Biashara siyo rahisi

Biashara siyo rahisi

Hilo life nishapitia miaka kadhaa nilikuwa natoka wilay moja kwenda nyingine namsaidia mzee kipind nimemaliza advance ,hela nilikuwa napata ila sina mda wa kulala wala kula Bata ,yaani kumi na moja niko kweny gari nilifika huko kama 12 tunachagua mzigo ila saa 5 niuleta town sema uzuri wake mzee alikuwa na wateja constant yaani akija nao town anauza unaishi wote ...sio kuanza kupanga Tena ila ule mzunguko ndo hatar wengi order wanakuja chukua usiku kama saa 4 nikirudi home mpaka saa 5 au sita nalala kesho 11 alfajiri natakiwa kwenda Tena ....dah yaani acha tu 😅😅😅😅
 
Ni kweli kabisa,niliwai kufungua mabalo pale ilala boma sokoni.
Ile biashara nzuri sana changamoto wizi tu wa madalali.
Unaingia Sa 12 ila 11 asb uko macho kwa safari.
Sa 12 asb mnada unaanza mpk sa 2 mzigo umeisha unajua mbivu na mbichi.
Unafata mzigo wa kesho unafungia unarudi maskani yaani sa nne mpk sita uko mtaani umepozi tu kimyaa watu hawaelewi wanakuona daily upo upo tu kumbe biashara asubuhi.
 
Huu ni ukweli 100% na ujinga wa ngozi nyeusi ni kuamini waliofanikiwa ni washirikina, mtu akiona nina mafanikio fulani anaanza wewe kabila gani.

Nikimjibu mimi ni Mkinga anahitimisha kuwa ni mshirikina ila hajua mimi ninavyopambana kusaka pesa.
Watu wengi ambao hawafanyi biashara hudhani wafanya biashara karibia wote kama sio wote ni wachawi
..sijui hata kwa nini
 
Waajiriwa mnazo favours nyingi.

Kuwa na shift siyo shida the issue ni ukiwa mfanyabiashara hakuna likizo likizo yako ni kutokee tatizo au uumwe.
Hiyo sio biashara. Ni uchuuzi na haina tofauti na kuajiriwa.
Kama biashara haiwezi kusimama wakati wewe haupo, ujue ni uchuuzi. Bora hata kuajiriwa kunakuwa na mafao NSSF/PSSSF.
 
Asante kwa kutufariji!!!

Maana mabaya yote tumetupiwa wafanyabiashara,utasikia "hawalipi kodi,ukifanikiwa kidogo kwenu asife mtu utasikia keshauwa ndugu ili azidi kufanikiwa etc etc”.
Mi niashangaa
Wafanya biashara wanapambana jamani
Yaani kama kweli kuna uchawi ilitakiwa ukupunguzie mapambano ela iingie tu.
Kuna mtu alisemaga ikifika jioni miguu imevimba anasimama non stop siku nzima...
Aisee biashara ni mapambano
 
Nimeamini ndo maana wafanya biashara ninawaonaga wachoyo hawatoi kumi yao
Biashara ina tuvimambo flani flani uwezi kuvikuta kwenye kuajiriwa.
Aisee
Biashara si jambo jepesi
Yaani kujiajiri kwa kifupi
Inagne kuamka saa 9 usiku kufata samaki feri.
Alafu kupeleka uji usiku wa manane sterio kuwauzia wanaoshusha mzigo
Mlioajiriwa heshimuni wafanya biashara aisee
Waliojijari muwaite tu wachawi
Maana wanayofanya ni miujiza kwenye ajira uwezi kuta
Yaani wewe saa 10 tu mchana upo njiani au ushafika home.
Hadi kesho saa 2 au moja na nusu asubuhi.
Kwenye biashara hakuna kulala na

ukilala unapiga tu mahesabu kichwani.
Hii inatokana na kuwa watanzania wengi ni wavivu. Haya unayoelezea hapa ya kutopata muda wa kupumzika ni maisha ya kawaida kabisa kwa nchi zilizoendelea. Nashangaa Bongo mtu anatoka kazini anapata muda wa kupitia Bar na anachelewa kulala huku kesho yake anakwenda kazini. Akifika kazini break ya chai ni lisaa limoja, lunch masaa mawili huku muda wote anaokuwa ofisini anasinzia.
 
Mi niashangaa
Wafanya biashara wanapambana jamani
Yaani kama kweli kuna uchawi ilitakiwa ukupunguzie mapambano ela iingie tu.
Kuna mtu alisemaga ikifika jioni miguu imevimba anasimama non stop siku nzima...
Aisee biashara ni mapambano
Mlizoe ofisi za umma mnakoenda kulala na kula rushwa. Ni lazima mtaona biashara ni adhabu.
 
Huu ni ukweli 100% na ujinga wa ngozi nyeusi ni kuamini waliofanikiwa ni washirikina, mtu akiona nina mafanikio fulani anaanza wewe kabila gani.

Nikimjibu mimi ni Mkinga anahitimisha kuwa ni mshirikina ila hajua mimi ninavyopambana kusaka pesa.
Wakinga uchawi ni asili yenu na mbwa wakinga wote
 
Hii inatokana na kuwa watanzania wengi ni wavivu. Haya unayoelezea hapa ya kutopata muda wa kupumzika ni maisha ya kawaida kabisa kwa nchi zilizoendelea. Nashangaa Bongo mtu anatoka kazini anapata muda wa kupitia Bar na anachelewa kulala huku kesho yake anakwenda kazini. Akifika kazini break ya chai ni lisaa limoja, lunch masaa mawili huku muda wote anaokuwa ofisini anasinzia.
Ni kweli ofis za serikali ukitaka huduma unaweza tumia siku nzina hasa manispaa.
Yaaani mtu katoka break ya chai lisaaa plus
Akienda lunch ndo mpaka kesho hiyo
 
Ni kweli kabisa,niliwai kufungua mabalo pale ilala boma sokoni.
Ile biashara nzuri sana changamoto wizi tu wa madalali.
Unaingia Sa 12 ila 11 asb uko macho kwa safari.
Sa 12 asb mnada unaanza mpk sa 2 mzigo umeisha unajua mbivu na mbichi.
Unafata mzigo wa kesho unafungia unarudi maskani yaani sa nne mpk sita uko mtaani umepozi tu kimyaa watu hawaelewi wanakuona daily upo upo tu kumbe biashara asubuhi.
Uliiacha au unaendelea nayo
 
Ni kweli ofis za serikali ukitaka huduma unaweza tumia siku nzina hasa manispaa.
Yaaani mtu katoka break ya chai lisaaa plus
Akienda lunch ndo mpaka kesho hiyo
Sijui kama umewahi kufika majuu lakini nakuhakikishia kuwa hiki unacholalamikia hapa majuu ndiyo maisha ya kawaida. Haijalishi wewe ni bosi au nani, unaweza kufanya kazi mpaka ukirudi nyumbani huna hamu ya kuongea na mtu. Tanzania watu ni wavivu sana. Sasa mtu anapojiajiri kwa sababu kunakuwa hakuna kutega au breki ya masaa mawili analalamika.
 
Back
Top Bottom