Biashara niliyofungua Aprili 2022 nimeifunga Agosti 2024

Biashara niliyofungua Aprili 2022 nimeifunga Agosti 2024

Binadamu hatujawahi kueleweka....cha ajabu utampata wa hivi utaanza kulia lia tena ooh mke yupo bize hana muda wa kunipikia, hanifulii boxa bla bla bla 😁
Njoo wewe tulianzishe mpenzi ,Black wamenikopesha bila kuzingatia vigezo takiwa ,Sasa Nina hela japo nimetunza kiasi Cha kuwafungulia kesi wakianza kunidai
 
BIashara ya chakula na vinywaji kama haupo wanachofanya wanapika vyakula vyao wanauza kwanza vyao badae ndo wanauza chakula cha biashara hivo ndo wanavofanya, kwenye vinywaji wanaleta kreti lao la bia pemben wanauza wao la kwao badae la kwako unashangaa mbona wateja wamejaa ila mauzo hafifu...
Inaendelea.....

5: Kabla ya kuamua kufanya biashara flani ifnyie utafiti wa kutosha.
utafiti wa kutosha yani....sio tu thread wakuu nataka biashara ya mama lishe vipi, majibu yanakuja nunua sahani nunua sufuria na mwiko anza kazi inalipa😹, maana yake nenda kwa mama lishe kakae hapo huku ukipiga story na kula angalia namna wanavofanya kazi zao, najua wanasambaza chakula na kukusanya hela jioni uliza changamoto zao tembelea wengi wa kutosha na biashara nyingine hivyo hivyo.

Experience yangu katika hili: nilivagaa biashara ya kukopesha nilienda kariakoo beba mapochi beba nguo biashara siijui nikakopesha watu.....mmmh nilibaki na majuto heri ningevaa tu hizo nguo na pochi nkabeba.

Experience yangu nyingine: nilifungua duka la vyakula mchele, unga, maharage nk nikamuweka housegirl nliekaa nae nyumbani miaka 7 nikiamini namjua ni mwaminifu, home nikaweka mwingine daaaah kumbe pesa haina uaminifu, alikua anakula hela zangu kama hana akili na kwakua nlimuamini nlifanya mahesabu kizembe hata mwezi unakata sijapiga hesabu.

Kosa lingine kubwa sana nilifanya kutokujua mi mwajiriwa naamka asubuhi naenda kazini yeye anaenda dukani, anauza ila anasema hajauza nitajuaje??? Hii biashara sikupaswa kuifanya kabisa make inahitaji uwepo muda wote namie kuwepo muda wote haiwezekani ila wala sijutiii sasa nisingefanya ningejifunza vipi.

Pia ilikua mbali na nyumbani mbali na kazini gharama za nauli daily nk mwisho nilichukua vyakula nkaweka nyumbani tukala.

Nmeamua kufanya biashara nyingine inayoendana na kazi yangu, nilianza kwa utafiti nimezunguka sana, nashukuru kuna jamaa anaifanya na sio mchoyo wa maarifa amenipa sio tu abc....yani ni abc hazi z ana roho nyeupe, nimepitia nyuzi sana, na ninaisimamia vema naamka mapema naanzia kwenye biashara kwanza saa mbili ndo naenda kazini, nikitoka chaaap narudi kijiwe,
naiona mwelekeo mzuri.....hii haifi yani ntakufa mie hii haifi 😹

waajiriwa tuchague biashara walau yenye usimamizi wa kueleweka, isiokuhitaji hapo 100% yani inaweza kuendelea vema na haupo mfano biashara za kukodisha vitu mbalimbali, vyombo, maturubai, viti, nk nk vya kukodi ni vingi, au biashara inayohesabika unajua vilikua vitano kimeuzwa kimoja vimebaki vinne....

Kama ni biashara ya chakula, mfano mi nikitaka kuifanya nitauza ugali, nyama choma/mishkaki na kachumbari tuuuuu au ndizi kaanga/choma pia.....hii ina urahisi kusimamia nmeacha ugali 30 nikija nataka hesabu ya ugali 30 kama umebaki nitaona, ila ukianza na wali na michuzi mambo yatap
 
BIashara ya chakula na vinywaji kama haupo wanachofanya wanapika vyakula vyao wanauza kwanza vyao badae ndo wanauza chakula cha biashara hivo ndo wanavofanya, kwenye vinywaji wanaleta kreti lao la bia pemben wanauza wao la kwao badae la kwako unashangaa mbona wateja wamejaa ila mauzo hafifu...
Ni heri kibaki nikione kwamba sijauza, kuliko bidhaa hakuna pesa hakuna....hiki ndo kilikua kinanitokea duka la vyakula ukienda vitu hakuna pesa hakuna.

Ndo maana pia nasema mfano mie nikiamua kufanya biashara ya chakula sitaweka vitu vingi ni vitu vichache spesho ambavyo nna uwezo wa kuvisimamia.
 
Inaendelea.....

