Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Nime cheka kise...nge, eti wazee wa kufoji foji.Iga vichache ambavyo una uwezo navyo mkuu.
Kwenye maisha binadamu ni waongo mno, kipindi naanza anza job mahali fulani nilikua naona wafanyakazi wenangu wako vizuri kweny nyanja nyingi, hii ni kutokana na story zetu za hapa na pale. Nikidhani performance zao ni juhudi zao kweli bila magumashi..
Aloo kumbe ni wazee wa kufoji mambo kibao.. hamna cha ubora wala nini, ni wazee wa fix nyingi na show off.
Ur greed itakufanya ushindwe kufocus na biashara yako Biashara ni namba unaweza ona anaangiza kontena kumbe maden meng kuliko assets.. Biashara ujue inaenda mwambie aweke financial statements sio kwa kuangaliaa tu bila fact..INTRODUCTION:-
Wananchi salamaa?
Wale wanayanga wenzangu tusijali TUTAVUKA BILA CALUCULATOR zao..!!!
BODY:-
Ukiachana na utumishi wa umma, Mimi bwana ni mfanyabiashara ninaye miliki kampuni inayofanya biashara aina tatu tofauti.
Ashukuriwe Mungu mauzo kwa siku hayawi chini ya Mil 2 kama siku ikiwa mbaya na siku ikinoga yanaenda mpaka mil 7 kwa siku..!!!
SCENARIO:-
Baada ya biashara zangu kuwa kubwa na jina kufahamika, nilishauriwa niingie Social media ili kuitangaza zaidi.
Hivyo nikafungua Page Instagram, Twitter (X) na Facebook.
Kwenye kulipia ads niligoma, hivyo naendesha pages ambazo hazijalipiwa.
Sasa bwana mwenzenu ninapopata nafasi huwa natembelea pages za watu kujifunza vitu mbalimbali, sasa nayokutana nayo huko sometimes yanasononesha moyo na kutia maudhi na kujiona badoooo sanaaa kwenye biashara .....
1. Raia wanaagiza bidhaa kwenye kontena.
Sijawahi agiza bidhaa likajaa kontena, uwezo wangu huwa ni fuso tu.
Hivyo dah nikiwacheki wa insta na makontena yao yaani dah..!!!
2. Raia wana maduka/fremu zimelembwa.
Unakuta duka la mtu lina mataa mataaa hatari mpaka kunoga..!!
Yaani duka ukiliangalia kwenye kioo cha simu linavutia noma.
3. Raia wanatumia wasanii na watu mashuhuri kufanya promo.
Ukiingia insta unakutana na wenzako (hasa wa Dar) wanatumia wasanii wa bongo fleva na watu mashuhuri kwenye matangazo yao.
Kuna siku niliona jamaa anafanya biashara kama yangu mkoani anamtumia Hamed Ally wa Simba kufanya promo..!!!
4. Raia maduka yao yanajaaa wateja.
Ndio hata mimi nauza, ila naonaga insta unakuta duka limevamiwa na wateja kama anagawa bure.
Yaani kama huna moyo halafu akawa ndio mpinzani wako wa "same location" lazima uzimie..!!!
5. Raia wana wafanyakazi kibaoo.
Kuna siku niko na view ad ya jamaa mmoja anafanyabiashara kama yangu, nakuta anawafanyakazi kibao (nilihesababu wakafika 9) wotee wako bizeee na wanasale zao freshh.
Huku kwangu kampuni yangu ina vijana wa 4 tu tunalisongesha.
6 .... N.k utamalizia na wewe.
CONCLUSION:-
Wazee wa Insta mnatutisha wenzenu..!!!
Anyway:-
Business is better than investment.
Tuendelee kutafuta pesa.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
πππ Mkuu ulipotelea wapi ??Nime cheka kise...nge, eti wazee wa kufoji foji.
ewe Vishu Mtata katibu wa banyeta, u hali gani kaka yangu.
Amna ni kawaida mkuu, tunajifunza kila siku.We naona sasa umeahayajua maisha. Hawa kula kulala bure picha za insta tu zinawachanganya hadi wanaleta uzi
Majukumu yali kuwa mengi, lakini pia nili pata ajali kaka.πππ Mkuu ulipotelea wapi ??
Nipo mkuu
Hizo mambo niliacha, rafiki yangu Poor Brain alinipa mbinu ya kupata mishangazi sasa hivi nateleza tu.
Pole sana jombaa, ajali ya nini?Majukumu yali kuwa mengi, lakini pia nili pata ajali kaka.
Ila niko poa kwa Sasa.
hahaha kaka nisinge weza, hata walio juzwa, nime kuja kujua baada ya kuamka na kuongea naoPole sana jombaa, ajali ya nini?
Mbona hukutoa taarifa jf jombaa hapa ni nyumbani ujue.
Mleta mada shika hiki.π€£π€£ iga ufe !! Sometime kuna biashara nyuma ya biashara
Aisee pole sana jombaahahaha kaka nisinge weza, hata walio juzwa, nime kuja kujua baada ya kuamka na kuongea nao
Asante bro, ndo maisha yetu. Kikubwa kukaza butiAisee pole sana jombaa
Endelea kuteleza hv hvo ila kuwa makini ππππππππ Mkuu ulipotelea wapi ??
Nipo mkuu
Hizo mambo niliacha, rafiki yangu Poor Brain alinipa mbinu ya kupata mishangazi sasa hivi nateleza tu.
such a genius, agiza chakula bill ije kwanguKingine biashara ni Kama mke
Je uta muacha mkeo ili uendane na speed ya hao wazuri??, jibu ni lako mzee.
Ukiwa mfanyabiashara waganga LAZIMA UWAJUE.Tanzanian Dream njoo utupe data za kiroho ili biashara itoboe
Vitabu vya Robert Koyasaki na Mkewe nimesoma kibao....Businesses is better than investing?
Msome Robert Kiyosaki
Ametofutisha vizuri kati ya businesses, investment, asset na liability kusema ukweli wewe uko vizuri sema unahitaji kuchwa kimoja kiwe meneja halafu wewe zama chimbo kutafuta masoko mapya au uwekezaji mpya
Naomba nikusahihishe
Investing ni BORA kuliko biashara.
Biashara ni kuwa na duka
Uwekezaji ni kuwana channel itakayobtengeneza pesa milele pata picha my anagorofa pale posta lenye frem zaidi tmya 100 anakula Kodi, haitaji Tena purukushani za mahesabu makali Kama biashara.
Narudia Tena upo vizuri wewe ni mfanyabiashara wa kati hongera usiache mapambano achana na show of Kama unaweza Anza biashara ya kujenga nyumba za kupangisha sio lazima ziwe kalinsana za kawaida tu hizo ndizo biashara za Robert Kiyosaki na Dornad Trump
Siri za uchawi ni chache sanaaKuna Siri nyingi watu wamebeba tuangalie tu π
Mleta mada shika hiki.
Naelewa kila kitu ...π€£π€£ iga ufe !! Sometime kuna biashara nyuma ya biashara