Biashara niliyofungua Aprili 2022 nimeifunga Agosti 2024

Biashara niliyofungua Aprili 2022 nimeifunga Agosti 2024

Kitu cha kwanza unapotaka kufanya biashara kitu cha kwanza ni lazima uijue hiyo biashara kwa kufanya utafiti wa soko wa hiyo biashara, uwajue washindani wako nguvu zao na mapungufu yao vs nguvu zako na mapungufu yako pia inatakiwa uwajue wateja wao na wateja taraji wa kwako baada ya hapo inatakiwa uwe na andiko la mpango wako wa biashara je unajua kuandika mpango wa biashara?
Sijui,nipe mwongozo
 
Nipe muda nikutengezee dodoso ambalo ukillijubu litakuwa ndiyo andiko lako la biashara kama uko Morogoro nitafute, mimi naandika kitabu cha ujasiriamali
Tupo jirani
Imeisha hiyo, uje nikuelekeze kwanini biashara zinakufa na nini kifanyike
Vizuri tupeane maarifa kwenye media, niko bize na majukumu
 
Back
Top Bottom