Biashara noma sanaa, unataka kujiona hufanyi kitu kwenye biashara? Ingia Instagram cheki biashara za wenzako..!!!

Biashara noma sanaa, unataka kujiona hufanyi kitu kwenye biashara? Ingia Instagram cheki biashara za wenzako..!!!

Iga vichache ambavyo una uwezo navyo mkuu.

Kwenye maisha binadamu ni waongo mno, kipindi naanza anza job mahali fulani nilikua naona wafanyakazi wenangu wako vizuri kweny nyanja nyingi, hii ni kutokana na story zetu za hapa na pale. Nikidhani performance zao ni juhudi zao kweli bila magumashi..

Aloo kumbe ni wazee wa kufoji mambo kibao.. hamna cha ubora wala nini, ni wazee wa fix nyingi na show off.
Nime cheka kise...nge, eti wazee wa kufoji foji.

ewe Vishu Mtata katibu wa banyeta, u hali gani kaka yangu.
 
INTRODUCTION:-
Wananchi salamaa?
Wale wanayanga wenzangu tusijali TUTAVUKA BILA CALUCULATOR zao..!!!

BODY:-
Ukiachana na utumishi wa umma, Mimi bwana ni mfanyabiashara ninaye miliki kampuni inayofanya biashara aina tatu tofauti.

Ashukuriwe Mungu mauzo kwa siku hayawi chini ya Mil 2 kama siku ikiwa mbaya na siku ikinoga yanaenda mpaka mil 7 kwa siku..!!!

SCENARIO:-
Baada ya biashara zangu kuwa kubwa na jina kufahamika, nilishauriwa niingie Social media ili kuitangaza zaidi.

Hivyo nikafungua Page Instagram, Twitter (X) na Facebook.

Kwenye kulipia ads niligoma, hivyo naendesha pages ambazo hazijalipiwa.

Sasa bwana mwenzenu ninapopata nafasi huwa natembelea pages za watu kujifunza vitu mbalimbali, sasa nayokutana nayo huko sometimes yanasononesha moyo na kutia maudhi na kujiona badoooo sanaaa kwenye biashara .....

1. Raia wanaagiza bidhaa kwenye kontena.
Sijawahi agiza bidhaa likajaa kontena, uwezo wangu huwa ni fuso tu.
Hivyo dah nikiwacheki wa insta na makontena yao yaani dah..!!!

2. Raia wana maduka/fremu zimelembwa.
Unakuta duka la mtu lina mataa mataaa hatari mpaka kunoga..!!
Yaani duka ukiliangalia kwenye kioo cha simu linavutia noma.

3. Raia wanatumia wasanii na watu mashuhuri kufanya promo.
Ukiingia insta unakutana na wenzako (hasa wa Dar) wanatumia wasanii wa bongo fleva na watu mashuhuri kwenye matangazo yao.
Kuna siku niliona jamaa anafanya biashara kama yangu mkoani anamtumia Hamed Ally wa Simba kufanya promo..!!!

4. Raia maduka yao yanajaaa wateja.
Ndio hata mimi nauza, ila naonaga insta unakuta duka limevamiwa na wateja kama anagawa bure.
Yaani kama huna moyo halafu akawa ndio mpinzani wako wa "same location" lazima uzimie..!!!

5. Raia wana wafanyakazi kibaoo.
Kuna siku niko na view ad ya jamaa mmoja anafanyabiashara kama yangu, nakuta anawafanyakazi kibao (nilihesababu wakafika 9) wotee wako bizeee na wanasale zao freshh.
Huku kwangu kampuni yangu ina vijana wa 4 tu tunalisongesha.

6 .... N.k utamalizia na wewe.

CONCLUSION:-
Wazee wa Insta mnatutisha wenzenu..!!!

Anyway:-
Business is better than investment.
Tuendelee kutafuta pesa.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Ur greed itakufanya ushindwe kufocus na biashara yako Biashara ni namba unaweza ona anaangiza kontena kumbe maden meng kuliko assets.. Biashara ujue inaenda mwambie aweke financial statements sio kwa kuangaliaa tu bila fact..
 
