo vingi vingi kwa mishe za hapa na pale! Vyombo vya plastic ni bei nafuu na watu wananunua mno mno! Muda niliokaa pale yule dogo aliuza sio chini ya laki 3, na nilikaa muda mfupi sana!

Mnaotaka kukuza mitaji au kutafta mitaji mizuri hii nayo msiidharau, wale mnaoona aibu ohh mimi nimemaliza chuo basi jichanganyeni mikoani kwenye minada mpige hela.

Imagine unanunua bakuli anakuuzia 500 na hata ukiomba kwa 300 hakatai!

Kama kawaida yangu nikaamua kumpeleleza dogo; aliniambia biashara yake anapata shilingi kwa shilingi, anauza hadi sufuria. Sasa sufuria ya 23,000 aliniuzia kwa 17,000, na amesema yeye hakatai hela na anauza kwa kusoma sura ya mtu. Mtaji kasema laki 5 unaweza kufanya maajabu.

Kwahyo ukiamua kuanza na 500k unaweza izalisha kwa mwezi ukawa na 900k (mfano) na mnadani ushuru huwa mdogo sana (nimewahi uza mitumba so naongelea reality hapa) ukikomaa mwaka mmoja nadhani utapata mtaji mzuri sana hata wa kuchukua vitenge katoro ukapeleka mikoani au ukauza pia mnadani, vitenge vinatoka sana sana minadani.

Nimekutana na wakaka/wamama wengi sana wanauza vitenge. Hawana frem anavijengea tu banda analala humo!

Na ukishazoea maisha ya mnadani unaweza usitoke ukapange frem maana hela ni nje nje na matumizi yako ni kiduchu
Mnadani hela ni unagusa tu!

NB: Jiandaeni kisaikolojia kupigwa jua!
Chakula kizuri sana cha ubongo.
 
mkuu ninaongea kwa experience,ninafanya biashara ya accessories na simu mjini,alfu 10 hawanunui?nasema ni uongo,ninauza tecno T528 jumla 45000 Zinauzika balaa vijana wanakuja nunua hapa unakuta mtu ananujua 10 3days amemaliza tena akienda mnadani anauza 60000/55000,na siyo aina moja ya simu,
Inote wametoa kasimu cha button na touch hpo hapo kana WhatsApp na kanatumia android Jumla 93000 kanauzika balaa wanunuzi wengi Vijana wanaofanya biashara mnadani
KUNA MADA ZA KUCHANGIA UKIWA NA INFORMATIONS ZILIZOKAMILIKA,
KARIBUNI SINGIDA
Mi nafanya hii biashara sijui nakwama wapi Mana nakula za uso balaa
 
manengelo kijana anakuja na elfu 20kununua cover ndogo ndogo za simu ananunua 10 sh 8000kwa zile simu zinazotrend,Battery 5 zenye quality ya chini 1000 ,memory cards 2quality ya chini 2500,jumla 5000
Cover atauza 3000/2500
Battery 🔋 atauza 5000/4000
memory card 7000/5000
Kumbuka mtaji unakua A day anae sh ngapi a week?month?year?Unakuta anasajili na lines,mtaji ukiwa mkubwa anauza simu,mpesa Fursa zipo vijijini nyingi tuuu,Next year natafuta kijana awe anaenda mnadani kunifanyia kazi
Fursa ni nyingi hiyo ni kwa uchache tuu kuhusu phone 📱 and its accessories
Uko wapi tuchangamkie fursa?
 
Unauza jumla au rejareja ni kitu gani kinakupa shida mkuu funguka
 
Mimi nadhani ni sehemu za kuuza vitu vingi vingi kwa bei nafuu kiasi. Mimi naamini ukiamua kukomaa na minada unaweza toka na hela nzuri sana tu.

Nadhani kuna mikoa na mikoa yenye minada mizuri, nyie vijana ambao hamjui mfanye nini fanyeni biashara za vyombo vile vya bei ya chini.

Jana nilienda mnada mmoja nilikuwa nahitaji vyombo vingi vingi kwa mishe za hapa na pale! Vyombo vya plastic ni bei nafuu na watu wananunua mno mno! Muda niliokaa pale yule dogo aliuza sio chini ya laki 3, na nilikaa muda mfupi sana!

Mnaotaka kukuza mitaji au kutafta mitaji mizuri hii nayo msiidharau, wale mnaoona aibu ohh mimi nimemaliza chuo basi jichanganyeni mikoani kwenye minada mpige hela.

Imagine unanunua bakuli anakuuzia 500 na hata ukiomba kwa 300 hakatai!

Kama kawaida yangu nikaamua kumpeleleza dogo; aliniambia biashara yake anapata shilingi kwa shilingi, anauza hadi sufuria. Sasa sufuria ya 23,000 aliniuzia kwa 17,000, na amesema yeye hakatai hela na anauza kwa kusoma sura ya mtu. Mtaji kasema laki 5 unaweza kufanya maajabu.

Kwahyo ukiamua kuanza na 500k unaweza izalisha kwa mwezi ukawa na 900k (mfano) na mnadani ushuru huwa mdogo sana (nimewahi uza mitumba so naongelea reality hapa) ukikomaa mwaka mmoja nadhani utapata mtaji mzuri sana hata wa kuchukua vitenge katoro ukapeleka mikoani au ukauza pia mnadani, vitenge vinatoka sana sana minadani.

Nimekutana na wakaka/wamama wengi sana wanauza vitenge. Hawana frem anavijengea tu banda analala humo!

Na ukishazoea maisha ya mnadani unaweza usitoke ukapange frem maana hela ni nje nje na matumizi yako ni kiduchu
Mnadani hela ni unagusa tu!

NB: Jiandaeni kisaikolojia kupigwa jua!
Minadani kuna hela sana. Watu wengi wa Bunda, Musoma, Tarime, mikoa ya Simiyu Wametoboa kupitia Minadani.
 
Back
Top Bottom