5: Kabla ya kuamua kufanya biashara flani ifnyie utafiti wa kutosha.
utafiti wa kutosha yani....sio tu thread wakuu nataka biashara ya mama lishe vipi, majibu yanakuja nunua sahani nunua sufuria na mwiko anza kazi inalipa[emoji81], maana yake nenda kwa mama lishe kakae hapo huku ukipiga story na kula angalia namna wanavofanya kazi zao, najua wanasambaza chakula na kukusanya hela jioni uliza changamoto zao tembelea wengi wa kutosha na biashara nyingine hivyo hivyo.

Experience yangu katika hili: nilivagaa biashara ya kukopesha nilienda kariakoo beba mapochi beba nguo biashara siijui nikakopesha watu.....mmmh nilibaki na majuto heri ningevaa tu hizo nguo na pochi nkabeba.

Experience yangu nyingine: nilifungua duka la vyakula mchele, unga, maharage nk nikamuweka housegirl nliekaa nae nyumbani miaka 7 nikiamini namjua ni mwaminifu, home nikaweka mwingine daaaah kumbe pesa haina uaminifu, alikua anakula hela zangu kama hana akili na kwakua nlimuamini nlifanya mahesabu kizembe hata mwezi unakata sijapiga hesabu.

Kosa lingine kubwa sana nilifanya kutokujua mi mwajiriwa naamka asubuhi naenda kazini yeye anaenda dukani, anauza ila anasema hajauza nitajuaje??? Hii biashara sikupaswa kuifanya kabisa make inahitaji uwepo muda wote namie kuwepo muda wote haiwezekani ila wala sijutiii sasa nisingefanya ningejifunza vipi.

Pia ilikua mbali na nyumbani mbali na kazini gharama za nauli daily nk mwisho nilichukua vyakula nkaweka nyumbani tukala.

Nmeamua kufanya biashara nyingine inayoendana na kazi yangu, nilianza kwa utafiti nimezunguka sana, nashukuru kuna jamaa anaifanya na sio mchoyo wa maarifa amenipa sio tu abc....yani ni abc hazi z ana roho nyeupe, nimepitia nyuzi sana, na ninaisimamia vema naamka mapema naanzia kwenye biashara kwanza saa mbili ndo naenda kazini, nikitoka chaaap narudi kijiwe,
naiona mwelekeo mzuri.....hii haifi yani ntakufa mie hii haifi [emoji81]

waajiriwa tuchague biashara walau yenye usimamizi wa kueleweka, isiokuhitaji hapo 100% yani inaweza kuendelea vema na haupo mfano biashara za kukodisha vitu mbalimbali, vyombo, maturubai, viti, nk nk vya kukodi ni vingi, au biashara inayohesabika unajua vilikua vitano kimeuzwa kimoja vimebaki vinne....

Kama ni biashara ya chakula, mfano mi nikitaka kuifanya nitauza ugali, nyama choma/mishkaki na kachumbari tuuuuu au ndizi kaanga/choma pia.....hii ina urahisi kusimamia nmeacha ugali 30 nikija nataka hesabu ya ugali 30 kama umebaki nitaona, ila ukianza na wali na michuzi mambo yatapandiana.

Good ideas
 
2. Changamoto za mahusiano zilivuruga biashara yangu. Waswahili wana kwambia kosea vyoote ila usikosee kuoa hapa ni siwe msemji sana ila kama mke wako mgomvi ana, hasira na wivu uliopitiliza hutoboi mzee kila siku litaibuka jipya.

Ni mwanamke ambae alikuwa anataman kwenye biashara yangu nisiwe na wateja wanawake,akija mwanamke ninaefahamiana nae ni demu wangu,nikichelewa kurudi nilikuwa na wanawake,ukimuachia yeye mara anawanunia watu yaan shida tupu,haelewani na washikaj zangu
Ulitaka mkeo aelewane na washikaji zako, una hatari sana
 
Mimi kama mimi pia nafikiria pia kuchagua ni biashara gani ufanye, inabidi pia nawe ujiangalie ni mtu wa namna gani....yani ulivyo personality yako inaenda na hiyo biashara?

Nitaeleza.....
 
Katika biashara kuna siri ambazo pia watu hawasemi na ndio siri za mafanikio mixa ujanja ujanja.....

Ndugu yangu anauza mchele ananunua mchele wa aina moja mfano ni mchele wa 1200, anaugawa, anaweka kwenye mashine unapakwa mafuta wanajua wenyewe huu unakua na bei yake imechangamka, mwingine haupakwi mafuta ila anatoa chenga huu una bei yake pia, na mwingine anauacha kama ulivyo na huu una bei yake......mchele huo huo wa bei moja ila una bei tatu tofauti 😹 #siri za biashara

Kwenye stationery kuna mahali wameandika copy sh 40 maana yake huku na huku sh 80, sasa utalipa sh 80? Obvious utalipa 100 na ndio bei halisi....lugha ya biashara #siri za biashara
Hili naondoka nalo ....
""Kwenye stationery kuna mahali wameandika copy sh 40 maana yake huku na huku sh 80, sasa utalipa sh 80? Obvious utalipa 100 na ndio bei halisi....lugha ya biashara #siri za biashara""

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Habari za majukumu wana JF,

Leo naleta mada hii iwe kama funzo kwanaotaka kuanza biashara au wanaofanya biashara.