We naona sasa umeahayajua maisha. Hawa kula kulala bure picha za insta tu zinawachanganya hadi wanaleta uzi
Amna ni kawaida mkuu, tunajifunza kila siku.
Kila mtu ni mgeni pahala fulani ila kwasasa siwaamini binadamu.
Na wananifundisha na mimi kua muongo muongo kama wao maana bila hivyo utaonekana wa hovyo
 
Honestly mtandaoni
Kunaweza kujenga biashara ila pia kuna ujanja wa watu kutengeneza content za kujenga brand..
Ukiweza kufanikisha hili litakupa wafuasi kibao watakaokuamini, na kupata wateja watiifu pia.
 
Businesses is better than investing?
Msome Robert Kiyosaki
Ametofutisha vizuri kati ya businesses, investment, asset na liability kusema ukweli wewe uko vizuri sema unahitaji kuchwa kimoja kiwe meneja halafu wewe zama chimbo kutafuta masoko mapya au uwekezaji mpya
Naomba nikusahihishe
Investing ni BORA kuliko biashara.
Biashara ni kuwa na duka
Uwekezaji ni kuwana channel itakayobtengeneza pesa milele pata picha my anagorofa pale posta lenye frem zaidi tmya 100 anakula Kodi, haitaji Tena purukushani za mahesabu makali Kama biashara.
Narudia Tena upo vizuri wewe ni mfanyabiashara wa kati hongera usiache mapambano achana na show of Kama unaweza Anza biashara ya kujenga nyumba za kupangisha sio lazima ziwe kalinsana za kawaida tu hizo ndizo biashara za Robert Kiyosaki na Dornad Trump
 
Ukubwa wa page ya insta sio ukubwa wa biashara....
For as long unafika targets zako za mwezi na mwaka you are good...
Sio kila king'aacho ni dhahabu
 
Businesses is better than investing?
Msome Robert Kiyosaki
Ametofutisha vizuri kati ya businesses, investment, asset na liability kusema ukweli wewe uko vizuri sema unahitaji kuchwa kimoja kiwe meneja halafu wewe zama chimbo kutafuta masoko mapya au uwekezaji mpya
Naomba nikusahihishe
Investing ni BORA kuliko biashara.
Biashara ni kuwa na duka
Uwekezaji ni kuwana channel itakayobtengeneza pesa milele pata picha my anagorofa pale posta lenye frem zaidi tmya 100 anakula Kodi, haitaji Tena purukushani za mahesabu makali Kama biashara.
Narudia Tena upo vizuri wewe ni mfanyabiashara wa kati hongera usiache mapambano achana na show of Kama unaweza Anza biashara ya kujenga nyumba za kupangisha sio lazima ziwe kalinsana za kawaida tu hizo ndizo biashara za Robert Kiyosaki na Dornad Trump
Vitabu vya Robert Koyasaki na Mkewe nimesoma kibao....
1. Rich Dad Poor Dad
2. Four Quadrants
3. Na kile cha Trump na Koyasaki walichoshirikiana ""nimesahau jina lake""

Lakini pia nimesoma vitabu vya wengine kibao (nasikitika ile extenal storage yangu ilipotea, ninge view majina mule nikutajie vyotee vitabu vya Finance, business na Investment nilivyosoma, maana mimi kusahau majina ya vitabu NIKO VIZURI)

Tukirudi kwenye Investment Vs Business.
Kwanini biashara ni bora kuliko investment?

Fungua biashara, kaa hapo hata miezi miwili, halafu weka mifumo ya ulinzi (CCTV) na mauzo program ya accounting (iwe online na offline)

Halafu, we kula bata au take longggg holiday.

Kazi yako itakuwa ni kila jioni ukiwa sehemu umetulia na kurelax unachukua ka-laptop chako unavuta report za program yako ya biashara zako, basi mambo yanaendaaaa.

Report zitakujuza kila kitu ukitakacho.

Lakini kuniambia nijenge nyumba ya Mil 50 ili kila mwezi ni zalishe laki 4 mpaja 7 kodi, mi nitakwambia, nipe hiyo mil 50 halafu baada ya miaka mi3 njoo uone kama sijai multiply by more than 2.

#YNWA
#YANGA_BINGWA.
 
Kwakwel mbona kina sie tunapata ugumu kuuza kuwa nawateja kibao kama hao uwasema wa ista,TikTok ...mtu anakwambiacanauza magari 3 kwasiku au mtu anauza m10+
 
Back
Top Bottom