Nianze kwa kwakusema biashara inaitaj mtu uwe na roho ngumu yaani usiwe na huruma.
Mambo yaliyochangia kufunga biashara Yangu:

1. Uaminifu. Binafsi ni mtumishi wa serikali, hivyo nahitaji kuwa na mtu/kijana atakaeweza kusimamia biashara, lakini kwenye biashara yangu ilikua ni mtiti, vijina sio waaminifu karne hii, ikitokea umewagundua tu wanachukua chao na kusepa. Na wanasepa kwa kukupa hasara.

2. Changamoto za mahusiano zilivuruga biashara yangu. Waswahili wana kwambia kosea vyoote ila usikosee kuoa hapa ni siwe msemji sana ila kama mke wako mgomvi ana, hasira na wivu uliopitiliza hutoboi mzee kila siku litaibuka jipya.

3. Nilifeli kwenye usimamizi. Mahali biashara ilipo na sehemu y kazi pana umbali mrefu hali hiyo ilinifanya nitumie siku za weekend kuangalia bishara inaendaje. Uhuru wa kijana from Monday to Friday ulifanya niwenapigwa za uso. Ilifika mahali mauzo ya wiki hayafikii hata pesa ya kulipa pango.

4. Aina ya biashara niliyofanya pia inaweza kuwa ni sababu kwasababu niya msimu, kuna msimu biashara haiendii kabisa inakua ngumu sanaa.

Ilifika mahali kodi ya pango natumia salary yangu na hadi sasa kodi ya TRA imenishida kulipia. Leo naandika barua ya kusitisha kuwa mlipakodi kwenye biashara yangu.

Mpango mkakati wa kuanza tena biashara.
Ninampngo wa kubadilisha biashara ila najipa kwanza pumziko la mwaka mmoja ivii... kupunguza machungu ya hasara niliyoingia kwakipindi chote cha biashara.
Swali je unahitaji ushauri
 
Habari za majukumu wana JF,

Leo naleta mada hii iwe kama funzo kwanaotaka kuanza biashara au wanaofanya biashara.

Nianze kwa kwakusema biashara inaitaj mtu uwe na roho ngumu yaani usiwe na huruma.
Mambo yaliyochangia kufunga biashara Yangu:

1. Uaminifu. Binafsi ni mtumishi wa serikali, hivyo nahitaji kuwa na mtu/kijana atakaeweza kusimamia biashara, lakini kwenye biashara yangu ilikua ni mtiti, vijina sio waaminifu karne hii, ikitokea umewagundua tu wanachukua chao na kusepa. Na wanasepa kwa kukupa hasara.

2. Changamoto za mahusiano zilivuruga biashara yangu. Waswahili wana kwambia kosea vyoote ila usikosee kuoa hapa ni siwe msemji sana ila kama mke wako mgomvi ana, hasira na wivu uliopitiliza hutoboi mzee kila siku litaibuka jipya.

3. Nilifeli kwenye usimamizi. Mahali biashara ilipo na sehemu y kazi pana umbali mrefu hali hiyo ilinifanya nitumie siku za weekend kuangalia bishara inaendaje. Uhuru wa kijana from Monday to Friday ulifanya niwenapigwa za uso. Ilifika mahali mauzo ya wiki hayafikii hata pesa ya kulipa pango.

4. Aina ya biashara niliyofanya pia inaweza kuwa ni sababu kwasababu niya msimu, kuna msimu biashara haiendii kabisa inakua ngumu sanaa.

Ilifika mahali kodi ya pango natumia salary yangu na hadi sasa kodi ya TRA imenishida kulipia. Leo naandika barua ya kusitisha kuwa mlipakodi kwenye biashara yangu.

Mpango mkakati wa kuanza tena biashara.
Ninampngo wa kubadilisha biashara ila najipa kwanza pumziko la mwaka mmoja ivii... kupunguza machungu ya hasara niliyoingia kwakipindi chote cha biashara.
Aisee,watu wamekosa uaminifu..
 
Aisee,watu wamekosa uaminifu..
Funzo nilopata kwny biashara.. Saiv nimejifunza kuwa mbogo. Sichek na mtu, Dosari kidogo tu unapigwa maswali kama saba ivii.. af unampa warning akirudia unamtimua
 
Swali je unahitaji ushauri
Kitu cha kwanza unapotaka kufanya biashara kitu cha kwanza ni lazima uijue hiyo biashara kwa kufanya utafiti wa soko wa hiyo biashara, uwajue washindani wako nguvu zao na mapungufu yao vs nguvu zako na mapungufu yako pia inatakiwa uwajue wateja wao na wateja taraji wa kwako baada ya hapo inatakiwa uwe na andiko la mpango wako wa biashara je unajua kuandika mpango wa biashara?
 
Back
Top Bottom